Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,371
Kufuatia uwanja wa darajani kuganda na barafu mechi iliyokuwa ipigwe katika dimba hilo imepigwa stop na itapangiwa siku nyingine.
Nadhani hii ndo itaamua bingwa ni nani>source sky sports news saa 7mchn!
Acha kukurupuka na habari usizokuwa na uhakika nazo wewe mkurupukaji