Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread


Wale tuliowaumiza tangu kuja kwa OGS na juzi baada ya kuwafurusha virago PSG bila wao kutarajia leo hawatolala,watakesha humu kwenye thread yetu.

Raha ni kwamba mashabiki wote wa MUFC wanatambua fika kuwa timu nyingine hazina mashabiki bali zinashabikiwa na watu wenye chuki na MUFC.


😀😀😀
Bila penalty hamushindi kabisa..

Leo refa kawakataa...

Tunakuja apo OT...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Weekend ndio hiyo, kiukweli mambo ni mengi mno na muda ni mchache

Kesho tupo na Gunners Emirates na naitazama hii mechi katika jicho chanya kwa upande wa Man Utd

Kama kuna mechi ambayo Arsenal walipaswa kushinda dhidi ya United msimu huu ilikuwa ni ile ya Old Trafford (enzi za Jose), lakini walishindwa..... Safari hii tena, ukiacha ile game ya FA Arsenal ni underdogs

Ushindi wa Man Utd dhidi ya PSG ni psychological boost kwetu. Ushindi ule umeonesha United anaweza kushinda mechi hata wakati odds zipo against them. This time odds are favouring us. Wakati huo huo kisaikolojia Arsenal hawajiamini sana kutoka na matokeo waliyoyapata siku ya Futuhi.

Kupona kwa baadhi ya wachezaji majeruhi wa Man Utd kunawafanya Arsenal wajione wanyonge zaidi (na wana haki ya kujihisi hivyo). OGS ametuambia kwamba Martial, Matic&/Herrera, watakuwa tayari kushiriki game hiyo, wakati huo huo Pogba aliyepumzika wiki nzima kutokana na kutocheza mechi dhidi ya PSG baada ya kupata red card atakuwepo, hii inatupa picha kuwa Arsenal itakutana na United imara siku ya jumapili.

Torreira kutokuwepo mechi ya kesho baada ya kula umeme kwenye game ya Spurs haitawasaidia Arsenal. Japo mimi siamini kama Torreira ana uwezo unaoimbwa kwenye vibanda umiza na mashabiki wa Arsenal lakini kwa kuwa kwao ni mchezaji muhimu, hivyo kukosekana kwao ni pigo kubwa sana.

Tutegemee battle nyepesi pale katikati kati ya Pogba, Matic, Herrera, Fredy, Tominay, Pereira (watatu kati ya hao niliowataja) dhidi ya mtoto wa miaka 18 Guendouzi, mcheza rafu Xhaka na labda Elney.

Historia itakuwa ina wawazisha sana hao jamaa wa Arsenal kwani hata wanapokuwa favourites huwa Man Utd tunawafunga au tunatoa draw, lakini vipi kuhusu sasa ambapo wao wanaonekana vibonde kwenye mechi ya kesho, nini kitawakuta?

United amecheza mechi jumatano Ufaransa na Arsenal amecheza siku moja mbele yaani alhamisi. Hiyo inamaanisha Arsenal amekuwa na muda mchache wa kupumzika na kujiandaa kwa ajili ya mechi ya kesho kuliko United. Nakumbuka Mourinho alivyokuwa Europa alikuwa analalamika sana kuhusiana na hii disadvantage, na hii ilikuwa sababu kubwa ya yeye kuamua kuyapa mashindano "mamoja" (Europa League) kipaumbele kukwepa ule msemo unaosema mtaka yote kwa pupa hukosa yote. Na alifanikiwa kuchukua kombe la Europa League.

Kitu pekee ninachoona LABDA kinaweza kuwapa moyo Arsenal ni kuwa nyumbani katika mchezo huo kwani katika game 7 za mwisho walizocheza nyumbani, Arsenal wameweza kushinda zote.

Wakati Arsenal wanaweza kufurahia kuwa na home advantage, pia watakuwa na kumbukumbu kuwa United yeye amekuwa na makali sana akiwa ugenini kwani kati ya mechi 9 za mwisho alizocheza ugenini ameshinda zote na nikumbushe tu kati ya hizo mechi alizoshinda ugenini ipo mechi ya Spurs, Chelsea, PSG na mechi ya ARSENAL.

Namalizia kwa kusema pamoja na yote niliyoyasema, tunahitaji wachezaji wetu wacheze katika viwango vyao tunavyovifahamu ili tuweze kushinda game hiyo.





