Manga ML
JF-Expert Member
- Jul 6, 2013
- 9,805
- 15,522
Nahisi anafanyaga maksudi akiona hali sio mana hata madrid alianza kuwachanganya kina r7 na Ramos wakamchana akafyataAfu uzuri wa Mo ukimtimua anachukua chake mapema
Nahisi anafanyaga maksudi akiona hali sio mana hata madrid alianza kuwachanganya kina r7 na Ramos wakamchana akafyataAfu uzuri wa Mo ukimtimua anachukua chake mapema
Kwa hili nazani itakua mwisho sizani kama atapewa team akishatoka apo cv ishaharibikaMourinho anafanya kusudi nahisi anataka kuweka record katika kitabu cha guiness akiwa kama kocha aliegombana na wachezaji katika kila timu aliyofundisha. Tusimlaumu sana inawezekana ndio malengo yake katika career yaje ya ukocha
Amemalizwa na nini mtoto wa juzi tu na je vipi sanchezi?Martial kwa sasa amekwisha...bora morinho amuuze
Mchezaji ndo anaifanya team iwe kubwa.No player is bigger than team.. pogba auzwe
Nani kakudanganya weweMchezaji ndo anaifanya team iwe kubwa.
Mtazamo wa Fergie kuhusu Pogba na RaiolaMnaomtetea Pogba siwaelewi kabisa
Tatizo mpo desperate kumtoa Jose kiasi cha kwamba upumbavu wa Pogba hamuuoni
Pogba ni mpuuzi kama wapuuzi wengine
He is talented, YES
But he's f*ck**g selfish and individualist
Pogba ni nani kumkosoa Meneja na kocha wake hadharani? Hii inamaana gani kwa Wachezaji wengine kwenye kumuheshimu Mou?
Pogba huyu huyu ameshindwa kukana kwamba anataka kwenda Barcelona, badala yake anasema hawezi kujibu kwani akijibu atapigwa fine
Mourinho kajishusha amempa u captain msaidizi bado haeshimu kitambaa cha unahodha wala haeshimu badge ya United
Pogba ni mpuuzi kama wakala wake Raiola, kumbuka Fergie kawahi kusema kuna mawakala kama 2 ambao hawapendi mmojawapo ni Raiola. Kumbuka alitaka kumpeleka Pogba City January (Guardiola alitoboa siri) na kama wakala alitaka kufanya hivyo, inamaana walishaongea na Pogba na aliridhia.
Na kwenda city kutoka united ni sawa na kumkana baba mzazi na kumfuata mwanaume aliyempora mama kutoka kwa baba kisa hela.
Pogba auzwe. Mou apewe hela anunue beki wa kati na winger then tumuhukumu asipo deliver
Hata style ya kucheza Mou kasema hawezi kushambulia sana kama Liver au City kutokana na aina ya mabeki alio nao (tunajua hatuna beki wa maana hasa wa kati). Apewe hela anunue mtu anayemtaka kama Guardiola na Klop then tumuhukumu kama akizingua
Kaweke kina kichuya pale man u hafu useme team yako kubwa kama huja chekwaNani kakudanganya wewe
Nani kakudanganya wewe
Unanitajia takataka martial we vipi mchezaj mzur anajulikana tu hata kocha awe mpuuzi kachukuliwa dembele aliekuwa majeruhi kwenda kombe la dunia na kacheza mech tatu tu barcelona unakuja kuandika pumba zako
Radika umejikaza kabisa na kusema martial ni taka taka? Kweli sasa sishangai ukisema mou abaki Tanayzer umenena Kwa akiliMkuu Leo ndo nimeamini hujui mpira kabisa wewe wa kusoma martial takataka??? hahahahah
Manchester united inahitaji wachezaji wapambanaji wafia timu kama ander herrera na de gea wao haijalishi wapo kwenye mazingira yapi wanapiga kazi na hakuna cha lopolopo
Dawa sio kufukuza kocha ni kupata wapambanaji wafia timu angalia herrera alivyomtiifu kwa timu washapita makocha wawili hamna mabadiliko timu haina players kama vile wayne rooney na scholes mtu anapoteza mpira kukaba hana ubavu kisha anamponda kochaMods wasipoufuta huu uzi ipo siku zitachapwa kavukavu.
Mashabiki Wa United kama Mou asipofukuzwa ndani ya msimu huu kwa stress hizi Milembe itajaa mno.
Point hii mkuu kidogo herrera roho yake naiona kama rooney mtiifu mno si mtu wa media huwa anakubali kucheza popote ili mradi kapewa majukum na kochaNashangaa walimpaje Valencia unahodha.
Unahodha ungemfaa sana Herrera maana anaongea na anapambana sana anapokuwa uwanjani.
Point hii mkuu kidogo herrera roho yake naiona kama rooney mtiifu mno si mtu wa media huwa anakubali kucheza popote ili mradi kapewa majukum na kocha
Mou anamtandika bench tu.
Hapa ndo anachemka ila binafs huwa napenda akicheza namba 8 huwa mzur sana tunashindwa kumtumia na kupata wachezaji ambao sio sahihi kiungo cha ukabaji kiasi kwamba herrera anabadilishwa kuwa mkabaji nilikuwa na matamani sana na morgan lakin haikuwa hivyo.