Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mourinho ni Kocha mzuri sana kwa mbinu kuliko hata huyu OGS lkn tatizo ana ukoloni mwingi sn, kwani hapo unadhani OGS kuna anachofundisha kipya sana kuliko Wachezaji wenyewe kuwa na morali ya kujituma ili wapate matokeo mazuri?

Wachezaji walikuwa hawamtaki Mou tokana na mikwaruzano yake kila kukicha kati yake na Wachezaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ntapingana na wewe ukiangalia uchezaj na mbinu ni vitu viwili tofaut angalia utulivu wa viungo na mnyumbuliko wa pogba
 
Mourinho ni Kocha mzuri sana kwa mbinu kuliko hata huyu OGS lkn tatizo ana ukoloni mwingi sn, kwani hapo unadhani OGS kuna anachofundisha kipya sana kuliko Wachezaji wenyewe kuwa na morali ya kujituma ili wapate matokeo mazuri?

Wachezaji walikuwa hawamtaki Mou tokana na mikwaruzano yake kila kukicha kati yake na Wachezaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tujifunze kumpa mtu credit anapostahili. Hata Kama hana Mbinu za uwanjani, lakini ana Mbinu za ku-win mioyo ya wachezaji kiasi kwamba wanajitoa kwa ajili yake na timu. Hiyo ndiyo mbinu kubwa na ya kwanza kabla hujaingia kwenye tactical sphere.
Mourinho alishindwa hapa na kuna msemo unasema, if you fail to plan, you plan to fail . Hope umenielewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Mjinga mmoja alikuwa Akimtetea Kwa Kila kitu Yule Mmakonde wa Msumbiji aliyepata bahati ya kuishi Ureno utadhani ni mume wa Dadaake..

Lakini Tokea atimuliwe Mmakonde basi Kaukimbia Uzi. 😀😀
Mkuu punguza ukali wa maneno, just ilikua kutofautiana tu kimtazamo, na mwenywe kwa sasa anakari mou katurejesha nyuma, na kwa sasa anafurahia matekeo ya timu yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
001
 
Leo tumeshinda ila kulala na viatu kunahusika kwa wachezaji wetu ..tot wanashambulia sana aisee ukijifanya kufunguka sana unaeza kula mkono nilichofurah spirit ya man u imerud yaan shetani limeji update now sasa ni mauaji tu .. tuletèe anaekuja msako ni chumba kwa chumba mamaeeeeeeeeeeeeeeee .. GGMU


Smart guy
 
Mourinho ni Kocha mzuri sana kwa mbinu kuliko hata huyu OGS lkn tatizo ana ukoloni mwingi sn, kwani hapo unadhani OGS kuna anachofundisha kipya sana kuliko Wachezaji wenyewe kuwa na morali ya kujituma ili wapate matokeo mazuri?

Wachezaji walikuwa hawamtaki Mou tokana na mikwaruzano yake kila kukicha kati yake na Wachezaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa mtazamo wako labda kocha ni nani sasa??
 
Back
Top Bottom