Sent using Jamii Forums mobile app
Siku nyingine ukumbuke kuweka akiba ya maneno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona vijana wa Arsenane wamejaa sana humu

Mungu ni wetu sote hivyo kudhani kila siku tutawafunga ni kujidanganya. Pia kudhani kwamba OGS asingefungwa hata mechi moja ni kutojua soka.

By the way, United ataendelea kuwa United.

Tumefungwa. Imeuma. Maisha yanaendelea. Imagine wewe kwenye mechi 18 umefungwa mechi 2, kuna wenzako wametunguliwa mechi za kutosha tu.

In fact, siku ya jumatano asubuhi ningeambiwa nichague kuingia robo fainali ya UCL na kufungwa na Arsenane ningechagua hili la pili.

Kiufupi hatukucheza vibaya, japo makosa madogo madogo yametufanya tupoteze mechi.

Hatukutumia nafasi tulizopata kwa ufasaha lakini pia tumefungwa goli ambazo kwa mtazamo wangu zingeweza kuzuilika. HAMNA HAJA YA KUNYOOSHEANA VIDOLE, HUWEZI KUSHINDA MECHI ZOTE.

Arsenane hongera yao kwa kupunguza uteja, leo wamesogeza, walikuwa wametufunga mara 82, leo wamefikisha mara ya 83. United amebaki kuwa amewafunga karne kasoro 1 yani mara 99

United yupo kwenye mbio za top 4, yupo robo fainali ya FA, yupo robo fainali ya UCL, kwanini wewe shabiki wa United ukose usingizi



Sent using Jamii Forums mobile app
Kujipa Moyo muhimu,ila ndio mshakufa .
 
Weekend ndio hiyo, kiukweli mambo ni mengi mno na muda ni mchache

Kesho tupo na Gunners Emirates na naitazama hii mechi katika jicho chanya kwa upande wa Man Utd

Kama kuna mechi ambayo Arsenal walipaswa kushinda dhidi ya United msimu huu ilikuwa ni ile ya Old Trafford (enzi za Jose), lakini walishindwa..... Safari hii tena, ukiacha ile game ya FA Arsenal ni underdogs

Ushindi wa Man Utd dhidi ya PSG ni psychological boost kwetu. Ushindi ule umeonesha United anaweza kushinda mechi hata wakati odds zipo against them. This time odds are favouring us. Wakati huo huo kisaikolojia Arsenal hawajiamini sana kutoka na matokeo waliyoyapata siku ya Futuhi.

Kupona kwa baadhi ya wachezaji majeruhi wa Man Utd kunawafanya Arsenal wajione wanyonge zaidi (na wana haki ya kujihisi hivyo). OGS ametuambia kwamba Martial, Matic&/Herrera, watakuwa tayari kushiriki game hiyo, wakati huo huo Pogba aliyepumzika wiki nzima kutokana na kutocheza mechi dhidi ya PSG baada ya kupata red card atakuwepo, hii inatupa picha kuwa Arsenal itakutana na United imara siku ya jumapili.

Torreira kutokuwepo mechi ya kesho baada ya kula umeme kwenye game ya Spurs haitawasaidia Arsenal. Japo mimi siamini kama Torreira ana uwezo unaoimbwa kwenye vibanda umiza na mashabiki wa Arsenal lakini kwa kuwa kwao ni mchezaji muhimu, hivyo kukosekana kwao ni pigo kubwa sana.

Tutegemee battle nyepesi pale katikati kati ya Pogba, Matic, Herrera, Fredy, Tominay, Pereira (watatu kati ya hao niliowataja) dhidi ya mtoto wa miaka 18 Guendouzi, mcheza rafu Xhaka na labda Elney.

Historia itakuwa ina wawazisha sana hao jamaa wa Arsenal kwani hata wanapokuwa favourites huwa Man Utd tunawafunga au tunatoa draw, lakini vipi kuhusu sasa ambapo wao wanaonekana vibonde kwenye mechi ya kesho, nini kitawakuta?

