rip faza_nelly
JF-Expert Member
- Feb 19, 2018
- 6,111
- 7,794
Timu ya wahuni mwaka huu zamu yenu kutaabika...siku hizi mtaan pametuliaaaaa baridi barafu. Mtapata tabu sana walahi
Tunarudi!!Timu ya wahuni mwaka huu zamu yenu kutaabika...siku hizi mtaan pametuliaaaaa baridi barafu. Mtapata tabu sana walahi
Now I understand how mentally you ain't that much fit . You're real look suffered from psychiatric disorderMama yako ndio ana uweza mchezo na kuushabikia kiusahihi
Kwa taarifa yenu sasa niwaambie kuna taarifa very reliable kutoka carrington park kua sio tu pogba ambaye yupo tofauti na mourihno Bali ni wachezaji wengi tu mpaka imefikia wengine wamegoma kusign contract extension mpaka mourihno achomolewe pale!Kocha alikuwa sahihi na hana complex infiriority yupo mchezoni muda mrefu kufungwa si jambo geni View attachment 879640
Jamaa hiyo link umeisoma au kiingereza kwako ni baba mkweKocha alikuwa sahihi na hana complex infiriority yupo mchezoni muda mrefu kufungwa si jambo geni View attachment 879640
Naona mou anaacha trail ya kuangamiza kitu fulani au jambo fulani.Niliwahi kutabiri humu kama wewe ni active fan Wa Uzi huu tafuta comments zangu zote,
Nilisema Man united haiwezi fua dafu chini ya Mou na chini ya huyo kocha wachezaji wataharibiwa viwango
Top on that nilisema chini ya Mou Kila mchezaji ataonekana mbovu. Naona utabiri wangu unazidi kuwa sahihi.
Na hao wachezaji sio top player ambao wengi wapo toka enz za moyes hawastahili hata kuvaa jezi ya timuKwa taarifa yenu sasa niwaambie kuna taarifa very reliable kutoka carrington park kua sio tu pogba ambaye yupo tofauti na mourihno Bali ni wachezaji wengi tu mpaka imefikia wengine wamegoma kusign contract extension mpaka mourihno achomolewe pale!
most of players in utd squad do not like mourihno either by his style of play (kupark bus) or his behaviors.
kitu ambacho unashindwa kuelewa ni kua management ya utd haiwezi kamwe kuuza wachezaji 10 au 15 simply kwa sababu ya ukorofi wa MTU mmoja mourihno! Tambua Utd ni club kubwa dunia na haipo tayari kupoteza heshima iliyonayo.kwa sababu ya mourihno.periodNa hao wachezaji sio top player ambao wengi wapo toka enz za moyes hawastahili hata kuvaa jezi ya timu
Sasa wachezaji kumi wote mikataba yao inaisha?kitu ambacho unashindwa kuelewa ni kua management ya utd haiwezi kamwe kuuza wachezaji 10 au 15 simply kwa sababu ya ukorofi wa MTU mmoja mourihno! Tambua Utd ni club kubwa dunia na haipo tayari kupoteza heshima iliyonayo.kwa sababu ya mourihno.period
kumbuka wachezaji ni assets! huwezi kuuza ovyoovyo tu.
Madrid walifanyaga maamuzi sahihi ya kumtimua kabla hali haijawa mbaya!
However Chelsea did the same!
Mourinho kufukuzwa sikatai alifukuzwa akiwa na wachezaj wa maana hata mtu wa nje huwez kuchonga sasa hapa unamfukuza na wakina phil jones???kitu ambacho unashindwa kuelewa ni kua management ya utd haiwezi kamwe kuuza wachezaji 10 au 15 simply kwa sababu ya ukorofi wa MTU mmoja mourihno! Tambua Utd ni club kubwa dunia na haipo tayari kupoteza heshima iliyonayo.kwa sababu ya mourihno.period
kumbuka wachezaji ni assets! huwezi kuuza ovyoovyo tu.
Madrid walifanyaga maamuzi sahihi ya kumtimua kabla hali haijawa mbaya!
However Chelsea did the same!
Ila huyu mchezaji na yeye anapaswa aonyeshwe njia. Kwa tabia zake ataendelea kusumbua hata kocha mwingine
sijui nini kinakutoa ufahamu ina maana wewe umesahau kua martial alitofautiana na huyo mourihno wako during pre season kwa kutoreport kwenye tour?na sababu inajulikana!Sasa wachezaji kumi wote mikataba yao inaisha?
Hivi unafahamu kama moyes na van gal waliwahi kulalamika upande wa usajili haupo vizur ndani ya manchester united jambo ambalo mourinho limemkuta?
