Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kweli kabisa. Na amewananga kweli leo....

Hapo ndio utamu wa Mourinho unaponoga.View attachment 925339
Kipindi anachukuwa ubingwa na porto alitufumuaga ki goli kimoja nyumban alikimbia uwanja mzima akateleza mbele ya sir alex alimaind sana tulikuwa tuna muda mrefu hatujafungwa hom mjinga alivunja rekod na timu ya kawaida tu.

Huyo ndo jose mourinho
 
Kipindi anachukuwa ubingwa na porto alitufumuaga ki goli kimoja nyumban alikimbia uwanja mzima akateleza mbele ya sir alex alimaind sana tulikuwa tuna muda mrefu hatujafungwa hom mjinga alivunja rekod na timu ya kawaida tu.

Huyo ndo jose mourinho
Sasa subiri tuhitimishe weekend kwa kumchapa yule jirani mbwiga....utaona nyodo zake kwa game zitakazo fuata.
 
Tunauwezo mzuri tu wa kuwachallenge City jumapili..Pogba akiwa form naamini kila kitu kitakaa sawa..

Keep lukaku out of the starting X1...
Jamani mnisamehe mimi mtu wa Liver nimepita tu huku kuwapa hongera, ila jamani mmeshinda lakini Pogba anawangusha kwa kweli anatakiwa ku step up. kwanini anashindwa kufanya basic ya midifielders kapoteza mipira mingi sehemu mbaya kwa kweli. kwani mtu lazima upige chenga. Ukweli jana nimeamini Pogba bado sana kama anataka kuwa good player lazima abadilike. halafu eti hakutaka kushangalia mbona Ronaldo kashangilia halafu kama kawaomba msamaha Man u which is ok lakini raha ya mpira kushangilia. nachukia sana hawa wacheza waio shangilia sababu tu alichezea team fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…