Striker peke yake hawezi kukupa ubingwa, ubingwa unapatikana Kwa timu nzima kuanzia kipa,beki, viungo na washambuliaji kucheza vizuri , Leicester walichukua ubingwa striker akiwa Vardy.Kwa miaka 3 iliyopita Hary Kane ndio striker bora EPL lakini hajawahi kuwapa Spurs ubingwa.
RVP alicheza Arsenal miaka karibia 10 lakini hakuwapa ubingwa sababu timu ilikuwa mbovu alivyokuja United (ilikuwa timu bora) msimu wa kwanza tu akachukua ubingwa
Romelu Lukaku yupo kwenye top 20 ya wafungaji bora wa muda wote kwenye EPL na ana miaka 25 tu licha ya kuwa na control mbovu
Sent using
Jamii Forums mobile app