Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

article-0-119A04D7000005DC-826_468x357.jpg


Contentious: Was this incident between
Danny Welbeck and Branislav Ivanovic a penalty?


Kubebwa na mbeleko .... .... all the time, every big game Webb ndiye mpokea bahasha.
 
Ni politics tu ndio zilimpa nafasi ya kuchezesha final ya World Cup, NA ALIBORONGA KUPITA KIASI kama hukuangalia mechi. Unakumbuka mifaulo waliyocheza Holland? Unakumbuka De Jong alimfanya nini Xabi? Huyo refa alichukua uamuzi gani?


Politics mkuu kwa Blatter kumbeba muingereza?!
Sidhani. Blatter anavyowablast waingereza?!
 
article-0-119A04D7000005DC-826_468x357.jpg


Contentious: Was this incident between
Danny Welbeck and Branislav Ivanovic a penalty?


Kubebwa na mbeleko .... .... all the time, every big game Webb ndiye mpokea bahasha.

Yeah. 8-2 at OT and 1-2 at Emirates,Webb alipokea Bahasha.
Lakini kutoka AW.

Khee khee khee khee
 
Waache wabebwe lakini nafasi ya pili inawahusu, Jumamosi wabebwe tena kwa Liver maana wamezoea.

Ushabiki kitu kibaya sana. Refa kasahihisha makosa aliyofanya kipindi cha kwanza. Na kama angefanya maamuzi sahihi kipindi cha kwanza then kuna kipindi Chelsea ingekuwa down 2 bila na pungufu mchezaji mmoja. Sasa unafikiri Man U angekuacha ? Ki ukweli Chelsea ndio alibebwa kiuhalali kabisa. Anayebisha atakuwa mnazi tuu asiyejua kuangalia na kutathmini mpira vizuri. Mimi nilitaka sana Man U afungwe sema ile timu sijui wamelishwa moyo wa Simba au Nyani maana haikubali kufungwa kirahisi. Hongera zao nyingi sana
 
Acheni kuongelea kishabiki, fuateni sheria za soka zinajieleza wazi.Ukimfanyia faulo mchezaji wa timu pinzani ndani ya eneo lako la hatari adhabu yake ni Penati. Mbona ipo wazi sheria hii au isitumike siku Man united ikicheza? Watu wanauliza wanauliza mbona wanapewa penati mbili kwa wiki moja?Hawa watu wako sawa kweli? Hii ni sawa na mtu aliefanya uhalifu mara mbili kwa wiki moja halafu akikamatwa anahoji,mbona mnanikamata mara mbili kwa wiki moja. Mnazidisha mapenzi mpaka mnasahau sheria za soka.Mbona Arsenal walipewa penati mbili walivyocheza na Aston villa au mlikuwa vipofu siku ya mechi hiyo? Mnaniuzi sana na bahati yenu naheshimu sheria za Jamii Forum vinginevyo.....ANGALIZO: Yeyote atakaeniREPLY kwa kauli ambazo si za kiunwgwana nitamripoti haraka kwa Moderators.
 
Acheni kuongelea kishabiki, fuateni sheria za soka zinajieleza wazi.Ukimfanyia faulo mchezaji wa timu pinzani ndani ya eneo lako la hatari adhabu yake ni Penati. Mbona ipo wazi sheria hii au isitumike siku Man united ikicheza? Watu wanauliza wanauliza mbona wanapewa penati mbili kwa wiki moja?Hawa watu wako sawa kweli? Hii ni sawa na mtu aliefanya uhalifu mara mbili kwa wiki moja halafu akikamatwa anahoji,mbona mnanikamata mara mbili kwa wiki moja. Mnazidisha mapenzi mpaka mnasahau sheria za soka.Mbona Arsenal walipewa penati mbili walivyocheza na Aston villa au mlikuwa vipofu siku ya mechi hiyo? Mnaniuzi sana na bahati yenu naheshimu sheria za Jamii Forum vinginevyo.....ANGALIZO: Yeyote atakaeniREPLY kwa kauli ambazo si za kiunwgwana nitamripoti haraka kwa Moderators.


Hachana hao. Bado wana uchungu wa goli 10 katika mechi 2!
 
Aibu kwa man u. Nilikuwa mshabiki mkubwa wa man u lakini kwa jinsi wanavyobebwa katu sitawashabikia tena,

Shabiki wa manure hawezi kusema hivyo.. huna lolote, wewe ni the gunners without bullet fan! Usijipendekeze kwa the real devils!!
 
Hachana hao. Bado wana uchungu wa goli 10 katika mechi 2!

siwezi kuwacha hawa watu wanakera sana,mafanikio ya Man united yanawaumiza sana.Mfano shabiki wa Arsenal,miaka saba timu haijachukua hata kikombe cha kahawa.Baada ya kuijadili timu yake anashobokea Man united.Hawa jamaa vipi? Semeni basi zile goli nane refa kabeba.MAN UNITED ndio baba ka soka la uingereza kwa sasa. Na bado tutatesa kwa sana tu. Halafu kuna hawa wapenzi wa Liverpool, hawa jamaa wanashangaza sana.Mwaka wa 22 huu hawajachukua ubingwa wa Uingereza, hii ni sawa mtoto anazaliwa,anatambaa,anatembea,anaanza shule,anamaliza shule,anaingia chuo,anamaliza chuo na kuanza kazi.AIBU GANI HII. Baada ya kutafakari aibu yao,wanaishupalia Man united,wanachekesha hawa. Wapo tayari kufungwa ili Man united isichukue ubingwa.Si mnakumbuka steven Gerald alivyompasia mpira Drogba ili wafungwe?kwani hizo timu mmelazimishwa kuzishabikia?kama vipi hameni kuliko kuleta maneno ya kinafiki kila siku eti ohoo Howard web ni shabiki wa Man united. Chelsea hawa sina hata haja ya kuwazungumzia kwa sababu washawahi kukuaa miaka 50 bila ya ubingwa wa ligi kuu.
 
yeaaahhh hata me niliipenda alivyowahi kureact kama ana kadi ya Man U
 
Nyie watu mbona mnachonga ngenga sana?
Mwaka jana March Referee Atkinson aliwapa penalty on your victory 2-1 ambayo haikuwa na kichwa wala miguu ambayo ilimpelekea SAF kufungiwa and we stayed SHUT, what's wrong with this? Ofcoz kwa position aliyokuwapo Webb aliona kama jamaa kachezewa rafu, so ni makosa yua kibinadamu, sasa imekuwa biiiiiig Deal.
Gademu Chelsik
 


Ohla la llaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Jamaa walikuwa wanachubiri sadakarawe kutoka kwa webb master ... ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeee
 
Nachikia Eqlpzzz amerejea kwa mlango wa nyuma na another nick ... just in time.... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom