Guasa Ambonii
JF-Expert Member
- Aug 13, 2015
- 8,545
- 10,296
Tatu kibindoni tunasonga
wanasema mpira magoli......mambo mengine mtajua wenyewe.Tatu kibindoni tunasonga
Wenzako hawapo humu..... Ww hujishitukii??!!!Pole. Inaonekana roho imekuuma sana.
Kama mshabiki wa arsenane hajishtukii mii ndio nitajishtukia?Wenzako hawapo humu..... Ww hujishitukii??!!!
Thread yenu upo peke yako....Kama mshabiki wa arsenane hajishtukii mii ndio nitajishtukia?
Nyie mpo wangapi mkuuThread yenu upo peke yako....
Sio jukwaa letu hiliNyie mpo wangapi mkuu
Sasa unafanya nini humu mkuu wangu, si uchape lapaSi jukwaa letu hili
Ndo maana kuna vyama vya upinzaniSasa unafanya nini humu mkuu wangu, si uchape lapa
Sawa mkuu basi ngoja na mimi nilale useme nimekimbiaNdo maana kuna vyama vya upinzani
Lala upunguze stressSawa mkuu basi ngoja na mimi nilale useme nimekimbia
Bora mngeenda europa maana kwa uwezo ambao timu inaonesha haiwezi kuifunga timu yoyote itakayokutana nayo UEFA. Inatembea kwa shida.Tatu kibindoni tunasonga
We mkaliI think kinachoiponza United ni mafanikio waliyopata huko nyuma ambayo kwa kiasi kikubwa yalichangiwa na SAF ambaye alikuwa anaweza kupata mafanikio hata akiwa na average players +(Scouting ya klabu ilikuwa inafanya kazi nzuri sana) .Evra alisajiliwa kwa £5m,Vidic £12m,Van der Sar £2m so Glazers waliridhika as long wao wanaendelea kutengeneza faida kubwa nje ya uwanja.United ilimuuza CR7 kwa £80m replacement yake walikuwa Owen/Valencia / Obertan but kwakuwa alikuwa SAF still aliendelea kuchukua vizuri
Klabu nyingi sasa zina Director of Football ambaye anakuwa link kati ya top management(CEO,Owner) na technical bench na kuendelea kuhakikisha philosophy ya club inaendelea hii inasaidia hata makocha watakaopewa kazi wanakuwa hawatofautiani,
Juventus -Giuseppe Marota,Dortmund-Marc Zorc,Man City-Txiki Begiristain,Bayern-Matias Sammer/Hassan Salihamidzic,Liverpool-Michael Edward,Ajax-Overmars ,Atletico-Andrea Berta angalia hizo timu zinavyoendeshwa recently kuanzia kusajili wachezaji na makocha .Juventus miaka yote wanasajili wachezaji wazuri cheap hata wazee lakini wanakuwa na mchango mkubwa sana.Ukiangalia kuanzia Mancini,Pellegrini ,Pep hawa wote wanacheza soka la kushambulia ndio maana Kompany,Aguero,Silva,De Bruyne,Sterling,Fernandinho hawa hawakusajiliwa na Pep lakini ni wachezaji anaowategemea
Ferguson,Moyes,LVG,Mourinho (hatujui anayekuja) wote ni makocha wenye philosophy tofauti kabisa na kila kocha amenunua wachezaji wake kuna wachezaji hawawezi ku-improve kiwango zaidi ya walichonacho wameshakaa kwenye klabu zaidi ya miaka 4 Valencia,Jones,Young,Rojo,Lingard,Fellaini,Darmian,Smalling ) hata kwenye klabu walizokuwa mwanzo hawajawahi kucheza vizuri zaidi ya wanavyocheza sasa
Since miaka ya mwisho ya SAF Man City walishaanza kuwa tishio kwetu (nakumbuka wanatufunga 6-1,na tulivyowafunga 4-3 Owen anafunga goli la ushindi) tangia hapo sisi tunarudi nyuma wao wanazidi kuimarika na kama management hawataamka very soon wataanza kutuacha





Kama aseno akifanikiwa kupata hata sare na jitoa JF na sirudi tenaMan U timu ya kifala na kingese sana. Arsenal itawanyia hata 10 shenz nyie. Mpira gan mnacheza? Yan hii mechi yenu ingetakiwa isioneshwe hata kwenye Tv. Tupewe tu final results
Hasa wachezaji kama jana
Ukweli ni kwamba hii timu inatia hasira.
Hapa na ww umeongea uongo mno gemu ya kwanza tulicheza vizur sana labda tv yako ina makengeza hata mech ya jana umaliziaji tu rashford hakosi lawamaHata shuti ON TARGET MOJA mmeshindwa kupiga,
Narudia kusema ile game ya kwanza mlicheza ovyo sana, madogo walitawala mpira, cha ajabu mkashinda magoli 3.
Leo na uhakika mnasare, labda itokee papatupapatu tena
Ila mnasare au mnazabukiwa kimoko
Then next game mnaenda spain mnaenda mnapigwa ,mnakuwa sawa point na valencia, wewe unaelekea FUTUHI ,
Naenda kulala nikiamka baadae nataraji kukuta matokeo NEGATIVE , mkishinda basi ni papatupapatuView attachment 948595