Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

mapumziko man u wamekutana na mameneja/C.Os, wamiliki wa tumu 'fagasoni' wenye hisa mbali mbali wakiwa na sura nyekundu na kauli yao ilikua
leo mkipoteza hii mechi muanze kuongea na mawakala wenu wawatafutie timu wakati wa usajili wa dirisha dogo.

kilicho tokea baada ya hapo hata sanchez katupia
 
🤣🤣
Screenshot_20181006-212729_Google.jpg
 
Vyenye soka lilivyo la ajabu na mashabiki tulivyo. Lazima utasikia wale wale waliokua wanatukana Mou msenge mou fala mou aondoke saizi kwakuwa kashinda mtasema abaki
 
Back
Top Bottom