Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mimi nakwambiaje tutahama na vifaa vyetu mpaka siku ambayo mgonjwa anakata roho. Na siyo mbali ni hapo Jumapili ndio tutahitimisha msafara wa kusindikiza mgonjwa.

Kwa niaba ya wanakamati wa maandalizi ya msiba nataka nimtoe hofu mwenyekiti wangu Mentor asiwe na hofu kuhusu swala la maturubai.
Hahhahhahaha. Nimecheka aiseee.
Umeufanya usiku wangu kuwa mwerere..
Kama vile nawaona mnavyozunguka na vifaa vyenu.
 
Ile mechi walio haribu ni Gundogan na Silva ambao waliwaste chance kubwa nyingi sana sasa nyinyi mkatokea kwenye setpieces kama jana. Lau kama Gundogan na Silva wasingewaste nafasi za magoli vile mlikuwa mle tano hivi for sure. Nadhani hiyo ndio sababu Pep kaamua kumdrop Gundogan from Squad na kuwa replaced na Bernado Silva ambae ni finish master, Bernado ni one chance one goal.Kazi mnayo, David Silva yupo kucreate chances halafu wauaji wanamalizia(Sane, Sterling, Bernado)
Hata kwa juve mlisema hivi hivi....
 
Hahaa.. Hatuna namna sisi ni ndugu na hatuwezi tupana katika vipindi kama hivi. Tuko sambamba kumuuguza marehemu.
Hahhahhahaha. Nimecheka aiseee.
Umeufanya usiku wangu kuwa mwerere..
Kama vile nawaona mnavyozunguka na vifaa vyenu.
 
Ukiachilia mbali Mourinho kuwa kocha ila huyu jamaa ana mapenzi /mahaba na hii timu ukimuangalia akashinda huwa ana mzuka wote yani,na kejeri juu kwa fans,namuombea mafanikio zaid katika club yetu pendwa ya man u
Nimeipenda hapo alivyoweka mdomo
1541703161608.gif
 
Ni sawa unachokizungumza brother hao wote wapo Manchester united kwa muda mrefu ukilinganisha na wachezaji wengine waliopo lakini kwa viwango vyao wanavyovionyesha uwanjani kwa sasa umefika muda muafaka wa klabu kutafuta damu mpya zitakazorudisha heshima ya manchester united ambayo imeshapoteya kwa miaka 6 hii iliopita. Naomba uwe mkweli hivi kati ya hao wote watatu (smalling, young, valencia) ni yupi kati yao mwenye uwezo wa kucheza real madrid, barcelona, juventus,chelsea, manchester city na hata liverpool kwenye kikosi cha kwanza?

kwa kiasi kikubwa tabia hii ya kuwashikilia wachezaji ambao uwezo wao unaonekana dhahiri umepungua lakini klabu ikaendelea kuwapa mikataba mipya kwa hoja ya uzoefu walionao imechangia kwa kiasi kikubwa kutufikisha nyakati ngumu hizi na bahati mbaya ugonjwa huu ulikuwepo tokea nyakati za ferguson. Tukiangalia upande wa pili hivi kuna mchezaji anayeifahamu chelsea kuliko john terry lakini mbona ilipofika muda klabu iliona ni bora iachane naye na watafute wachezaji wapya watakaoendeleza harakati za ushindani sasa kwa nini kwetu sisi inakuwa ni vigumu?

Unasema timu haijapata mbadala wa ashley young ndio maana wanaendelea kumpa mkataba mpya, kwa ufahamu wangu mdogo kuna njia kuu mbili za kupata mbadala wa mchezaji unayetarajia kumuondoa nazo ni kutumia academy player kama walivyofanya liverpool walipoamua kumpa nafasi alexander arnold awe mlinzi wao wa kulia au kufanya usajili wa mchezaji kutoka klabu nyengine kama wanavyofanya klabu nyengine, kwa mfano ukitaka kujua jinsi gani soka linabadilika wakati manchester united tunaendelea kuwapa mikataba mipya jamii ya wachezaji kama valencia na young upande wa pili majirani zetu wanamuondoa alexander kolarov ambaye ana uwezo wa kucheza kwenye timu yetu na wanamsajili kyle walker kwa 50 millioni pounds. kitendo cha ashley young na valencia kurudishwa eneo la ulinzi ni uthibitisho tosha wa kushuka kwa viwango vyao kwa sababu wote hao wamesajiliwa kama ni wachezaji wa mbele.

kuitwa kwa ashley young kwenye timu ya taifa hususani ya Uingereza haina maana yeyote kiupande wangu kwa sababu ukimuondoa harry kane na kyle walker hakuna muingereza yeyote mwenye uwezo wa kujumuishwa kwenye kikosi cha wachezaji 50 wa timu za taifa kama vile france, germany, brazil na hata spain hii ya kipumbavu inayothubutu kumweka benchi azpilliqueta mbele ya nacho wa real madrid.

tulishafanya makosa na hatupaswi kuendelea kufanya tena makosa, ni kama masaa 24 yaliopita tulianza kushuhudia waarabu wa etihad wakimsajili robinho, santa cruz, phillips ndani ya klabu yao hatimaye mashabiki na viongozi wa manchester tukajiaminisha ya kwamba klabu haijengwi kwa nguvu ya fedha pekee na pia manchester city hawana uwezo wa kutawala jiji la manchester.
wakaleta wachezaji waliokuwa na uwezo wa kucheza kwenye kikosi chetu kama vile yaya toure, silva, dzeko, kolarov, zabaletta, aguero n.k na sisi tukaendeleza utamaduni wetu wa kuwapa nafasi wachezaji ambao walishaonyesha dalili ya kuwa wa kawaida kiviwango, kwa mfano fletcher, oshea, brown, smalling, jones, buttner na cha kushangaza zaidi tukakataa kulipa paundi milioni 33 kwa ajili ya usajili wa sneijder na luka modric na hatimaye tukamrudisha paul scholes kwa mwaka mmoja.
wakatupiga goli 6 uwanjani kwetu lakini bado tukaendelea kusinzia na kujifanya kama matokeo hayajatuharibia heshima yetu hatimaye leo hii manchester city wamekuwa ni bora mbele yetu.

Naamini kwa anayeangalia mpira kwa jicho la tatu basi atakuwa ameshaiona hali halisi ya timu yetu ilivyo kupitia mechi mbili zetu za juventus. Ed woodward anapaswa kuacha tabia za kifala na ujuaji mwingi kwenye kuiendesha klabu, tunahitaji damu mpya zaidi ya nne ili tuweze kupambana nao kibabe juventus na wababe wengine. Kwa muda mrefu nilishindwa kumuelewa mourinho nadhani umefika muda wa kumtafuta bwana polepole wa thread hii ili niunge mkono juhudi za jose mourinho za kuirudisha manchester united kwenye soka la ushidani haijalishi kwa soka la Chato FC na dau langu ni konki konki konki zaidi ya mange.

jose mourinho hajawahi kuwa mnafiki kwenye maisha yake ya soka na hatokuwa mnafiki kwenye maisha yake yote ya soka ndio maana anatwambia live ya kwamba manchester united tuna wachezaji wa kawaida sana japokuwa inakuwa vigumu kumuelewa.

mkuu kuna jambo umesahau kwa bahati mbaya baada ya kuandika ya kwamba hatujawahi kufungwa mechi alizocheza ashley young kama mlinzi wa kulia msimu huu, na pia ashley young amefunga magoli 13 tu kwenye mechi 158 za manchester united, ina maana anazidiwa hata na sergio ramos wa real madrid.

View attachment 926756
Young ndiyo aliyemkalisha benchi Alexander Arnold world cup utasemaje kuwa kashuka kiwango ?
 
