radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Chansi anapata ngapi? Hivi kwa mfumo wa city nani anashindwa kufunga goli kama anaaminiwa kuingia kwenye 18 kufuatana na maelezo ya pep? Huyo anaenda kufunga anabutua nyasi????Ww ndio unayeanzisha ya sane jamaa anaongelea ubora wake katika kumalizia na hata idadi ya goal zipo waz kwa nn tunakuwa wagumu kukubali hata km ana ubovu lakin hauonekan kwa anachokifanua

