Papizo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,249
- 2,156
Hii pointi ya leo muhimu sana,kwa aaliyefuatilia game za Manu na Chelsea hapa darajani,karibu mechi 4 Chelsea alikuwa anabebwa watu walikuwa kimya leo tunabebwa wanapiga kelele
Mkuu achana nao hawa,tunabebwa tunabebwa kila siku hawapendi United washinde kabisa...