I think now waliokuwa wanataka Mourinho afukuzwe wataanza ku-admit lingekuwa kosa kubwa sana kufanya maamuzi hayo kwa wakati ule ,licha ya matatizo yake lazima tukubaliane most players walikuwa wanacheza chini ya viwango kwenye mechi za mwanzo I think walielewa now wanapigana kwa ajili ya timu.Now players ambao tuliambiwa wamekosana na kocha (Pogba,Shaw,Martial) wamejitokeza hadharani na kukubali now hawana tofauti na kocha na wanaonyesha uwanjani.Nimefurahishwa na viwango vya wachezaji kama Young,Mata & Herrera (hawa wana DNA ya United) na I hope wataongezewa mikataba.Wachezaji kama Jones,Rojo na Valencia hawa wanapaswa kuondoka mwisho wa msimu
 
MAN U haikushindwa kulipa pauni million 33 kwa Sneider yeye alihitaji mshahara mkubwa ambao ungeathiri rate ya mishahara ya team nzima.
Ni sawa unachokizungumza brother hao wote wapo Manchester united kwa muda mrefu ukilinganisha na wachezaji wengine waliopo lakini kwa viwango vyao wanavyovionyesha uwanjani kwa sasa umefika muda muafaka wa klabu kutafuta damu mpya zitakazorudisha heshima ya manchester united ambayo imeshapoteya kwa miaka 6 hii iliopita. Naomba uwe mkweli hivi kati ya hao wote watatu (smalling, young, valencia) ni yupi kati yao mwenye uwezo wa kucheza real madrid, barcelona, juventus,chelsea, manchester city na hata liverpool kwenye kikosi cha kwanza?

kwa kiasi kikubwa tabia hii ya kuwashikilia wachezaji ambao uwezo wao unaonekana dhahiri umepungua lakini klabu ikaendelea kuwapa mikataba mipya kwa hoja ya uzoefu walionao imechangia kwa kiasi kikubwa kutufikisha nyakati ngumu hizi na bahati mbaya ugonjwa huu ulikuwepo tokea nyakati za ferguson. Tukiangalia upande wa pili hivi kuna mchezaji anayeifahamu chelsea kuliko john terry lakini mbona ilipofika muda klabu iliona ni bora iachane naye na watafute wachezaji wapya watakaoendeleza harakati za ushindani sasa kwa nini kwetu sisi inakuwa ni vigumu?

Unasema timu haijapata mbadala wa ashley young ndio maana wanaendelea kumpa mkataba mpya, kwa ufahamu wangu mdogo kuna njia kuu mbili za kupata mbadala wa mchezaji unayetarajia kumuondoa nazo ni kutumia academy player kama walivyofanya liverpool walipoamua kumpa nafasi alexander arnold awe mlinzi wao wa kulia au kufanya usajili wa mchezaji kutoka klabu nyengine kama wanavyofanya klabu nyengine, kwa mfano ukitaka kujua jinsi gani soka linabadilika wakati manchester united tunaendelea kuwapa mikataba mipya jamii ya wachezaji kama valencia na young upande wa pili majirani zetu wanamuondoa alexander kolarov ambaye ana uwezo wa kucheza kwenye timu yetu na wanamsajili kyle walker kwa 50 millioni pounds. kitendo cha ashley young na valencia kurudishwa eneo la ulinzi ni uthibitisho tosha wa kushuka kwa viwango vyao kwa sababu wote hao wamesajiliwa kama ni wachezaji wa mbele.

kuitwa kwa ashley young kwenye timu ya taifa hususani ya Uingereza haina maana yeyote kiupande wangu kwa sababu ukimuondoa harry kane na kyle walker hakuna muingereza yeyote mwenye uwezo wa kujumuishwa kwenye kikosi cha wachezaji 50 wa timu za taifa kama vile france, germany, brazil na hata spain hii ya kipumbavu inayothubutu kumweka benchi azpilliqueta mbele ya nacho wa real madrid.