United amecheza mechi jumatano Ufaransa na Arsenal amecheza siku moja mbele yaani alhamisi. Hiyo inamaanisha Arsenal amekuwa na muda mchache wa kupumzika na kujiandaa kwa ajili ya mechi ya kesho kuliko United. Nakumbuka Mourinho alivyokuwa Europa alikuwa analalamika sana kuhusiana na hii disadvantage, na hii ilikuwa sababu kubwa ya yeye kuamua kuyapa mashindano "mamoja" (Europa League) kipaumbele kukwepa ule msemo unaosema mtaka yote kwa pupa hukosa yote. Na alifanikiwa kuchukua kombe la Europa League.

Kitu pekee ninachoona LABDA kinaweza kuwapa moyo Arsenal ni kuwa nyumbani katika mchezo huo kwani katika game 7 za mwisho walizocheza nyumbani, Arsenal wameweza kushinda zote.

Wakati Arsenal wanaweza kufurahia kuwa na home advantage, pia watakuwa na kumbukumbu kuwa United yeye amekuwa na makali sana akiwa ugenini kwani kati ya mechi 9 za mwisho alizocheza ugenini ameshinda zote na nikumbushe tu kati ya hizo mechi alizoshinda ugenini ipo mechi ya Spurs, Chelsea, PSG na mechi ya ARSENAL.

Namalizia kwa kusema pamoja na yote niliyoyasema, tunahitaji wachezaji wetu wacheze katika viwango vyao tunavyovifahamu ili tuweze kushinda game hiyo.





Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo uchambue tena baada ya haya matokeo ya Leo

Muwe mnaacha ujuaji, mpira hauchezwi mitandaoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona vijana wa Arsenane wamejaa sana humu

Mungu ni wetu sote hivyo kudhani kila siku tutawafunga ni kujidanganya. Pia kudhani kwamba OGS asingefungwa hata mechi moja ni kutojua soka.

By the way, United ataendelea kuwa United.

Tumefungwa. Imeuma. Maisha yanaendelea. Imagine wewe kwenye mechi 18 umefungwa mechi 2, kuna wenzako wametunguliwa mechi za kutosha tu.

In fact, siku ya jumatano asubuhi ningeambiwa nichague kuingia robo fainali ya UCL na kufungwa na Arsenane ningechagua hili la pili.

Kiufupi hatukucheza vibaya, japo makosa madogo madogo yametufanya tupoteze mechi.

Hatukutumia nafasi tulizopata kwa ufasaha lakini pia tumefungwa goli ambazo kwa mtazamo wangu zingeweza kuzuilika. HAMNA HAJA YA KUNYOOSHEANA VIDOLE, HUWEZI KUSHINDA MECHI ZOTE.

Arsenane hongera yao kwa kupunguza uteja, leo wamesogeza, walikuwa wametufunga mara 82, leo wamefikisha mara ya 83. United amebaki kuwa amewafunga karne kasoro 1 yani mara 99

United yupo kwenye mbio za top 4, yupo robo fainali ya FA, yupo robo fainali ya UCL, kwanini wewe shabiki wa United ukose usingizi



Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya ule uchambuz wako fake kuwa mnashinda ukitoa sababu kibao kufeli

Umekuja na utetezi huu

Kwa taarifa tu top 4 bye bye

Mwakan futuhi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa upande wangu mi sijaumia kupoteza hii mechi kwanza tulikuwa na mech kubwa nyingi mfululizo na zote tulichomoka arsenal ilikuwa lazima wajitetee tumebamiza sana pale

Kwangu mimi poa tu


Sent from my iPhone using Tapatalk
Mechi ya leo ilikuwa muhimu sana kwa mbio za Top 4 kwa Manchester.Ila kila mshabiki wa Man anajilisha upepo kuwa hajaumia.Hakuna sababu ya maana kama Ole atashindwa kuingia top 4 mkaenda Europa.Sijui sababu ya kumfukuza Mourinho itakua ni nini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamna mkuu ni mechi tu ilivyokuwa mi nalia na viungo tu akicheza herrera au scott huonu ujinga wa leo


Sent from my iPhone using Tapatalk
Mkuu unapotembelea emirates hujawahi kucheza vzr pale kati hata kama utapata matokeo

Kubali Leo zile counter attack zenu hazijafanya kazi

Unadhan angekuwepo huyo Herrera , ungetawala kiungo?

Hata ile mech ya FA bado kiungo ulipotea ,bila ukawin kwenye counter

Kitu ambacho Leo tumekiziluia kwa asilimia kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom