Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu huoni Kuwa hiyo inaweza Kuwa ni uthibitisho Kuwa alishindwa kushindana na ma giant? (Maana Mara nyingi kuanzia robo fainali ndio Mchele na chuya vinaanza kujitenga)
Kushindana Alikua anashindana mkuu...Na fainali amefika Mara 4 nafikiri, Mbili akachukua Mbili akapoteza...Amefika robo fainali nyingi tu..

Labda ulitaka awe anachukua Kila mwaka.Kwa records zake Ferg hakua mnyonge UEFA.
 
Mkuu huoni Kuwa hiyo inaweza Kuwa ni uthibitisho Kuwa alishindwa kushindana na ma giant? (Maana Mara nyingi kuanzia robo fainali ndio Mchele na chuya vinaanza kujitenga)
I think kwanza ungetuambia hao makocha giants ambao walikuwa bora kuliko SAF na walichoshinda kumzidi yeye

Champions League na ligi ni mashindano tofauti yanayohitaji approach tofauti ndio maana hakuna kocha ambaye aliweza kupata mafanikio kwenye mashindano yote kwa wakati mmoja

Huwa inafika kipindi lazima uweke priority sehemu moja otherwise utakosa vyote
 
Kushindana Alikua anashindana mkuu...Na fainali amefika Mara 4 nafikiri, Mbili akachukua Mbili akapoteza...Amefika robo fainali nyingi tu..

Labda ulitaka awe anachukua Kila mwaka.Kwa records zake Ferg hakua mnyonge UEFA.
Sijamaanisha Kuwa achukue kila mwaka, ila Kwa mfano tunapo sema alidominate EPL sio kwamba alichukua kila mwaka ila alichukua Mara nyingi. Kwa mfano angekuwa na UEFA let's say 5 nadhani tungeweza Ku mrate zaidi. (Mtazamo wangu)
 
I think kwanza ungetuambia hao makocha giants ambao walikuwa bora kuliko SAF na walichoshinda kumzidi yeye

Champions League na ligi ni mashindano tofauti yanayohitaji approach tofauti ndio maana hakuna kocha ambaye aliweza kupata mafanikio kwenye mashindano yote kwa wakati mmoja

Huwa inafika kipindi lazima uweke priority sehemu moja otherwise utakosa vyote
Nimezungumzia kushindana na giants clubs sio makocha.

Tukitokea hapo Kwenye mtazamo wako kwamba pengine priority yake ilikuwa ni EPL kuliko UEFA (and of course alifanikiwa) hauoni Kuwa unakuja Kwenye point yangu Kuwa hana legacy kubwa Kwenye UEFA (pengine ni kutokana na hizo prority)?(Ukizingatia amefanya kazi Kwenye timu Moja Kwa zaidi ya miaka 20)
 
Semi Finalists Records za Makocha katika UCL

1. SAF (Manchester Utd) ana mara 7

2. Mourinho (Porto, Chelsea, Inter, Madrid) ana mara 7

3. Van Gaal - LVG ( Ajax, Barca, Bayern) ana mara 5

4. Marcelo Lipi (Juventus) ana mara 5

5. Miguel Munoz (Madrid) ana mara 5

Mkuu Johnmweusi bado una swali
 
Mwanzo mzuri
1924094497562754097_43371895_578700275899378_4110196457288935838_n.jpg
 
Umeonhe
Sir Alex Ferguson alikuwa Kocha Bora na Most Successful manager kwenye EPL lakini sikuwahi Kumsikia Kwenye Press akijisifu Kuwa Yeye Ni Kocha bora Kuliko Makocha wote Wa EPL..

Wala sikuwahi Kumsikia akijisifu kuwa yeye Ni Kocha Bora duniani..

Lakini Morinho haipiti Wiki atajisifu mbele ya Waandishi Wa Habari na Kuponda Wachezaji..

Hili ndiyo Linalomdhuru..

Lakini Si Kweli Kuwa Pogaba au Fred wabovu!!!

Bali Mourinho anawafanya waonekane Wabovu.

Martial
Rashford
Lingard
Hawa wakipata Kocha mwenye Urafiki na Wachezaji basi nakuhakikishia Ni Kina Giggs wapya hawa.

