Sawa mkuu ni kweli hana control kama Morata
Lakini vitu vingine vyote amemzidi Morata
Kitu cha kutambua wachezaji huwa hawafanani mkuu
Hivi mfano kati ya Beckham na Quaresma au Kleberson unamkubali nani? Hao jamaa wawili walikuwa ni machachari, lakini Beckham japo hakuwa na anao anao lakini alikuwa ni hatari
Ni muhimu kutambua kila mchezaji ana strengths na weakness zake, Lukaku hana control kubwa sana (ila control anayo) lakini ana utilize strengths zake nyingine
Kuna siku nilisema tatizo Lukaku is not likable player ....... Hicho tu ndio kinamponza, yaani sometime watu wanamlaumu kwenye jambo hadi nabaki nacheka tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Plus City kushinda japo naye kwa mbindeLeo matokeo yametoka kama nilivyotarajia Spurs na Arsenal wadraw na ss tushinde,pamoja na kwamba ushindi ulikuwa wakibabe
sana yaani tumeforce king pale...Hawa madogo wakina Mctominay wanajitahidi ila kiuwezo bado sana ndo yale niliyokuwa nasema
tunahitaji kufanya usajili wamaana summer, kiungo leo kilipwaya sana ila nilijua maana Saint miaka yote wapo vizuri sana pale kati
toka kipindi cha kina Wanyama walikuwa wanatusumbua Midfield,sema cha msingi tumechukua point 3..
niliwahi kusema juu ya Lukaku humu!Siku watu watakapotambua mpira ni zaidi ya ku drible,
WATAMPA LUKAKU HESHIMA YAKE
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umewaza kama mimiNashangaa ni kwanini hakumuachia mwenzake aondoke na mpira.
Pogba sio mpigaji mzuri wa penalty,sijui ni kwanini kocha kampa hayo majukumu. MUFC wapigaji wazuri wa penalty ni Mata na Herrera, haya young pia na Martial wanamzidi pogba. Tatizo ni masifa mengi.
Mkuu si uliomba matokeo na nimekupatiambona umekuja resi sana
Upgrade ya Lukaku labda Griezeman tu (kwa wachezaji waliopo sokoni)Kwasababu ametuokoa au?😀😀
Bado hakumfanyi kuwa kama akina Kun Agùero
Aya ya mwisho hiyo ......kwanza muelewe Pogba ndo mpiga penati wa timu yetu na kila timu ina mpigaji wake.
katika msimu huu Pogba amekosa penati mbili tu kati ya penati zote alizopiga na hazikuwa za ushindi kwamba eti akikosa hiyo penati timu itakuwa imepoteza mechi.
style ile ya upigaji ndo style yake hata akipataga huwa anapiga kwa style ile ya kukimbia hatua ndogondogo.
hakuna anaejua kama Lukaku angepata ile penati maana hata yeye ameshakosa penati akiwa na United under Mou, ila ki-fair play Pogba alipaswa ampe Lukaku huenda ingekuwa hat trick ya kwanza tangu RVP afanye hivyo msimu wa 2013 against Olimpiacos under Moyes.
OLE
MUFC
GGMU
Ndo umehama Arsenal milele?Duhbora tumeweka kibindoni 3 points
Anaweza kutushindiaNimekuelewa mkuu, labda nikuulize, unaamini lukaku ni namba 9 wa kumtegemea atushindie makombe kama EPL? Kama ilivyokuwa RVP?
Pana hawa mapacha bertrand na redmond vyuma hivi nikiviona huwa najua pana shughuli pevu.Hii mechi ilikuwa marudio ya ile fainali ya carling cup...yule gabiadini alitutesa
Striker peke yake hawezi kukupa ubingwa, ubingwa unapatikana Kwa timu nzima kuanzia kipa,beki, viungo na washambuliaji kucheza vizuri , Leicester walichukua ubingwa striker akiwa Vardy.Kwa miaka 3 iliyopita Hary Kane ndio striker bora EPL lakini hajawahi kuwapa Spurs ubingwa.Nimekuelewa mkuu, labda nikuulize, unaamini lukaku ni namba 9 wa kumtegemea atushindie makombe kama EPL? Kama ilivyokuwa RVP?
Hahaa jamaa kaamua kutuonyesha kuwa hata mguu wake wa kulia unaweza fanya jambo pia. Ni kama umuone messi au griezman kafunga kwa mguu wa kulia.Yaani lukaku huyu huyu mechi mbili goli tatu kwa mguu wa kulia!
Anadhibitisha msemo wa simba akikosa nyama anakula hata nyasi kuwa ni kweli.Yaani lukaku huyu huyu mechi mbili goli tatu kwa mguu wa kulia!