Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sasa kma analipwa huo mshahara mkubwa kuliko Harzad na Salah Si atulie anataka mwingine wa nini..? Au anaona wivu Sanchez Bench Warmer anapigwa li paund laki tano uko na yeye anapambana na mishuti ya haja kila Siku golini anataka apewe huo mshahara..!!

Hivi unadhani mgt itakubali? na kama man u wakikubali basi watafungua njia kwa wengine kutaka mishahar minono zaid..

Kwa iyo ni bora asepe tu mtafute kipa mwingine..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sahv umeanza kuelewa sasa tunachokisema hapa
 
Makeeper wazuri wapo mkuu sema tu tumetokea kumpenda De gea na kwa kuwa yupo pale muda mrefu ila hzo tamaa zake mimi ndo zinanikera,Oblak wa Atletico minaona hawajatofautiana sana na De gea kwa uwezo au hata yule dogo wa Milan Donarumma ni mdgo lakin tayari ni World class kwa mtizamo wangu!
Yeah....

Namimi ninaamini bado tuna option nje ya club

Ila Ed anapaswa ajifunze hapa. Kwa wachezaji wetu bora inabidi mazungumzo yaanze mapema, hata miaka 2 kabla ya mkataba ku expire ili hata mchezaji akizingua auzwe kwa bei nzuri

Kwa sasa hatuweza kumuuza kwa thamani ambayo ni thamani yake halisi

Degea naye anakosa fadhila hapa, hakumbuki SAF alikuwa ana option ya kumnunua Nuer lakini akamuamini Degea. Pia Degea alianza vibaya sana pale United lakini timu ilimvumilia

Halafu hoja ya kutaka mshahara flani kwa sababu flani analipwa huo mshahara ni hoja mfu sana

Nadhani Ed anaogopa kumuuza sababu ya soko kuchafuka, maana ili kupata kipa mzuri sokoni kwa sasa inabidi uteme zaidi ya £70 million

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Makeeper wazuri wapo mkuu sema tu tumetokea kumpenda De gea na kwa kuwa yupo pale muda mrefu ila hzo tamaa zake mimi ndo zinanikera,Oblak wa Atletico minaona hawajatofautiana sana na De gea kwa uwezo au hata yule dogo wa Milan Donarumma ni mdgo lakin tayari ni World class kwa mtizamo wangu!
Usimfananishe Oblack na vitu vya kijinga mkuu..kwa sasa kipa bora anayeongoza ni yeye..

Uyo de gea labda akina Ederson, Allison au Kepa ivi...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeah....

Namimi ninaamini bado tuna option nje ya club

Ila Ed anapaswa ajifunze hapa. Kwa wachezaji wetu bora inabidi mazungumzo yaanze mapema, hata miaka 2 kabla ya mkataba ku expire ili hata mchezaji akizingua auzwe kwa bei nzuri

Kwa sasa hatuweza kumuuza kwa thamani ambayo ni thamani yake halisi

Degea naye anakosa fadhila hapa, hakumbuki SAF alikuwa ana option ya kumnunua Nuer lakini akamuamini Degea. Pia Degea alianza vibaya sana pale United lakini timu ilimvumilia

Halafu hoja ya kutaka mshahara flani kwa sababu flani analipwa huo mshahara ni hoja mfu sana

Nadhani Ed anaogopa kumuuza sababu ya soko kuchafuka, maana ili kupata kipa mzuri sokoni kwa sasa inabidi uteme zaidi ya £70 million

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapa tupo pamoja 100% mkuu
 
Suala ni nan bora kati ya KDB na uyo PP

Apa ni sawa na kusema Hammer na Chevrolet lip gari lenye uwezo ..mimi nitakuambia Chevrolet..

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa sababu ni kwa maoni yako hakuna atakae kubishia. Embu tuambie umetumia kigezo gani kusema kdb ni bora kuliko pogba??


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwenye press conference ya Pep jana amesema city inahitaji wachezaji 4 au 3 ukiangalua form yao na uwezo wao sijui sisi tutafanya nini tusiposajili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lineup
IMG_20190302_171225_336.JPG
 
Back
Top Bottom