Lakini Mou anawaona kama Wauza Mihogo ya Kuchoma pale Ferri zinapokaa gari za Tegete - Nyuki.[/QUOTE
Umeongea vema, Ferguson alikuwa na busara nyingi.

Morinho ni faka,
Looserpool vipi?
🙂
 
Nimezungumzia kushindana na giants clubs sio makocha.

Tukitokea hapo Kwenye mtazamo wako kwamba pengine priority yake ilikuwa ni EPL kuliko UEFA (and of course alifanikiwa) hauoni Kuwa unakuja Kwenye point yangu Kuwa hana legacy kubwa Kwenye UEFA (pengine ni kutokana na hizo prority)?(Ukizingatia amefanya kazi Kwenye timu Moja Kwa zaidi ya miaka 20)
Kwanza sijakuelewa unaizungumzia Manchester United au SAF ?
Na pia unapomfanyia kocha/klabu assesment lazima uwe na reference point ya kumlinganisha nao (mention walichoshinda kwa kipindi hicho) then linganisha.
 
Paul Ince: "Jose Mourinho is an emotional man, he has been all his career. We know that - but, at the minute, everything he does, everybody is jumping on it, trying to make it a negative story." [Paddy Power] #mufc

Ince: "I understand they have to have opinions - I've done both roles, I can see it from both sides - but they don't know what it's like to be in that situation as a manager." #mufc

Ince: "Pundits like Rio Ferdinand and Paul Scholes, the ones who keep having a go at Mourinho and United all the time, they've not managed, they've not had to make the big decisions." #mufc

I think we should appoint paul scholes to feel d hot seat a little
#MUFC
 
Kasema ukweli wa jobless men wawili wanashida sana. Ilhali hawajawahi hata kufundisha team ya watoto hata Michael carrick anawazidi uzoefu kwenye coaching role
Paul Ince: "Jose Mourinho is an emotional man, he has been all his career. We know that - but, at the minute, everything he does, everybody is jumping on it, trying to make it a negative story." [Paddy Power] #mufc

Ince: "I understand they have to have opinions - I've done both roles, I can see it from both sides - but they don't know what it's like to be in that situation as a manager." #mufc

Ince: "Pundits like Rio Ferdinand and Paul Scholes, the ones who keep having a go at Mourinho and United all the time, they've not managed, they've not had to make the big decisions." #mufc

I think we should appoint paul scholes to feel d hot seat a little
#MUFC
 
Angekuwa jose kaongea hayo kwa rashford angekiona cha motoView attachment 952080
Ungesikia oooh Mourinho hawezi ku handle wachezaji vijana ndio maana anafanya vibaya. Kinachomponza Jose ni kutopata matokeo, akianza kupata matokeo hutasikia kashfa zinazomkabili (hili nimewahi kulisema huko nyuma)

Huwa najiuliza hivi hata huyo Pep ni makinda gani aliowatoa wakawa ma super star, siwaoni
 
Ungesikia oooh Mourinho hawezi ku handle wachezaji vijana ndio maana anafanya vibaya. Kinachomponza Jose ni kutopata matokeo, akianza kupata matokeo hutasikia kashfa zinazomkabili (hili nimewahi kulisema huko nyuma)

Huwa najiuliza hivi hata huyo Pep ni makinda gani aliowatoa wakawa ma super star, siwaoni
labda sergio busquete peke yake
 
Hhhhh...vumilieni tu...mbona ss tulivumilia miaka 10...naona mashabiki ndo mnapiga kelele ila bodi ipo kimya na bado inamuamini...nasikia wanataka wampe tena hela asajili dirisha likifika...kwa sasa itabidi mfungwe tu hamna namna...
Afadhali yenu nyie angalau mpira wenu ulikuwa unatia tamaa japo kidogo... sisi kinachotuuma ni kuwa sasa ivi timu ikicheza na Derby county, basi Derby itaonekana madrid na MUFC itaonekana Mtibwa sugar tu.... Kuanzia bodi, kocha mpaka wachezaji wao ni pesa tu..... Na hizo hela wanazotaka kuumpa wanataka kuzipoteza tu. Mou saiv ajiunge na Babu Wenger wakapumzike tu
 
Back
Top Bottom