Belo
JF-Expert Member
- Jun 11, 2007
- 12,912
- 10,262
Manu hawawezi kuwa na mshabiki kama wewe,wewe utakuwa Arse8Aibu kwa man u. Nilikuwa mshabiki mkubwa wa man u lakini kwa jinsi wanavyobebwa katu sitawashabikia tena,
Manu hawawezi kuwa na mshabiki kama wewe,wewe utakuwa Arse8Aibu kwa man u. Nilikuwa mshabiki mkubwa wa man u lakini kwa jinsi wanavyobebwa katu sitawashabikia tena,
Mkuu mimi ni chelsea, tumefungwa kihalali kabisa. Kuhusu torres nakubaliana na wewe. Kuna goli moja amekosa ni kama alikuwa ana struggle kuokoa. Bora awe anaanza lukaku
Wewe utakuwa shabiki uchwara
Ingekuwa kwishne wangishinda kwa kupambana si wangeshinda kwa penati kama nyie
Mkuu mimi ni chelsea, tumefungwa kihalali kabisa. Kuhusu torres nakubaliana na wewe. Kuna goli moja amekosa ni kama alikuwa ana struggle kuokoa. Bora awe anaanza lukaku
We hujacheki mpira wala si shabiki wa chelsea then wewe si polisi ni mgambo polisi ana akili shupavu..Mkuu mimi ni chelsea, tumefungwa kihalali kabisa. Kuhusu torres nakubaliana na wewe. Kuna goli moja amekosa ni kama alikuwa ana struggle kuokoa. Bora awe anaanza lukaku
Manchewebb United mnatisha kwa usajiri, hadi refa mnachukua dirisha dogo la usajiri
Aibu kwa man u. Nilikuwa mshabiki mkubwa wa man u lakini kwa jinsi wanavyobebwa katu sitawashabikia tena,
![]()
One word AIBU
Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
hiyo ni kawaida yao wala hatushangai.
mkuu mimi ni chelsea, tumefungwa kihalali kabisa. Kuhusu torres nakubaliana na wewe. Kuna goli moja amekosa ni kama alikuwa ana struggle kuokoa. Bora awe anaanza lukaku
Aibu kwa man u. Nilikuwa mshabiki mkubwa wa man u lakini kwa jinsi wanavyobebwa katu sitawashabikia tena,
Hii ya Liverpool haina shida hata wakitufunga,mechi ngumu ni dhidi ya Mancity,tukimfunga tu biashara imekwishaHongera Mashetani!
Tumebakiza game mbili za makelele!(against Loserfools and against Man Shitty).
Tutavuka bila shaka!