Yeah team lazima ipoteane league ya uingereza siyo nyepesi kama wansvyodhani.
Uwekezaji umeongezeka sana kwa vilabu vingi sana kiasi kwamba ni ngumu kutofautisha team ndogo na kubwa.
Man u inahitaji kufanya program ya miaka mitatu bila ndoto za ubingwa chini ya mwalimu mpya tena kwa kusajili wachezaji vijana watakaodumu muda mrefu kikosi wakichanganywa na wazee wachache team itaanza kumove on.
Project ya kina
Martial, lingard , Herrera , depay, Luke shaw, Rashford, Timothy fosu mensah, james Wilson, Darmian , shinendalin , Januzaj na kina Wilfred Zaha ingezaa matunda kama tungeweza kuvumilia kidogo.
Lakini nayo imeshafeli sasa Mourinho kakusanya watu ambao hawana cha kupoteza tena.