Umeongea ukweli kabisa kuhusu bodi ila ushawahi jiuliza kwanini hawataki kusajili hao wachezaji anaowataka kocha?Bodi ni wasaliti wa makocha pale hata aje nani hili suala litasumbua sana ila sisi tunapambana na kocha tu mtu kaomba wachezaj wa tano mabek na viungo ushambuliaji mapema sana kasema hana mpango sasa tujiulize akiumia pogba nani anachukua mahala pake?
Nimechunguza ceo wa united anapenda wachezaji wenye majina sokoni afanye vizur kibiashara alikasirika sana mourinho kupinga kumrudisha ronaldoUmeongea ukweli kabisa kuhusu bodi ila ushawahi jiuliza kwanini hawataki kusajili hao wachezaji anaowataka kocha?
Basi tutulie hakuna namna maana JM kaomba watu wa kazi alafu bodi imempa mtu wa kazi.Nimechunguza ceo wa united anapenda wachezaji wenye majina sokoni afanye vizur kibiashara alikasirika sana mourinho kupinga kumrudisha ronaldo
Poa mkuuBasi tutulie hakuna namna maana JM kaomba watu wa kazi alafu bodi imempa mtu wa kazi.
Mkuu kwa hii statement unataka kutuaminisha kuwa #Mou akipata anaowataka tutakua tunapiga soka safi la kuvutia?Msimu ule aliomba wachezaji wa nne alipata matic na lukaku tu ujue hiyo hufanya kocha kubadili sasa mbinu zake inatosha kabisa kumfelisha nakwambia
Kocha wa tatu baada ya Moyes na Van Gaal.Hawajawahi kuwa na kocha aliyekaa miaka 20+
Na kama issue ni kubadilisha makocha Since SAF ameondoka Mourinho ni kocha wa 4 ndani ya miaka 5
Ryan Giggs was United coach for 4 games when Moyes was sackedKocha wa tatu baada ya Moyes na Van Gaal.
Fabinho yupi huyo?? huyu aliyeachwa timu ya taifa akaenda Fred au ni yupi??Kazi ipo, hivi watu wanamjua vizuri mbrazil Fabinho au ndio mahaba niue?
Kuna kiungo mwenye uwezo zaidi ya Fabinho pale Old Traford?
Kuna Forward yeyote mwenye uwezo mkubwa kwenye kufinish kwenye goal chances kama Salah pale Old traford?
ikawaje LVG akatimuliwa wakati alishaanza kuanzisha falsafa yake?? kwa style hiyo timua timua tusitegemee chochote hata akija GuardiolaVyote viende sambamba..na pia tusipopata kombe tucheze basi hata vizuri hata kwa asilimia 75 ya mechi zote za msimu
Mkuu unaikumbuka Man ya Ferguson inachukua ubingwa na Fredericko Macheda?Bodi ni wasaliti wa makocha pale hata aje nani hili suala litasumbua sana ila sisi tunapambana na kocha tu mtu kaomba wachezaj wa tano mabek na viungo ushambuliaji mapema sana kasema hana mpango sasa tujiulize akiumia pogba nani anachukua mahala pake?
Man u ni timu ambayo wachezaji wengi wangependa kucheza apo, sasa ukiona wanaikataa ujue kuna tatizo apo . .Mchezaji kukataa timu ni kawaida sana hamna kocha asiekataliwa tumekataliwa na wachezaj wazur tukiwa na kocha mzoefu wa timu mi sioni shida maana kila mtu anakuwa na ndoto yake.
Kama ni kusikiliza maoni ya mashabiki wa JF Manchester United bodi wasingempa kazi Mourinho huo mfumo wake mbovu ndio uliwashawishi wakampa hiyo kazi,Mkuu unaikumbuka Man ya Ferguson inachukua ubingwa na Fredericko Macheda?
Hivi Ferguson Alikua na wachezaji mastaa Kila namba?
Kiukweli nakubali Mourihno ameifikisha United mahali tofauti na Ilipokua before,
Ila mashabiki wanaona Ana kikosi cha kufanya vema zaidi na sio kucheza mpira mbovu wa kupaki basi na Leicester OT.
Mimi naipa Ubingwa Man City mapema sana kutokana na MFUMO Wao unaoeleweka uliotengenezwa na Pep..jamaa still watakua wagumu kuzuilika.
Acha kuongea pumbaMakombe aliyopata mourinho mwaka mmoja man u ni mengi kushinda iliyopata timu kama Arsenal na Liverpool miaka kama 10 iliopita.
Liver na Arsenal watakuwa makocha wao ni waokota mipira kabisa kwa hii logic