Makocha wangap wamepita pale hadi umnyooshe kidole mourinho kwamba hayupo sawa na wale nakocha waliopita? Huna 4,5,6,7,9 unataka umpe timu zizou aliekuwa na ramos,varane,bale,isco,ronaldo,marcelo na dany carvajal hao kwa uchache unajitaka?
Ukiacha pogba mchezaj wa gharama ni de gea anaefuata hapo pamekaaje?
Mkuu nimependa hill swali la post ya Instagram inavyohusiana na kipigo hahahaha mtu mzima anatapatapa eti "do you see the opposition manager that is my former captain frank lampard" nani amemuuliza hahahahahajasocial media are very personal issue !! na yeye Pogba akiuliza kuna.connection gani video yake kuirusha kwenye Instagram na utd kupoteza mechi ! utamjibu nini?
Hizo zote ni inferiority complex za mourihno!
Kuna taarifa pia kwamba wachezaji wanao ongea kifaransa wapo upande wa Pogba. Pogba,Martial na Erick Bailly. Luke Shaw naye hapendezwi na mambo anayofanya Mou. Lukaku yeye yupo 50/50. Ingawa anaonekana kuegemea upande wa pogba. Kwa jinsi Mou alivyomtendea Mata tangu akiwa Chelsea, Mata yupo upande wa Pogba.Kwa taarifa yenu sasa niwaambie kuna taarifa very reliable kutoka carrington park kua sio tu pogba ambaye yupo tofauti na mourihno Bali ni wachezaji wengi tu mpaka imefikia wengine wamegoma kusign contract extension mpaka mourihno achomolewe pale!
most of players in utd squad do not like mourihno either by his style of play (kupark bus) or his behaviors.
Unakumbuka hazard alikuwa amezinguana nae akawa anacheza ovyo sana..na kuna mechi alitolewa kipindi cha kwanza mapema kabisa..sasa mwangalie hazard baada ya mourinho kusepa
Mou alikosana na Hazard, najiuliza ingekua vipi Chelsea wangemuuza Hazard kisa Mou.
Mou ameshaishindwa United,amebaki kusingizia tu.
Msimu wa tatu huu timu inapigapiga tu mpira hamna muunganiko.
Wachezaji mazoezini sura zao zinaonesha kabisa hawana uhusiano na kocha.
sijui nini kinakutoa ufahamu ina maana wewe umesahau kua martial alitofautiana na huyo mourihno wako during pre season kwa kutoreport kwenye tour?na sababu inajulikana!
umeasahau mourihno kumchukia Luke shaw with no reason?
Juzi tu amemuattack openily Phil Jones for missing a penelty?
mourihno amekua na proplems with players everywhere! au unajisauliza bifu lake na hazard? kwahiyo lile bifu lake na hazard pale Chelsea ulitaka Hazard auzwe alafu mourihno abaki?
Mourihno hafai utd kwa ustawi bora wa man utd! period
hizo taarifa ni za kupikwa na ni wishful thinking za wangu!Kuna taarifa pia kwamba wachezaji wanao ongea kifaransa wapo upande wa Pogba. Pogba,Martial na Erick Bailly. Luke Shaw naye hapendezwi na mambo anayofanya Mou. Lukaku yeye yupo 50/50. Ingawa anaonekana kuegemea upande wa pogba. Kwa jinsi Mou alivyomtendea Mata tangu akiwa Chelsea, Mata yupo upande wa Pogba.
Roberto Mancini,Manuel Pellegrini & Pep Guardiola have the same philosophy (Pep version yake ni more advanced kidogo but almost the same na mabadiliko aliyofanya majority ni defence) kabla Pep hajatua England,Man City ya Mancini iliifunga Man United ya Feguson 6-1.Mistari yako minne ya mwisho si kweli. Vipi Liverpool na Man City mbona timu zao makocha wao wapya msimu Wa kwanza tu timu zilionyesha wazi kubadilika kiuchezaji? Au wachezaji wao wanaelewa haraka kuliko wetu? Mourinho siyo kocha mzuri.
Na huu ndio udhaifu wake siku zote.sijui nini kinakutoa ufahamu ina maana wewe umesahau kua martial alitofautiana na huyo mourihno wako during pre season kwa kutoreport kwenye tour?na sababu inajulikana!
umeasahau mourihno kumchukia Luke shaw with no reason?
Juzi tu amemuattack openily Phil Jones for missing a penelty?
mourihno amekua na proplems with players everywhere! au unajisauliza bifu lake na hazard? kwahiyo lile bifu lake na hazard pale Chelsea ulitaka Hazard auzwe alafu mourihno abaki?
Mourihno hafai utd kwa ustawi bora wa man utd! period