Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,319
- 201,540
Siku hizi anapambana sana lukakuNilikuwa natafuta angalau hata mdau mmoja aliyemwaga sifa kwa man of the match wetu
Sasa naweza kulala
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hizi anapambana sana lukakuNilikuwa natafuta angalau hata mdau mmoja aliyemwaga sifa kwa man of the match wetu
Sasa naweza kulala
Sent using Jamii Forums mobile app

Sawa.
Top 4 ni must ukifanya hesabu za fasta fasta tunaingia sababu kwa asno tuna point 3 Chelsea 3 Manchester City akikomaa anapata sare Hawa vidagaa wote wanafungwa vizuri tu sababu kama leo wachambuzi wengi walifikiri Man united atafungwa na palace
Pale OT hope weekend tutarudisha heshimaSpurs 0-1 Man United
Arsenal 1-3 Man United
Fulham 0-3 Man United
Chelsea 0-2 Man United
Palace 1-3 Man United
The King of London![]()
Nilikuwa natafuta angalau hata mdau mmoja aliyemwaga sifa kwa man of the match wetu
Sasa naweza kulala
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeyote atakayekatiza mbele ya Chelsea kwa sasa ni khalali yetu..Top 4 ni must ukifanya hesabu za fasta fasta tunaingia sababu kwa asno tuna point 3 Chelsea 3 Manchester City akikomaa anapata sare Hawa vidagaa wote wanafungwa vizuri tu sababu kama leo wachambuzi wengi walifikiri Man united atafungwa na palace
mpira gan ulikuwa unaangalia? maana Mctominay kapiga pasi nying na nzur sana za mbele tena za uhakikaudhaifu mkubwa wa McTominay ni back na square passes kwani hawamuangaliagi Herrera yani anashindwa hata na Lindelof ambaye ni beki
Arifu pale OT unakufa hata goli 4 ukijichanganya hauna timu ya kuifunga unitedYeyote atakayekatiza mbele ya Chelsea kwa sasa ni khalali yetu..
Itabidi iwe hivyo sasa..
Sent using Jamii Forums mobile app
hahaha sawa..tutakujaaArifu pale OT unakufa hata goli 4 ukijichanganya hauna timu ya kuifunga united
Hiyo ndio siku tunakuhakikishia ushiriki wako wa europa.
kwamba point 60 na 55 ni mbali ambapo hatuwez fika?? alafu mechi ijayo ni Spurs vs Arsenal??? umepiga hesabu gani?Tote yuko mbali sana mkuu hatuwez mfikia