Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

√Lindelof kawa kitasa jamani,hafanyi makosa mengi uwanjani

√Luke Shaw yupo kwenye kiwango bora kabisa kuwahi kupatwa kushuhudiwa

√Andreas leo amecheza kwa rythm fulani nzuri,,

√Nimefurahi kuona Fred anatoa assist,,hopefully atapata confidence na kudeliver..£50m is not a Joke

√Sipendi kumwongelea sana Jose' lakini najaribu tu kufikiria kama ndo angekuwa bado ni kocha wetu na tukawa tunapitia kipindi kama hichi,hizo excuse ambazo angetoa sizipatii picha..Sasa angalia Ole anavyodeal na mambo pale OT,its like no one missed at some points


√Big up Pogba..ile penalt runway ilikuwa ya aina yake..but ungemwachia bolingoli atie kambani hatrick,na kama angekosa isingekuwa big deal
Mkuu, nadhan ile Sub ya Dalot ilileta impact pia, kama huyu dogo akiendelea kupata nafasi na umri wake huo mdogo naiona future nzuri sana.

All in all, 3points zilikuwa muhimu sana aisee, top 4 now, next stop Emirates.

Ggmu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
√Lindelof kawa kitasa jamani,hafanyi makosa mengi uwanjani

√Luke Shaw yupo kwenye kiwango bora kabisa kuwahi kupatwa kushuhudiwa

√Andreas leo amecheza kwa rythm fulani nzuri,,

√Nimefurahi kuona Fred anatoa assist,,hopefully atapata confidence na kudeliver..£50m is not a Joke

√Sipendi kumwongelea sana Jose' lakini najaribu tu kufikiria kama ndo angekuwa bado ni kocha wetu na tukawa tunapitia kipindi kama hichi,hizo excuse ambazo angetoa sizipatii picha..Sasa angalia Ole anavyodeal na mambo pale OT,its like no one missed at some points


√Big up Pogba..ile penalt runway ilikuwa ya aina yake..but ungemwachia bolingoli atie kambani hatrick,na kama angekosa isingekuwa big deal
Mkuu, nadhan ile Sub ya Dalot pia ilileta impact, kama huyu dogo akiendelea kupata nafasi na umri wake huo mdogo naiona future nzuri sana.

All in all, 3points zilikuwa muhimu sana aisee, top 4 now, next stop Emirates.

Ggmu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa naona ile tabia ya kushabikia watu kama kina Martial inaanza. Huyu dogo ni jipuuuu. Kwa mfano mechi ile na Palace alipwaya sanaa, mpaka Ole akaamua kumtoa na kumuingia Baily namba 2 na Young akasogea mbele namba 7 (alipokuwa huyu kijana) magoli yakamiminika kama uji. Dogo huyu ni JIPUUU.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona kama unatupa ukakasi wapenda soka hivi Dalot anaweza kuwa JIPUU kweli embu omba radhi kwa mshabiki wa United
 
Hapa naona ile tabia ya kushabikia watu kama kina Martial inaanza. Huyu dogo ni jipuuuu. Kwa mfano mechi ile na Palace alipwaya sanaa, mpaka Ole akaamua kumtoa na kumuingia Baily namba 2 na Young akasogea mbele namba 7 (alipokuwa huyu kijana) magoli yakamiminika kama uji. Dogo huyu ni JIPUUU.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu unatambua kwamba valencia anakosa mkataba kwa ajili ya huyu dalot?
 
Nyambizi
FB_IMG_1551589406733.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
De Gea jana hakuwa poa sana,

Sababu inaweza kuwa mkataba na kuongezewa mshahara anao taka ama??

Mtu mwingine anaboa ni Young!! Sikatai anajituma sanaa tatizo hana akili uwanjani.

Young anafanya makosa mengi sana uwanjani, game ilopita pia alisababisha goal kwa uzembe kabisa!!

Sikuamini alipofunga goal juzi na sikushangilia hadi niliporidhika kuona tena
emoji38.png
emoji38.png
emoji38.png
nilidhani kapiga cross kumbe kafunga bana!!!
 
De Gea jana hakuwa poa sana,

Sababu inaweza kuwa mkataba na kuongezewa mshahara anao taka ama??

Mtu mwingine anaboa ni Young!! Sikatai anajituma sanaa tatizo hana akili uwanjani.

Young anafanya makosa mengi sana uwanjani, game ilopita pia alisababisha goal kwa uzembe kabisa!!

Sikuamini alipofunga goal juzi na sikushangilia hadi niliporidhika kuona tena
emoji38.png
emoji38.png
emoji38.png
nilidhani kapiga cross kumbe kafunga bana!!!
Sure...Young anajituma ndio ila anakosa utulivu na akili.

Mimi hanivutii kabisa kama first choice yetu RB
 
haaahaaa bogas kabisa unazunguka mbuyu, umeulizwa ni miaka mingapi we unaleta ngonjera, unataka kupoteza kuwa mna misimu sita mfululizo hamjachukua kitu, mnakua wasindikizaji tu
Kichwamaji we, kwa hiyo ulikuwa unauliza kitu unachokijua

By the way, hayo ni majibu sahihi au imekuuma maana kwa mafanikio niliyoorodhesha timu yako haijayafikia na inaweza isiyafikie mpaka kiama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom