Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Safi sana Man Utd.........Tupo pamoja sana leo.............

What a comeback.....

...e bana nipe feedback, yale matatu yamerudi? ....big up bana, big up man united! kazeni msuli....!
so long as
Che£$ki wanapoteza point na man citeh wana 'pay the price' ya kum tempt $amir Na$ri, am ok with it!
 
Wapinzani Saluti, mmerudi kama mtu unatizama timu yako ushapigwa 3-0 kuweza kurudi 3-3 kwa timu za juu ujue umefanya kazi nzuri. nasababu hizi Game ni kubwa sasa hivi kitabakia kwenye ma TV malawama pale vipi nani kafanyiwa hivi vitu ambavyo ikiwa Wigan na Stoke hawana muda navyo.
 
Kiufundi Chelsea wana kila sababu ya kujilaumu kwa kutolinda magoli matatu waliyofungwa na kufanya kosa la mwaka kukariisha mashabulizi mlangoni mwao kusababisha wenzao kutumia mbinu za kusababisha penalt.

Huu ni mtazamo wangu wa kuangalia mchezo huu kwa vile sishabikii timu fulani napenda tu kuangalia gozi linavyosukumwa uwanjani na jinsi mbinu za kutingisha nyavu au kuzuia nyavu zisitingishwe.
 
Hii pointi ya leo muhimu sana,kwa aaliyefuatilia game za Manu na Chelsea hapa darajani,karibu mechi 4 Chelsea alikuwa anabebwa watu walikuwa kimya leo tunabebwa wanapiga kelele
 
Wakuu hiyo ndio United sio Arsenal mnafungwa Goli 10 kwa mechi mbili alafu hapo hapo tumechukua points 6 kutoka kwenu hahaha
 
Mi naomba siku tukikutana mtupangie combi hii ya defence, Evans na Ferdinand nasi tupate kujidai. Hata hivyo Epl haina marefa, kama huyu ndiye mmoja wa marefa wa kutumainiwa hamna kitu.
 
Wakuu hiyo ndio United sio Arsenal mnafungwa Goli 10 kwa mechi mbili alafu hapo hapo tumechukua points 6 kutoka kwenu hahaha
Dah!.................Ushaanza nyodo mkuu?.....

Mumshukuru Mungu kwa kuwapatia Howard Webb......
 
Wapinzani Saluti, mmerudi kama mtu unatizama timu yako ushapigwa 3-0 kuweza kurudi 3-3 kwa timu za juu ujue umefanya kazi nzuri. nasababu hizi Game ni kubwa sasa hivi kitabakia kwenye ma TV malawama pale vipi nani kafanyiwa hivi vitu ambavyo ikiwa Wigan na Stoke hawana muda navyo.

Hata stoke city akipewa msaada wa namna hii na howard webb anaweza kufanya comeback ya hatari hata kama yupo 4-0 down kwa barcelona.
 
Back
Top Bottom