Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu kwani hujui jana kulikuwa na janga kubwa la upepo. Kuanzia ile mechi ya mchana malalamiko yalikuwa mengi (kumbuka na goli la kona kwenye mechi ya liverpool lililoingia lenyewe kwa kusukumwa na upepo) Mechi za jana mipira ilikuwa ikikatika sana. Lile goli la deGea upepo uliuvuta mpira ukahamia direction nyingine. Ndicho alichokuwa analalamikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yeah ni kweli

Hata mimi namtetea Dagea kwenye lile goli

Penalty waliyopata Arsenal ilikuwa very soft penalty, japo ninaamini Fredy hakutakiwa kutumia nguvu sana kumkaba Gazeti, yeye angekomaa kuziba tu upande wa goli

Kuna makosa tulifanya lakini ndio mpira huo, lakini kiujumla tulicheza mpira kuliko wao...... Kosa letu kubwa ilikuwa ni kutokuwa clinical pale golini kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwani hujui jana kulikuwa na janga kubwa la upepo. Kuanzia ile mechi ya mchana malalamiko yalikuwa mengi (kumbuka na goli la kona kwenye mechi ya liverpool lililoingia lenyewe kwa kusukumwa na upepo) Mechi za jana mipira ilikuwa ikikatika sana. Lile goli la deGea upepo uliuvuta mpira ukahamia direction nyingine. Ndicho alichokuwa analalamikia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ohooooo maana niliona alifanya timing ya kushoto ila mpira ukaenda kulia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upo sahihi,

Mimi nimejumuisha wana man u wengi waliovamia Uzi wetu toka Jana wakitusumbua kuwa lazima mshinde

Ila Leo sikuwa na wasiwasi kabisa nilijua lazima tufie uwanjani

Miaka yote huwa hivi, hata muhindi Aliwaua leo

Sent using Jamii Forums mobile app

Hizi mechi kubwa huwa ngumu sana mtu kumfunga mara mbili mbili huwa ni ngumu sana hata kama timu mbovu basi itasaka saluhu chelsea alitoka kula 6 na city nafikir tuliona ambavyo city alishindwa kurudia zoez ndani ya dakika 90


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hamna utetezi hapo

Mpira ni mchezo wa hadharani, kila nilichoongea ndio kilichojiri

Inaonekana ule uchambuzi wangu ulikuuma sana underdog

Sent using Jamii Forums mobile app
Piga kelele

Lakin ndio ushabakwa

Unaleta uchambuzi uchwara, haya yako wapi, Oho lazima mshinde ,mbwembwe kibao

Sasa hiv unalamba matapish yako

Ndio ushabikiriwa sasa,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akiba ipi Mkuu

Kuna neno lisilo la kweli hata moja hapo

Kila nilichosema ni cha kweli

Jana was just not our day

Wamefunga magoli ambayo katikà siku ambayo tupo kwenye kiwango chetu tusingefungwa na tumekosa magoli ambayo siku tupo kwenye kiwango chetu tusingekosa (rejea kusoma tena hiyo post, utaona nimeongea kitu cha namna hiyo)

Ndugu yangu watu hatujaanza kufuatilia mpira jana

The next stop Wolves, quarter final FA ..... Siku moja baada ya draw ya UCL quarter final

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kutapatapa

Eti hamkuwa kwenye kiwango chenu

Kwanini usiseme mlibakwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Piga kelele

Lakin ndio ushabakwa

Unaleta uchambuzi uchwara, haya yako wapi, Oho lazima mshinde ,mbwembwe kibao

Sasa hiv unalamba matapish yako

Ndio ushabikiriwa sasa,

Sent using Jamii Forums mobile app
PSG kanifunga kabla ya Arsenane, bikira inatolewaje mara 2

Uchambuzi uchwara unaokunyima usingizi,

Upo bize ku quote uchambuzi uchwara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mechi ya leo ilikuwa muhimu sana kwa mbio za Top 4 kwa Manchester.Ila kila mshabiki wa Man anajilisha upepo kuwa hajaumia.Hakuna sababu ya maana kama Ole atashindwa kuingia top 4 mkaenda Europa.Sijui sababu ya kumfukuza Mourinho itakua ni nini.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa hiyo arsenal ni sawa na cadif had useme mechi ilikuwa muhimu wao hawastahili kushinda?

Kuna muda tuwe tunakubali hata arsenal alikuwa bora

Mourinho katolewa si kwamba solskjaer aipeleke united top 4 alitimuliwa kufuatana na mwenendo mbovu wa matokeo plan ya timu ni kujipanga mwakan ndio maana alipewa kaz ya muda kufuatana na mwenendo wa matokeo aliyopata tumeona hata top 4 inawezekana hamna alietarajia kusema tumemtoa jose ili OGS afanikishe mpango wa jose unakosea binafsi nampongeza sana OGS

Kapita ktk mechi nyingi ngumu sana huwez kushinda wala kutoka suluhu ktk mech zote lazima kuna watakao kudaka

Pep na ubora wake alinaswa na chelsea kala chuma mbili bila


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Back
Top Bottom