rikiboy
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 22,170
- 43,969
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Mourinho Ana mungu wakee...Lakini badoo why afungwe mapemaa[emoji48][emoji48][emoji48][emoji24][emoji24]Yaani leo mashabiki wa man wengi walitamani wafungwe ili Morinho afukuzwe, yaani wanamlaumu Sanchez kwa nini kafunga goli la tatu.