Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

tifu kwa Manchester United na Kunikumbusha Liverpool ya akina Phil Neal, Alan Hansen na Ian Rush.

Kilichotokea Jumapili ni Liverpool FC kuipa Manchester United PENZI la Ghetto ambalo Kanye West anampa Kim Kardashian.. Kama Hujui Penzi la ghetto tafuta video ya Kanye West na Kim Kardashian wakiwa Ikulu ya Uganda kwa Yoweri Kaguta Museven.

Ashante Jurgen Kloop kwa kusababisha majivu ya Bill William Obe Shankly kukusanyika kwa Mara nyingine ndani ya ardhi tukufu ya Anfield

Montelo 10
Kwa bahati mbaya kwenu na nzuri kwetu bwana mou ameondoka jana katuachia mataji matatu ndani ya miaka miwili aliyokaa nasi. Majogoo miaka kumi sasa hakuna kikombe chochote kipya ndani ya makabati yenu.
 
Huwezi kupendezwa na kila mtu duniani, na hata hao wengine wana mapungufu yao mengi tu.

So habari za mtu kujitapa ni nature yake, labda kama hutaki asijitape, muumbe wa kwako lakini si Mourinho ambaye tayari alishaumbwa hivyo na Mungu.

Umetafiti kwa kina kuwa tatizo la Man U ni Mourinho pekee?

Wewe una weledi sana kuhusu tatizo la Man U kuliko Mashabiki wa Ulaya ambao hawajawahi kumbebea Mourinho bango kwa kumzomea hata siku 1?

Kwanini washabiki humzomea sana Edward Woodward kuliko huyo Mourinho?

Ficha upunguwani wako hapa kwa chuki zako binafsi mxiuuuuuu...!
 
mk
Possible replacement

1. Carrick
2. Arteta
3. Jardim
4. Blanc
5. Zidane
6. Wenger
7. Pochetino
8. Garry Neville
9. Conte
10. Hiddink
11. Rodgers

Hawa ni baadhi ya makocha wanaotajwa tajwa
uu umemsahau MWINYI ZAHERA nae anatajwatajwa sana
 
Conte pia ana kiburi kama cha huyu jamaa wenu aliyefungiwa na BASATA, alikuwa na sababu gani hasa ya kukosana na Diego Costa hadi aamue kumuuza na kutuletea wagonjwa pale Chelsea(Morata, Giroud)???

Conte kaiweka Chelsea katika hasara gani hasa ikiwa inacheza mpira mzuri tu lakini haina matunda linapokuja swala la umaliziaji(ufungaji)?

Au kipi kilimfanya amsugulishe benchi David Luiz kwa zaidi ya mechi 13 za EPL bila kuchezeshwa?
 
Unaweza shangaa huyo Pochetinho akaja kuchemka kama alivyochemkaga Moyez akitokea pale pale Tottenham maana sidhani kama Makocha wote waliowahi kung'aa vizuri wakiwa na timu ndogo walifanikiwa kwa zaidi au kiwango kile kile cha wakiwa katika timu kubwa.
 
Kuna uwezako mkubwa Bwana Baby Face akafanikiwa kwa kiasi chake, kwasababu anauzoefu mkumbwa na baadhi ya wachezaji tangu wakiwa wadogo, haswa huyo Paul Pogba, na taticts zake hazina utofauti na zile za Babu Fergie,Kutakuwa na mabadiliko makubwa katika chumba cha kubadilishia nguo.

Solskjaer amefundisha Molde na Cardiff ambayo aliishusha daraja sasa uzoefu mkubwa ni upi
 
Solskjaer amefundisha Molde na Cardiff ambayo aliishusha daraja sasa uzoefu mkubwa ni upi
Aliwahi kuwa kocha wa reserve ya Man united miaka ya mwanzoni na alifanya kazi chini ya Sir Fergie ndo maana nimesema aliwahi fanya kazi na baadhi ya wachezaji. Cardiff huko mambo ya kukosekana kwa mahitaji ya wachezaji stahiki na issue nyinginezo ndo ilikuwa sababu.
 
Tunaweza kumtazama Ole Gunnar Solskjaer kwa pande mbili

1. Kocha aliyepata mafanikio kwenye ligi yenye ushindani mdogo (huko Norway) kisha kuja EPL na kuishusha daraja Cardiff.Na pia kuanza msimu vibaya na Cardiff katika ligi ya Championship

2. Kocha anayeifahamu United na utamaduni wa United akiwa mchezaji na kocha.

Kocha aliyeipa ubingwa kwa mara ya kwanza timu ya Molde ya ligi kuu Norway kwa misimu 2.

Pia kocha aliyeifanya Molde ishike nafasi ya pili katika ligi kuu ya Norway katika kipindi chake cha ukocha hivi karibuni.

Tunaweza kumtazama kama moja kati disciples wa SAF.

Moja kati ya mtu anayejua kusoma mchezo (kumbuka akiwa United kama mchezaji, alikuwa akitokea benchi anabadili matokeo).

Tunaweza kumtazama kama mtu atakayetaka ku prove wrong wakosoaji wake baada kushindwa kufanya vyema pale Cardiff.

Tunaweza kumtazama kama kocha anayetaka kuonesha kwamba alishindwa akiwa Cardiff kwa sababu ya ufinyu wa rasilimali n.k

Ni uamuzi wako kuamua unamtazama vipi Ole

After all he is just a caretaker, temporal boss. Let's give him the benefits of the doubt.

Kuna WAOGA humu hawatatoa maoni yao sasa hivi, watasubiri Ole afanye vibaya wamponde, au afanye vizuri waje na hoja uchwara.
 
Kuna WAOGA humu hawatatoa maoni yao sasa hivi, watasubiri Ole afanye vibaya wamponde, au afanye vizuri waje na hoja uchwara.

Symptoms of inferiority complex, kwa nini ulazimishe kwamba eti ambaye hatatoa maoni ni mwoga?

Maoni yako yanaweza kuwa ni sahihi na watu wakaamua kukaa kimya kwa sababu wanaona umemaliza kila kitu.

Jiamini.
 
Kama mpira ni Makombe tu kafukuzwa kwa kosa gani?

Klopp hana kikombe hata kimoja Ila hana hata dalili za kuondoka..
Mourihno angeendelea miaka 3 mbeleni mngekua kama AC MILAN
Kwa bahati mbaya kwenu na nzuri kwetu bwana mou ameondoka jana katuachia mataji matatu ndani ya miaka miwili aliyokaa nasi. Majogoo miaka kumi sasa hakuna kikombe chochote kipya ndani ya makabati yenu.
 
Symptoms of inferiority complex, kwa nini ulazimishe kwamba eti ambaye hatatoa maoni ni mwoga?

Maoni yako yanaweza kuwa ni sahihi na watu wakaamua kukaa kimya kwa sababu wanaona umemaliza kila kitu.

Jiamini.
Inawezekana wewe ndio hujiamini ndio maana unaita wengine hawajiamini

Ninajua kwanini nimeandika hivyo. Cowards are dangerous people, just waiting in a wing to criticize once somebody appeared to be wrong

I "believe" you are not one of them
 
Back
Top Bottom