Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,334
- 23,940
Tuanzie saa saba na nusu.Ngoja nisubiri saa 8:30 tu
Tuanzie saa saba na nusu.Ngoja nisubiri saa 8:30 tu
Nimeshangaa eti 4-3-1-2Hii formation ya Man utd ya leo ndiyo inaitwaje kwa mfano!??


Huenda ikawa ni 4-4-2 Pogba ni free kuzurua maana ndo anachopenda...nafikiri pia kaweka midfield wengi ili waweze kuzuia mashumbulizi maana naona apo LW na RW ndo winga wake kwa leo.Hii formation ya Man utd ya leo ndiyo inaitwaje kwa mfano!??
Huwa anawasaidia sana wakina smallingNimefurahi kumuona fellain,akiwepo timu inatulia.
Hii formation ya Man utd ya leo ndiyo inaitwaje kwa mfano!??
Hapa nimechoka ila dogo akicheza kama ile mech ya liverpool itakuwa poaSikuwahi kuamini kama kuna siku Herrera atakaa bench Mctominay aanze.
Mimi na prefer Hererra to Fela.Nimefurahi kumuona fellain,akiwepo timu inatulia.