radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Mkuu sio ma floap ni kwamba kocha anachopigania kujitoa kwa asilimia zote kama walivyofanya leo au shaw alivyoamkaDah Leo maflop wa Mourinho ndiyo wamemuokoa tulikuwa tunakufa kizembe sana OT
Mkuu sio ma floap ni kwamba kocha anachopigania kujitoa kwa asilimia zote kama walivyofanya leo au shaw alivyoamkaDah Leo maflop wa Mourinho ndiyo wamemuokoa tulikuwa tunakufa kizembe sana OT
Naangalia watu waliofunga magoli wote siyo anaowapa nafasi Mara kwa Mara ndiyo maana nikawaita maflop wakeMkuu sio ma floap ni kwamba kocha anachopigania kujitoa kwa asilimia zote kama walivyofanya leo au shaw alivyoamka
Ndo plan hizo, na kwa kupitia hizo hizo plan za kupaki basi amewapa mataji matatu.Plan za mourinho ni kupaki mabasi tu
Nilichogundua ni mzur akitokea pembeni mourinho alimpeleka pembeni katikati akasimama fellain na sanchezIla team imecheza vizuri sema lukaku anapoteza nafasi nyingi sana za kuscore
Ni mzito mno ila anahitaji washambuliaji wa kusaidiana naye kwa karibu. Mara nyingi kunakuwa na distance kubwa kati yake na wasaidizi kwenye attack.Ila team imecheza vizuri sema lukaku anapoteza nafasi nyingi sana za kuscore
Tulimhitaj sana greizman kwa kweli mourinho alipoint kitu sahihi mlevi ed katuangusha sanaNi mzito mno ila anahitaji washambuliaji wa kusaidiana naye kwa karibu. Mara nyingi kunakuwa na distance kubwa kati yake na wasaidizi kwenye attack.
Umeona mkuu au bado ujaaminiNaona bro
Leo kakazia bifu kwa dogo Rashford hata handshake hamna. What a manager!!! Ridiculous. Aondoke kabisa chizi yuleIla kuna wakati Mou huwa anafanya vituko,sasa leo Scot alimpanga wa nini?
Mata pia sio mtu wa bench, hii game imegeuzwa na mata. Mata ni mchezaji aina ya akina Bernardo Silva, kaangalie Pep anavyomtumia pale city.
Aache ufala wa kugombana na wachezaji,wanaweza kumpa na kimnyima ubora.
Nipo hapa mtaniWewe nakutafuta nikupe zawadi yako
Ahhh wapi!! Umeisahau ile iliyopita eeh?Sasa tumsubiri hazard, willian, Pedro watakavyowavuruga mabeki wa man united
Wewe unamsema mlevi lakini kutokutoa pesa kumemweka uchi mtu anayejiita the special one.kumbe ghalasha. Lazima achape lapaTulimhitaj sana greizman kwa kweli mourinho alipoint kitu sahihi mlevi ed katuangusha sana
Jukum lake ni lipi? Kwani pep bila pesa angekuwa pale? Au umesahau 4g za leicester alizokuwa anakula mpira pesaWewe unamsema mlevi lakini kutokutoa pesa kumemweka uchi mtu anayejiita the special one.kumbe ghalasha. Lazima achape lapa
Achape lapa hana jipyaJukum lake ni lipi? Kwani pep bila pesa angekuwa pale? Au umesahau 4g za leicester alizokuwa anakula mpira pesa
Et lazima achape lapa kamfukuze sasa wanaolipa tiket za gharama kiwanjan hata bango hawakubeba ila wewe huku jf unamfukuza kocha mkuu tubak na uswahili wetu wazungu wanaanza na chanzo kabla ya tatizoWewe unamsema mlevi lakini kutokutoa pesa kumemweka uchi mtu anayejiita the special one.kumbe ghalasha. Lazima achape lapa
Tubak na uswahili wetu mzungu si mwenzetu ule uwanja haukuwa na wazo wala bango kama ambalo unapendaAchape lapa hana jipya
Ha ha ha iangalie tu ndugu ni timu yako. Leo nahisi walivyoenda mapumziko akawaambia wachezaji chezeni mjuavyo la msingi mlete ushindiSitoiangalia ManU mpaka huyu mzee aondoke