Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mourinho “If you feel pressure, stay at home, and when I say home I don’t say stadium home, I say home home and watch on TV. When the people come to support, come on. I don’t feel pressure to play at home.” ........Hapa tuliingia kwenye 18 za wahuni tumepigwa mazima pesa kibao day.....

Hivi kweli kocha unawachezaji below miaka 25 unatoa hayo maneno? Hajui hao madogo wanahitaji mno kupewa mawaida ya confidence na upendo wa kocha..... kama jamaa hataki kubaki united si Adele direct tu kuliko huu ujinga anaobwabwaja
Mbona anaongelea washabiki siyo wachezaji?
 
Hili mbn ni kundi tosha la Man U! Huku watu wa chelsea utawaona pia wana comment. Hayo magrup ya Man U hawataki ishu za mpira mwingn. Itakua we unataka zionekane msg zipo nying kweny cm ako au upo bize kuchat
eti msg nyingi
 
1.DeGea kagoma kuongeza mkataba..
2.Pogba nae anataka kuondoka
3.Alexis Sanchez anasubiri dirisha lifunguliwe atimke..

Morinho akiendelea kubaki utd tutapoteza kila mchezaji wa muhimu..wachezaji wamemchoka.period
 
1.DeGea kagoma kuongeza mkataba..
2.Pogba nae anataka kuondoka
3.Alexis Sanchez anasubiri dirisha lifunguliwe atimke..

Morinho akiendelea kubaki utd tutapoteza kila mchezaji wa muhimu..wachezaji wamemchoka.period

De Gea ame-extend mkataba kwa mwaka 1 mpaka 2020 wakati majadiliano ya mkataba wa muda mrefu yakiendelea.
 
Bahati nzuri na wewe umekubali kwamba SAF alikuwa ana power (kwenye maelezo) na hiyo ndio hoja yangu. Power ninayoongelea ni kusikilizwa na bodi na kufanya yale anayoamua yeye

Kuhusu bajeti ndogo, ni kweli alikuwa anapewa fedha ndogo kusajili lakini ni ndogo unapolinganisha na bajeti za siku hizi.

Lakini kwa wakati ule bado zile bajeti zilikuwa kubwa. Nakumbuka alimnunua beki ghali Uingereza, kwa £ 30+ million Ferdinand kwa wakati huo. Lakini hata kwa £ 19 million kipa, kinda kama Degea ilikuwa ni kubwa mno. Sijataja akina Berbatov, Nesterloy n.k (kwa solo la wakati ule)

Kuwa na power manake ni kuiambia bodi unachotaka na ikakubali ama kumwambia mmiliki unachotaka akakubali, in short ukamueka chini na kumcontrol utakavo, hii power mpaka sasa wanayo makocha wa Citeh tu, Guardiola atakachoiambia bodi wanakubali tu. Kipindi hicho hao akina rio na wengine hela ilionekana nyingi kweli, lakini vipi ukilinganisha na signings za Madrid ama Citeh? zinafanana kweli kwenye manunuzi kipindi icho? Ukitizama hizo transfer windows wakati wa SAF how much he spent and how much others spent ndio utajua kama the guy had a very limited budget. Sasa iv Power ya spending Mou ikoje? Sasa tunashindana na hata Real Madrid kwenye kuspend, tatizo letu we dont spend wisely!!!

SAF na Glazer hawa jamaa walikuwa wanamvutano wao, lakini SAF alijua how to work with the resources he had. He had no power over the board decisions. Uzuri wa MUFC ni kwamba ukiwa manager, basi kazi zako huingiliwi, na Mou ana enjoy same freedom ila jamaa zilipendwa.
 
.
IMG-20181130-WA0017.jpg
 
Mkuu japo nitaonekana namtetea Mou. Vuta Picha Mou akimpiga na kiatu Pogba Leo nini kitatokea. Kwa Ferguson ilionekana yupo serious na mpira ila Kwa Mou haitoonekana hivyo. Mambo yamebadilika.
Ofcourse hatoonekana kuwa yupo serious na mpira, with his way of playing unafikiri yupo serious? He is not a guy who gets into a game to win, how can you take this guy as serious? afu aje ampige POGBA kiatu??? Duh!

