Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nasikia jamaa ndo alikua mtu pekee aliyekuwa anaweza kumchallenge Jose kuhusu kikos au mbinu za mchezo husika na Jose akamsikiliza,,,,,pia jamaa alikua vzr tactically,,, wapo pamoja tokea fc Porto, Chelsea, inter,,Madrid,, Chelsea, man u,then jamaa akaomba kukaa pembeni,,

Walikuwa wote kabla ya FC Porto, inaonekana jamaa ndo ilikuwa Think Tank ya Mou.

Ila leo Man Utd kapiga kazi.
 
Mkuu mm kila siku nasema kocha hana hatia ila sisi tunalazimisha aje kwenye utamaduni kitu ambacho kigum yule ana utamadun wake apewe watu tu
Ila kuna wakati Mou huwa anafanya vituko,sasa leo Scot alimpanga wa nini?

Mata pia sio mtu wa bench, hii game imegeuzwa na mata. Mata ni mchezaji aina ya akina Bernardo Silva, kaangalie Pep anavyomtumia pale city.

Aache ufala wa kugombana na wachezaji,wanaweza kumpa na kimnyima ubora.
 
Kama ni hivyo bora tuseme Manchester United ilicheza mpira mzuri leo. Kucheza vizuri ktk kipindi kimoja kusihesabiwe ni kucheza mechi nzima...
Acha unafki wewe kipindi cha kwanza tumecheza with low intensity,,huyo martial ungemuonea wapi??..Kubali Martial amecheza vizuri leo
 
Mourinho ndiye kocha bora duniani. Ni aibu kubwa sana watu kama Bout na Ed Woodward wanamfundisha Mourinho namna ya kucheza na kusajili. Mourinho mpeleke hata PSV atabeba ubingwa. Mou ameikuta United nafasi ya 6. Msimu wa kwanza kabeba
Yuropa, Ngao ya Jamii, Carling Cup

Tuambieni basi ni kocha gani msimu wa 2017 ambaye alivaa medali tatu hata kama ni za mbuzi?

Msimu wa pili kamaliza na alama nyingi kuliko klabu yeyote ispokuwa Man City. Yaani ndani ya miaka miwili amecheza fainali 5 tofauti, CARLINGA, CA, YUROPA, FA na UEFA super cup ni kocha yupi England basi mwenye ubavu huo?? Mbona Ferguson alikaa misimu mitatu bila ubingwa tena akimaliza nafasi ya 3 mara mbili mfululizo akiwa na kikosi bora kabisa duniani kuanzia 2003 mpaka 2006 kwanini wa Mou imekuwa nongwa? Au kisa sio Muingereza mwenzao?
ED alimfukuza Van Gaal chini kwa chini leo nasikia wamepanga ujinga wao sebuleni wameshtukiwa wameanza kukanusha... ED ndo anapaswa kuondoka sio MOU. UNAFIKI UACHWE NAWAAMBIA. MOU NTAMKUBALI POPOTE ATAPOENDA KUFUNDSHA SOKA. FULLSTOP.
Hii Post najua mnaikumbuka sasa manaa wanaomkubali Mou ni wachache najua. Kama mliona fans wa united wanamponda Ed kuliko mou na ukweli unaonekana
 
Plan za mourinho ni kupaki mabasi tu
siku hiyo mechi haitakua na mshindi naomba uhifadhi hii comment.
rai kwa wale wanaobet odds zikiwa hivi
IMG_20181006_215418_336.JPG

au hivi
IMG_20181006_215343_100.JPG

mara nyingi mechi hiyo huisha kwa droo
 
Ila kuna wakati Mou huwa anafanya vituko,sasa leo Scot alimpanga wa nini?

Mata pia sio mtu wa bench, hii game imegeuzwa na mata. Mata ni mchezaji aina ya akina Bernardo Silva, kaangalie Pep anavyomtumia pale city.

Aache ufala wa kugombana na wachezaji,wanaweza kumpa na kimnyima ubora.
Nilipomuona scott nilijua tutakuwa na shida huyu dogo ni mzur timu ikiwa na bek wa maana bado hana nguv za kupambana
 
Vipindi vyote siri ya ushindi Man U huwa ni kujituma kwa wachezaji.

Hata wakati wa Fergie wachezaji United walikuwa wa aina hii hii, staa mmoja watatu bhasi, wengine walikuwa wa kawaida lakini walikuwa wapambanaji tofauti na sasa.

Hatukuwahi kucheza entertaining footbal japo tulicheza attacking.

Hawa wachezaji wanahitaji motivation ya Mwl na Wanasaikolojia tuu, maana jinsi wanavyoandamwa na media, wanapoteza confidence.
 
Josee Is A Winner Woodward Is A Looser
Hili bango limenichekesha sna mashabik wa hii timu wa ng' ambo wanajua nani mchawi siji kusahau msiku wa kwanza ulipoisha mourinho alimtaka greizman dogo alikuwa tayar ed akawa bize kutafuta mikataba ya kibiashara hadi tukamkosa baadae tukahamia kwa lukaku hovyo sana ed
 
Pogba, Matic na Scot Mc Tominay wamepiga defence Kali. Martial, Mata wamekimiza forward. Wameonyesha kuwa huwa tunafungwa kwa makusudi na kwamba wakiamua wanaweza.
Kipind cha pili pogba nilimuona kabadilika sana ila pamoja na kwamba kocha tunataka abaki mechi ya leo imetuma salam kwa kocha kwamba tunawachezaj sio kupak bus maana wote walifunguka nahisi baada ya kuambiwa tupo hom
 
De gea
DalotRojoSmallingShaw
Fred matic pogba
Lukaku Sanchez Martial

Lukaku ni mzuri atleast akitokea pembeni..hivi hiki kikosi hakiwezi kuwa na potential kwa sasa??
 
Back
Top Bottom