everlenk
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 11,628
- 15,032
Pamoja tuko na huzuni ila nimecheka sana Mou kukimbia!! Dahhh hivi nn kimemsababisha kukimbia?
Pamoja tuko na huzuni ila nimecheka sana Mou kukimbia!! Dahhh hivi nn kimemsababisha kukimbia?
Incredible comeback..Martiaaaaalll![]()
Atleast !! Dahh!! Liingie lingine basi!! Hata tutoke na point 3
Karibu tena mtani habari za masiku mingi,dahh ulikimbia jukwaa kabisa!!!Especially against the mighty Newcastle United
Naona leo hajakuchefua huyu MartialIncredible comeback..Martiaaaaalll![]()
Atleast !! Dahh!! Liingie lingine basi!! Hata tutoke na point 3
umetoka ndani sasaKaribu tena mtani habari za masiku mingi,dahh ulikimbia jukwaa kabisa!!!
Hahahha kwani nilikuwa nimejifungia? Mimi nipo tu. Siku moja moja kama hizi nikifanikiwa kuona mechi najiunga humu.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
umetoka ndani sasa
Yaani am so happy!!! Dahhh!!SamcheeeeeeezzzzzzzZ 3-2
timu haijengwi na watoto pekee, labda kama lengo ni kua kama arsenal,Perisic,Toby,Jerome boateng,Mickh,Sanchez.....wakuu hawa wote wana 28+ alafu mtu anasema tunajenga timu hahahahahahahahaha