Kingine ambacho naomba nipishane na wewe ni kuhusu Ferguson kufanya kazi Kwenye tight budget. Sioni kama Ferguson alifanya kazi Kwenye bajeti ndogo (ukilinganisha soko la kipindi kile na kipindi hiki). Mfano usajili wa Rio Ferdinand,Juan Sebastian Veron(ali flop), Rooney,RVN
Mwaka alomnunua Rio Ferdinand , total spending kwenye transfer market ni 32M, alipomnunua Veron na RVN 49.6M, kamnunua rooney for 25M hakununua mwengine (Usajili dirisha kuu). Hatukuweza ku compete na our European Rivals ambao kina Madrid, tumeshindwa kupata wachezaji kutokana na hela ya kununulia ama mshahara wa mchezaji.... Uhuru wa fedha alokuwa anao Fergie sio huu alokuwa nao Mou, Mou ana uhuru mkubwa sana, nasikia na January wana mpango wa kumtengea 100M azidi kupoteza hela mana tunazo nyingi siku izi.

Halafu Kumbuka, kipindi cha Glazers Klabu ilikuwa na deni, huku Glazers akitaka kuchota mahela. SAF na Gill walikuwa wanapita shida, kwa sababu Glazers trusted in Fergie, walijua huyu mtu ata ukimpa mbao achezeshe uwanjani atachukua ubingwa kwaio hawakuona umuhimu wa kurusha hela.
 
Kuwa na power manake ni kuiambia bodi unachotaka na ikakubali ama kumwambia mmiliki unachotaka akakubali, in short ukamueka chini na kumcontrol utakavo, hii power mpaka sasa wanayo makocha wa Citeh tu, Guardiola atakachoiambia bodi wanakubali tu. Kipindi hicho hao akina rio na wengine hela ilionekana nyingi kweli, lakini vipi ukilinganisha na signings za Madrid ama Citeh? zinafanana kweli kwenye manunuzi kipindi icho? Ukitizama hizo transfer windows wakati wa SAF how much he spent and how much others spent ndio utajua kama the guy had a very limited budget. Sasa iv Power ya spending Mou ikoje? Sasa tunashindana na hata Real Madrid kwenye kuspend, tatizo letu we dont spend wisely!!!

SAF na Glazer hawa jamaa walikuwa wanamvutano wao, lakini SAF alijua how to work with the resources he had. He had no power over the board decisions. Uzuri wa MUFC ni kwamba ukiwa manager, basi kazi zako huingiliwi, na Mou ana enjoy same freedom ila jamaa zilipendwa.
Mkuu sijui unatumia kigezo gani kufananisha bajeti ya City ya wakati huu na United wakati huo

Mimi ninatumia kigezo simple tu. Mfano Rio alivunja record ya beki ghali Uingereza. Niambie kama City amenunua beki au kipa au foward kwa kuvunja record yoyote misimu hii miwili

Degea alinunuliwa ...... kwa £19 kwa umri wake ...... ilikuwa ni ghali sana, wakati bei ya Ederson ni ya kawaida sana, ukilinganisha na bei ya makipa Uingereza achilia mbali duniani.

Embu rate bei za kinda ghali Wayne Rooney (kipindi hicho), kiungo Veron, Berbatov, Nesterloy. Hapo sijafanya uthamini wa academy graduates kama Paul Schoose, Bekham, Neville brothers, Gigs, Nick But n.k (hawa hawakununuliwa lakini je unaweza kuwa keep ukiwa na bajeti ya madafu?)

Kwa hiyo ki bajeti bado Fergie alipewa bajeti ya kutosha tu ukilinganisha na bajeti za vilabu za wakati huo. Kumbuka soko la wachezaji na bei zao lilichafuka notably baada ya matajiri kama Abromovich kujiingiza kwenye uwekezaji kwenye soka.

Kuspend wisely ninakubaliana na wewe some how, lakini bado kuna maeneo ili kuimarisha Glazer lazima akubali kutoboka handsomely bila hivyo tutaendelea kuwa top six teams
 
Back
Top Bottom