john agrey
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 1,280
- 2,080
hazard huyu huyu atamuondoa Sarri kama alivofanya kwa Mou, na Conte ni matter ya mda tu! tukiruhusu Pogba adominate club basi tumeumia!Unakumbuka hazard alikuwa amezinguana nae akawa anacheza ovyo sana..na kuna mechi alitolewa kipindi cha kwanza mapema kabisa..sasa mwangalie hazard baada ya mourinho kusepa
Mourinho OUT..