Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,223
- 16,900
kipa kuokoa (kwa maana yako) hiyo sio kukosa nafasi ya kufunga?? then tunaiitaje sasa
kipa kuokoa (kwa maana yako) hiyo sio kukosa nafasi ya kufunga?? then tunaiitaje sasa
kipi bora sasa kuwa na control nzuri au kuwa na finishing nzuri?Mkuu,tatizo lake ni dogo tu. Sio umaliziaji,ni kuucontrol mpira tu. Akipona hapo hana tatizo.
moja ya wapigaji wazuri wa penati pale United ni pamoja na Young
Mkuu, nadhan ile Sub ya Dalot ilileta impact pia, kama huyu dogo akiendelea kupata nafasi na umri wake huo mdogo naiona future nzuri sana.√Lindelof kawa kitasa jamani,hafanyi makosa mengi uwanjani
√Luke Shaw yupo kwenye kiwango bora kabisa kuwahi kupatwa kushuhudiwa
√Andreas leo amecheza kwa rythm fulani nzuri,,
√Nimefurahi kuona Fred anatoa assist,,hopefully atapata confidence na kudeliver..£50m is not a Joke
√Sipendi kumwongelea sana Jose' lakini najaribu tu kufikiria kama ndo angekuwa bado ni kocha wetu na tukawa tunapitia kipindi kama hichi,hizo excuse ambazo angetoa sizipatii picha..Sasa angalia Ole anavyodeal na mambo pale OT,its like no one missed at some points
√Big up Pogba..ile penalt runway ilikuwa ya aina yake..but ungemwachia bolingoli atie kambani hatrick,na kama angekosa isingekuwa big deal
Mkuu, nadhan ile Sub ya Dalot pia ilileta impact, kama huyu dogo akiendelea kupata nafasi na umri wake huo mdogo naiona future nzuri sana.√Lindelof kawa kitasa jamani,hafanyi makosa mengi uwanjani
√Luke Shaw yupo kwenye kiwango bora kabisa kuwahi kupatwa kushuhudiwa
√Andreas leo amecheza kwa rythm fulani nzuri,,
√Nimefurahi kuona Fred anatoa assist,,hopefully atapata confidence na kudeliver..£50m is not a Joke
√Sipendi kumwongelea sana Jose' lakini najaribu tu kufikiria kama ndo angekuwa bado ni kocha wetu na tukawa tunapitia kipindi kama hichi,hizo excuse ambazo angetoa sizipatii picha..Sasa angalia Ole anavyodeal na mambo pale OT,its like no one missed at some points
√Big up Pogba..ile penalt runway ilikuwa ya aina yake..but ungemwachia bolingoli atie kambani hatrick,na kama angekosa isingekuwa big deal
Mkuu mbona kama unatupa ukakasi wapenda soka hivi Dalot anaweza kuwa JIPUU kweli embu omba radhi kwa mshabiki wa UnitedHapa naona ile tabia ya kushabikia watu kama kina Martial inaanza. Huyu dogo ni jipuuuu. Kwa mfano mechi ile na Palace alipwaya sanaa, mpaka Ole akaamua kumtoa na kumuingia Baily namba 2 na Young akasogea mbele namba 7 (alipokuwa huyu kijana) magoli yakamiminika kama uji. Dogo huyu ni JIPUUU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa naona ile tabia ya kushabikia watu kama kina Martial inaanza. Huyu dogo ni jipuuuu. Kwa mfano mechi ile na Palace alipwaya sanaa, mpaka Ole akaamua kumtoa na kumuingia Baily namba 2 na Young akasogea mbele namba 7 (alipokuwa huyu kijana) magoli yakamiminika kama uji. Dogo huyu ni JIPUUU.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani kitendo cha Fred kutoa assist kitamuongezea kujiamini endapo atapata nafasi game zijazo
Lukaku mbona anaanza kuwa mtamu kama Strawberry,hongereni wakuu kwa ushindi.
#GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo majukumu kapewa toka Mou yupo.
Nazani kila mtu anapewa hilo jukumu kutokana na performance ya kupiga penalty mazoezini
Sent using simu mbovu
Tusubiri performance game zinazokuja ila angalau jana kafanya vizuriFred na pereira nafasi walizocheza kipindi cha pili ndio sehem zao sahihi kwa hii timu mata atafute shughuli ya kufanya
Tusubiri performance game zinazokuja ila angalau jana kafanya vizuri
Sure...Young anajituma ndio ila anakosa utulivu na akili.De Gea jana hakuwa poa sana,
Sababu inaweza kuwa mkataba na kuongezewa mshahara anao taka ama??
Mtu mwingine anaboa ni Young!! Sikatai anajituma sanaa tatizo hana akili uwanjani.
Young anafanya makosa mengi sana uwanjani, game ilopita pia alisababisha goal kwa uzembe kabisa!!
Sikuamini alipofunga goal juzi na sikushangilia hadi niliporidhika kuona tena![]()
nilidhani kapiga cross kumbe kafunga bana!!!![]()
Mkuu mbona kama unatupa ukakasi wapenda soka hivi Dalot anaweza kuwa JIPUU kweli embu omba radhi kwa mshabiki wa United
Kichwamaji we, kwa hiyo ulikuwa unauliza kitu unachokijuahaaahaaa bogas kabisa unazunguka mbuyu, umeulizwa ni miaka mingapi we unaleta ngonjera, unataka kupoteza kuwa mna misimu sita mfululizo hamjachukua kitu, mnakua wasindikizaji tu