Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Sasa tumsubiri hazard, willian, Pedro watakavyowavuruga mabeki wa man united
 
Mimi ndio yule Mtanzania ambae nimetukanwa vya kutosha humu ndani kuhusu Mou.



Ninawakumbusha mambo ambayo niliyapigia kelele na sasaa yametokea kweli ;Nilisema kuwa,

1) chini ya mou kila mchezaji ataonekana mbovu. Leo umefikia mpaka Pogba anaonekana galasa. Mata garasa, lukaku garasa, Herrera garasa, erick baily garasa, Sanchez, rashford, young , etc


2) Nilisema chini ya Mou hakuna lolote la maana kuanzia mafanikio ya uwanjani na nje ya uwanja. Tangu tulipoanza hii debate hakuna kikombe cha maana tunaweza kusimama na team yoyote kukigombea. Hivi tunavyozungumza hapa tayari tumeshafurumushwa na Derby County kwenye Carabao Cup.


3. Mwisho Kabisa nilisema huyo Mmakonde "Mou" atamaliza failures zake kwa wachezaji Wetu. Leo Pogba ndio amekuwa muhanga Wa upuuzi Wa huyu kocha. Kibaya zaidi kuna mashabiki wameshaingia mtego Wa huyu kocha.




nB: Mods nawaomba mfufue comments zangu kuhusu Mou ili tuanze kuheshimiana humu ndani.




All In All bye Bye ewe Mmakonde "Mou" mwana-mjaa laana ambae umetukosesha amani.
Wewe upo bongo huku unaangaika na Jose

Huko ulaya, Wazungu wanalijua tatizo, i.e Woodward

Beki ya kati ni majanga

Tajiri atoe hela, United wasajili beki wa kati
 
√Martial was excellent 7.5/10

√Pogba was excellent 8/10

√Sanchez was good 6/10

√Mata was good 5/10


Hatuna beki aisee..smalling anajitahidi kidogo

Wanaosemaga hii timu bila pogba inaenda sijui huwa wanaangalia mpira gani??!!!
 
Martial daaa leo kaupiga sana aanzie hapa sasa

Kama ni hivyo bora tuseme Manchester United ilicheza mpira mzuri leo. Kucheza vizuri ktk kipindi kimoja kusihesabiwe ni kucheza mechi nzima...
 
Back
Top Bottom