cosmonaut
JF-Expert Member
- Apr 12, 2015
- 1,392
- 2,770
Ha ha ha haKwakweli ni men of the mech..!
Mkuu vipiKwa hiki kikosi ushindi wenu ni Draw
Tusubiri dakika tisini za mchezo
Kuna Mjinga mmoja alikuwa Akimtetea Kwa Kila kitu Yule Mmakonde wa Msumbiji aliyepata bahati ya kuishi Ureno utadhani ni mume wa Dadaake..
Lakini Tokea atimuliwe Mmakonde basi Kaukimbia Uzi. 😀😀
Subutu mkuu mi huwa natoa sapot kwa timu huwa sinaga upande![]()
![]()
![]()
RADIKA , Naona kaja na ID nyingine. Nimeshasema sote ni united silaha zote chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kipindi kile wamepack bus na wakafungwa 3-0Hongereni sana Man Utd kwa ushindi.
Taarifa zenu tunazo kuwa kismati cha Kocha mpya kimezidi kuwaletea ladha ya matokeo mazuri, na hii imetokana na style ya kupaki basi kwenu dhidi ya Tottenham kipindi cha pili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sehemu ya majukum yake sifia kiungo pia Cha Herrera na matic bek lindelof + Jones walikuwa vizur pia.
huyo mchezaji wa timu gani
Tumekusikia , Tuma Salamu kwa watu 6.Mourinho ni Kocha mzuri sana kwa mbinu kuliko hata huyu OGS lkn tatizo ana ukoloni mwingi sn, kwani hapo unadhani OGS kuna anachofundisha kipya sana kuliko Wachezaji wenyewe kuwa na morali ya kujituma ili wapate matokeo mazuri?
Wachezaji walikuwa hawamtaki Mou tokana na mikwaruzano yake kila kukicha kati yake na Wachezaji.
Sent using Jamii Forums mobile app