Power ipi alokuwa nayo? SAF alikuwa anafanya kazi kwenye tight budget, kikosi cha SAF kilikuwa cha kawaida tu. SAF alikuwa ni mtu ambae anaweza kukumanipulate kisaikolojia tu na alikuwa strict and serious kwenye suala zima la mpira. Wachezaji wote mbele ya SAF wanakuwa kama baba na watoto wake. SAF aliweka Discipline kutoka management, board mpaka FA walikuwa wanamheshimu huyu mtu. kitu ambacho MOU ana lack, no one respects MOU kwa sababu yeye mwenyewe hajirepsect...
So its not the Power SAF had, its KNOW HOW which MOU lacks. SAF amekuja EPL amesema anataka kuangusha utawala wa Liverpool, and he was successful kwa kutumia MUFC, Mou amekuja EPL amesema anataka kuiangusha MUFC wakati yupo chelsea, ameshindwa kufanya ivo, ameamua kuja MUFC moja kwa moja kuja kuiua..... Huyu jamaa zilipendwa, kama hela amepewa tele, lakini unaona we mwenyewe, mchezaji leo akicheza vizuri anakuja kumueka bench mwezi mzima. Tumemnunua Dalot, yuko wapi? U21 au?
Klabu nzima imekosa discipline, hebu wewe nambie mara ya mwisho kuuona mchezaji akieka mikato ya ajabu under SAF nini kilitokea?
Beckham na ustar wake alimrushia kiatu.... That shows how serious he was into building an empire....