Angepata usingesema ivo,kwani pogba kaanza kupiga penati leoPogba alipaswa kumuachia penati Lukaku
Kuna watu huwa ni wabinafsi sana, mmojawapo ni PogbaHivi huyu pogba ni lazima apige penalty anaboa sasa,
Tulikuwa 18 sio 12
Hivi huyu pogba ni lazima apige penalty anaboa sasa,
Ilikuwa apewe Lukaku ili apate hat trick au Marcus kwakuwa ndiyo ameitengeneza. Pogba ameonyesha ubinafsi sana. Ni vigumu kumpata unselfish player kama Wayne Rooney.Pogba alipaswa kumuachia penati Lukaku
Refa leo amekuwa upande wenu hongereni..Classic mechi yani magoli yote mazur hamna goli bovu timu zote mbili