√Martial ni potential kwa timu yetu.. ndo maana watu wenye akili kama ed woordward wanamshawishi aongeze mkataba
√Mourinho ni lazima atuachie timu yetu asizidi kuhiaribu..
√Sanchez katoka kufunga magoli 24 arsenal leo hii anacheza kama mchezaji wa daraja la tatu..
√Ni bora ugombane na mchezaji huku uwanjani ukiwa unaifanya timu ionekana kama timu kweli..hili huyu mreno kafeli,uwanjani na nje ya uwanja..Kuna haja gani ya yeye kuendelea kuwepo OT??
√Westham weekend hii sijui litakalotokea..ila amini usiamini,kwa mwendo huu top 4 tushaikosa