Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nimeshangaa sana huyu jamaa

Msome rio nae alikuwa mshabiki wa mourinho na mtetezi kwamba anamtetea kocha na timu ina maana nae wa hovyo? Jukwaa hili lina mambo ya ajabu sanaView attachment 971389
Kuna Rio, Neville, Gigs, Keano na wengine wengi

Na baada ya Mourinho kutumbuliwa, Neville amesema angependa Poch ndio apewe timu

Kwahiyo hapa watamshangaa Neville kutoa huo ushauri, kisa tu huko nyuma alikuwa anamsapoti Jose
 
Hahahahahahahahahahahahahahahaha lile genre la Mourinho mgalatia limekimbia ,wengine wamebadilishia gia an gani akina RADIKA Hahahahahahahahahahahahahahahaha
Mimi ni mshabiki wa timu na bench zima la ufundi sio mshabiki wa kocha nyie ndugu zangu wawapi? Yaani kama mtu mmoja anawazo tofauti ina maana ni adui wa timu? Ukikuta mnakubaliana wote jambo moja bila kupingana ubongo wenu unaweza kuwa na tatizo tumefukuza makocha wawili mourinho wa tatu nani mwenye tatizo? Unaweza kuniambia kwa nini makocha wawili hawakuwahi hata kushika nafasi ya pili na timu? Matatizo ya hii timu sio kocha ni uongozi mzima ila mnaweza kumhukumu mourinho kwa kuwa yeye ni kocha lakin ili kocha afanikiwe kuna vitu vingi sana
 
Kuna Rio, Neville, Gigs, Keano na wengine wengi

Na baada ya Mourinho kutumbuliwa, Neville amesema angependa Poch ndio apewe timu

Kwahiyo hapa watamshangaa Neville kutoa huo ushauri, kisa tu huko nyuma alikuwa anamsapoti Jose
Hapa leo pametoa kali ya mwaka
 
Kuna Rio, Neville, Gigs, Keano na wengine wengi

Na baada ya Mourinho kutumbuliwa, Neville amesema angependa Poch ndio apewe timu

Kwahiyo hapa watamshangaa Neville kutoa huo ushauri, kisa tu huko nyuma alikuwa anamsapoti Jose
Bado tumebaki na phil jones, chris smalling ashley young na valencia sisi ni maluza au washindi?
 
Watu wanafurahia Mou kufukuzwa ila tumetoka kwenye great Manchester na sasa hivi tunawaona Chelsea ndio role model wetu. Baada ya miaka kadhaa mtaona side effect ya kilichotokea leo. So sad kwa timu yangu.
 
Possible replacement

1. Carrick
2. Arteta
3. Jardim
4. Blanc
5. Zidane
6. Wenger
7. Pochetino
8. Garry Neville
9. Conte
10. Hiddink
11. Rodgers

Hawa ni baadhi ya makocha wanaotajwa tajwa
Kama tunataka mpira wa kushambulia basi ni kocha wa spurs tu zidane mechi kubwa anacheza kaunta atak means anapak bus
 
Nadhani pia Spurs hawana ambition ya kuchukua makombe.

Kama una ambition ya kuchukua makombe, lazima usajili.... Tena sio kusajili tu, bali usajili wachezaji bora

Point Yangu nadhani hujaielewa
 
Watu wanafurahia Mou kufukuzwa ila tumetoka kwenye great Manchester na sasa hivi tunawaona Chelsea ndio role model wetu. Baada ya miaka kadhaa mtaona side effect ya kilichotokea leo. So sad kwa timu yangu.

Wanashangilia vibaya sana kama tunakwenda kufanikiwa wakat kocha ajae hatujui kama nae project zake zitakuwa nzur au laa


Pia yanaweza kuwa ya liverpool ukawa ndo mwisho wa manchester united tukawa tunajivunia historia tu

Angalia bek zilizobak na viungo kisha angalia top 5 ya bek na viungo jumlisha na ushambuliaji je tunawakamata?

Tunapondana na kushangilia tunachokijua tunachofanya?

Mourinho katuachia timu gani?


Van gaal, Moyes na Mourinho kila mmoja kainyooshea kidole bodi ya united juu ya utafutaji na uundaji wa timu ya ushindani leo mtu anashangilia na kuzodoana kama tumeachia timu yenye nguvu ulaya


Toka aondoke sir alex hatujawahi hata kuwa na timu bora ulaya ktk top 10 tumezidiwa hata na atletico madrid kwa nini?
 
Point Yangu nadhani hujaielewa
Spurs hawajasajili kocha walie nae ana miaka kati ya 5 au 6 anaijua timu nje ndani anawajua players wake nje ndani hadi academy yake anaijua vizur sana na wachezaj wameielewa falsafa yake imewakaa vizur


Hebu chukulia pep angenyimwa hela za usajili maana kulikuwa na clichy,company,kolarov,zabaleta,mangala,otamendi na demishelis na bacary sagna angeambiwa una watu pambana nao hao ambao hao hadi muda huu wanaanza manchester united bila shida wakat pep kafukuza huoni kama ni pigo?

Sisi huku mourinho kaambiwa una smalling,jones,valencia huyu kabadilishwa toka 7 hadi bek young kabadilishwa toka 11 hadi 3 rojo injury prone labda bailly tu sema hapo je sisi timu tajiri duniani tunajua tunachofanya uwanjani?
 
Ukimtoa Bastian ambaye aliingia top 5 ya mauzo ya jezi na Depay aliyeingia top3 wachezaji wengi aliowataka LVG hawakuja sababu sura mbaya kama Muller hazitakiwi man u ya sasa, watu kama perisic ambao sio maarufu hawatakiwi, Timu imekuwa ni all about business,

Kocha anakuwa hana maana tena na maamuzi yake hayasikilizwi kwa style hii tutegemee tu kuchechemea kwa miaka mingi hadi Glazer na wahuni wake kina Woodward waondoke,Toka aondoke Gil hakuna chochote wanachofanya.
 
Pogba mwenyewe anakingiwa kifua mauzo ya jezi mchezaj mzur anajulikana hata awe kwa kocha mpak bus tumemtoa rooney everton inayojilinda yeye alijipambanua kuwa bora ndo mana alionekana leo mtu anakwambia flani hang'ai kwa kuwa tunazuia yule greizman kula wanashambulia?
 
dah! angalau sasa tunaanza ukurasa mwingine. Mou inabidi aachane na soka LA England. Aende China akale mapema, Moira hawezi tena.
 
Uko sahihi, imebidi nirudi kusoma Saga zima la kuondolewa kwake , Mzee hakuridhika kabisa alitaka amalizie mkataba wake . "In a separate club statement released at the same time,
Van Gaal said he was "very disappointed" not to see out his "intended three-year plan".
kumbukumbu zangu zinanidanganya kuwa, Van Gaal aliwapa FA na kesho yake Mourinho akatangazwa kumreplace.
 

Nadhani ni hawa


 
Wakuu hiki kipindi cha mpito tumpe timu jemedari paul scholes wakat wanatafuta kocha kamili aje athibitishe maneno yake


Jaribuni hicho kitendo muone

Manchester kabla ya chochote kwanza inahitaji mtu ambaye mwenye Talent of Wisdom wa kuirudishia Imani dressing room bila ya kujali matokeo mpaka mwisho wa huu msimu tu then yafuate mengine.

Venginevyo panaweza pakachafuka zaidi.
 
Hahahaha apewe tu tumuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…