Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu inabidi tukumbuke lukaku kafunga goli 26+ msimu uliopita kwenye all compee..je timu ikiboreshwa kwenye baadhi maeneo huoni pia na lukaku anaweza kuimarika??
Mkuu,tatizo lake ni dogo tu. Sio umaliziaji,ni kuucontrol mpira tu. Akipona hapo hana tatizo.
 
Striker peke yake hawezi kukupa ubingwa, ubingwa unapatikana Kwa timu nzima kuanzia kipa,beki, viungo na washambuliaji kucheza vizuri , Leicester walichukua ubingwa striker akiwa Vardy.Kwa miaka 3 iliyopita Hary Kane ndio striker bora EPL lakini hajawahi kuwapa Spurs ubingwa.

RVP alicheza Arsenal miaka karibia 10 lakini hakuwapa ubingwa sababu timu ilikuwa mbovu alivyokuja United (ilikuwa timu bora) msimu wa kwanza tu akachukua ubingwa

Romelu Lukaku yupo kwenye top 20 ya wafungaji bora wa muda wote kwenye EPL na ana miaka 25 tu licha ya kuwa na control mbovu

Sent using Jamii Forums mobile app
U nail it

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1033791

Huyu dogo akifikisha miaka 21 itakuwa shida ndo kwanza ana 19
Hapa naona ile tabia ya kushabikia watu kama kina Martial inaanza. Huyu dogo ni jipuuuu. Kwa mfano mechi ile na Palace alipwaya sanaa, mpaka Ole akaamua kumtoa na kumuingia Baily namba 2 na Young akasogea mbele namba 7 (alipokuwa huyu kijana) magoli yakamiminika kama uji. Dogo huyu ni JIPUUU.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unakumbuka game ya Burnley?? ile ya 2-2

Pogba alipiga kama vile na alipata akatupa point moja iliyofanya tuwe hapa tulipo leo.

Aubameyang hakufanya kama Pogba lakini alikosa pia hata Makambo nae amekosa leo.

watu imewauma kisa Lukaku kukosa kupiga penati ya hat-trick ila wanasahau zile dk 10 za mwanzo shujaa wetu Lukaku amekosa nafasi 2 za wazi za kumpatia hiyo hat trick.
Kuna tofauti kati ya kukosa nafasi na kipa kuokoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
lingine lipo. Mara yenu ya mwisho kuchukua ubingwa wa Epl ni mwaka gani?
Nadhani ilikuwa ni miaka 2 baada ya kumfunga Arsenal goli 8

Na miaka 5 baada ya kuchukua UCL ya 3 na miaka 5 baada ya kuchukua Club World Cup

Pia ilikuwa miaka 2 kabla hatujachukua FA na miaka 4 kabla hatujachukua Europa League na Carling

Vipi mkuu naendelea kupokea maswali, kama unahitaji ufafanuzi wowote nipo kwa ajili ya watu kama ninyi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wachezaji hawajatufanyia sawa, hope second half watabadilika. Pia saints wamekuwa na nidhamu sana, wanazuia vizuri pia wanapenda mbele bila woga.

Second half atoke Lukaku na Alexes waingie madogo. Young upande kati kusaidia mashambulizi.
Hufai hata ukocha wa kuigiza tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashangaa ni kwanini hakumuachia mwenzake aondoke na mpira.

Pogba sio mpigaji mzuri wa penalty,sijui ni kwanini kocha kampa hayo majukumu. MUFC wapigaji wazuri wa penalty ni Mata na Herrera, haya young pia na Martial wanamzidi pogba. Tatizo ni masifa mengi.
Young kajua lini kupiga penati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani ilikuwa ni miaka 2 baada ya kumfunga Arsenal goli 8

Na miaka 5 baada ya kuchukua UCL ya 3 na miaka 5 baada ya kuchukua Club World Cup

Pia ilikuwa miaka 2 kabla hatujachukua FA na miaka 4 kabla hatujachukua Europa League na Carling

Vipi mkuu naendelea kupokea maswali, kama unahitaji ufafanuzi wowote nipo kwa ajili ya watu kama ninyi

Sent using Jamii Forums mobile app
haaahaaa bogas kabisa unazunguka mbuyu, umeulizwa ni miaka mingapi we unaleta ngonjera, unataka kupoteza kuwa mna misimu sita mfululizo hamjachukua kitu, mnakua wasindikizaji tu
 
Back
Top Bottom