tulishafanya makosa na hatupaswi kuendelea kufanya tena makosa, ni kama masaa 24 yaliopita tulianza kushuhudia waarabu wa etihad wakimsajili robinho, santa cruz, phillips ndani ya klabu yao hatimaye mashabiki na viongozi wa manchester tukajiaminisha ya kwamba klabu haijengwi kwa nguvu ya fedha pekee na pia manchester city hawana uwezo wa kutawala jiji la manchester.
wakaleta wachezaji waliokuwa na uwezo wa kucheza kwenye kikosi chetu kama vile yaya toure, silva, dzeko, kolarov, zabaletta, aguero n.k na sisi tukaendeleza utamaduni wetu wa kuwapa nafasi wachezaji ambao walishaonyesha dalili ya kuwa wa kawaida kiviwango, kwa mfano fletcher, oshea, brown, smalling, jones, buttner na cha kushangaza zaidi tukakataa kulipa paundi milioni 33 kwa ajili ya usajili wa sneijder na luka modric na hatimaye tukamrudisha paul scholes kwa mwaka mmoja.
wakatupiga goli 6 uwanjani kwetu lakini bado tukaendelea kusinzia na kujifanya kama matokeo hayajatuharibia heshima yetu hatimaye leo hii manchester city wamekuwa ni bora mbele yetu.

Naamini kwa anayeangalia mpira kwa jicho la tatu basi atakuwa ameshaiona hali halisi ya timu yetu ilivyo kupitia mechi mbili zetu za juventus. Ed woodward anapaswa kuacha tabia za kifala na ujuaji mwingi kwenye kuiendesha klabu, tunahitaji damu mpya zaidi ya nne ili tuweze kupambana nao kibabe juventus na wababe wengine. Kwa muda mrefu nilishindwa kumuelewa mourinho nadhani umefika muda wa kumtafuta bwana polepole wa thread hii ili niunge mkono juhudi za jose mourinho za kuirudisha manchester united kwenye soka la ushidani haijalishi kwa soka la Chato FC na dau langu ni konki konki konki zaidi ya mange.

jose mourinho hajawahi kuwa mnafiki kwenye maisha yake ya soka na hatokuwa mnafiki kwenye maisha yake yote ya soka ndio maana anatwambia live ya kwamba manchester united tuna wachezaji wa kawaida sana japokuwa inakuwa vigumu kumuelewa.

mkuu kuna jambo umesahau kwa bahati mbaya baada ya kuandika ya kwamba hatujawahi kufungwa mechi alizocheza ashley young kama mlinzi wa kulia msimu huu, na pia ashley young amefunga magoli 13 tu kwenye mechi 158 za manchester united, ina maana anazidiwa hata na sergio ramos wa real madrid.

View attachment 926756
 
I think now waliokuwa wanataka Mourinho afukuzwe wataanza ku-admit lingekuwa kosa kubwa sana kufanya maamuzi hayo kwa wakati ule ,licha ya matatizo yake lazima tukubaliane most players walikuwa wanacheza chini ya viwango kwenye mechi za mwanzo I think walielewa now wanapigana kwa ajili ya timu.Now players ambao tuliambiwa wamekosana na kocha (Pogba,Shaw,Martial) wamejitokeza hadharani na kukubali now hawana tofauti na kocha na wanaonyesha uwanjani.Nimefurahishwa na viwango vya wachezaji kama Young,Mata & Herrera (hawa wana DNA ya United) na I hope wataongezewa mikataba.Wachezaji kama Jones,Rojo na Valencia hawa wanapaswa kuondoka mwisho wa msimu
tunapenda kumchukia na tunachukia kumpenda Jose anakuoffer vitu viwili kwa wakati mmoja furaha na karaha same to PP6
 
Back
Top Bottom