rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,165
- 43,854
Yaani leo mashabiki wa man wengi walitamani wafungwe ili Morinho afukuzwe, yaani wanamlaumu Sanchez kwa nini kafunga goli la tatu.





Mourinho Ana mungu wakee...Lakini badoo why afungwe mapemaa




Yaani leo mashabiki wa man wengi walitamani wafungwe ili Morinho afukuzwe, yaani wanamlaumu Sanchez kwa nini kafunga goli la tatu.





Mourinho Ana mungu wakee...Lakini badoo why afungwe mapemaa




Hahahhaa utashangaa!! Si unajua pamoja na ubovu wetu ila timu kubwa kama sisi tunavyozikamiaga!!Mtarudi mlipotoka vs Chelsea mechi ijayo. Nilikuwa najua mtawagonga Newcastle United
HahahaahMou cyo wa kufukuza nawaambia
Mkuu yule pogba mguu mmoja mfupiHata kama tunashinda ila Mou na Pogba ni shida pale OT hasa huyu Pogba anayetembea kama dume la Nyani.
Mbona tena hivi? Au ndo furaha???FT: Man U 2 vs Newcastle 2![]()
Mkuu yule pogba mguu mmoja mfupi
Asante mtani japo kiroho kinakuuma hahahhaha!!Hongereni kwa ushindi dadeki
Mashabiki wa ukweli uingereza wa manchester united hakuna hata mmoja alieingia uwanjan na bango la mourinho out
Na uwanjani walikuwa wanamsapot mouMashabiki wa ukweli uingereza wa manchester united hakuna hata mmoja alieingia uwanjan na bango la mourinho out
Mkuu mbona una hasira sanaHata kama tunashinda ila Mou na Pogba ni shida pale OT hasa huyu Pogba anayetembea kama dume la Nyani.

Mkuu mm kila siku nasema kocha hana hatia ila sisi tunalazimisha aje kwenye utamaduni kitu ambacho kigum yule ana utamadun wake apewe watu tuMkuu hili limenitafakarisha,naona kibao kimemgeukia Woodward,mabango tele yanamchachafya.