Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tunashindashinda kibahati tu,hata kumaliza nafasi ya pili ilikuwa bahati tu.

Wenzetu wanasema tuache Mou anajenga timu.
Na huu ndio uwe msimu wake mwisho. MUFC kupata nafasi ya pili season ilopita ni sawa na Leceister kuchukua ubingwa. Bahati ndio imetuokoa. Season ilopita sikufichi mkuu, hata big match za MUFC nlikuwa sizishuhulikii kiivo, utakuta natizama first half au half ya pili tu, ilimradi simalizi dakika 90, mana najisikia kama kuvunja TV. Timu ina potebtial players lakini hawatumiki ipasavyo. 90 minutes tunadefend in our big matches!!!
 
Na huu ndio uwe msimu wake mwisho. MUFC kupata nafasi ya pili season ilopita ni sawa na Leceister kuchukua ubingwa. Bahati ndio imetuokoa. Season ilopita sikufichi mkuu, hata big match za MUFC nlikuwa sizishuhulikii kiivo, utakuta natizama first half au half ya pili tu, ilimradi simalizi dakika 90, mana najisikia kama kuvunja TV. Timu ina potebtial players lakini hawatumiki ipasavyo. 90 minutes tunadefend in our big matches!!!

Ni kweli Jose anatakiwa abadilike muda unakwenda team anazidi kucheza vibaya.
 
Maguire fa...la tu hana lolote wala sio beki wa kutishia mie sielewagi kwann Waingereza wanapendaga kumpaisha MTU sifa asizostahili. Waangalie timu zingine mabeki sio Uingereza


Donald Trump Alikosea Kuwaita Waafrika Pekee Kuwa Ni Shithole!! Ukweli Ni Kwamba Media za Kiengereza Ndiyo Shithole.

Media Za Kiengereza Kwenye World Cup Walijaribu Kuwaaminisha Watu Kuwa Maguire Ni World Class na Ni Beki Bora Duniani! Wakamfanyia Promo na Kumpandisha thamani Kutoka £20m mpaka sasa £70m Kwa Muda Wa Wiki moja tu.

Vilevile Walitaka Kutuaminisha Kuwa Henderson Ni Bonge la Midfielder ndani ya World Cup.

Pia Wakataka Kutuaminisha Kuwa Trippier Ni Bonge la Chezaji.

Mchezaji Pekee Ambaye Walimu-Underrate Ni Sterling Kwasababu Hawampendi tu.

Media Za Kiengereza ukizembea Kidogo tu Zinakuingiza Chaka Kwani Wachezaji Wenye Uwezo Kina Hazard, De Bruyne, Pogba wapo Na Haziwafanyii Promo. Badala Yake Wanawafanyia Promo Magarasa Ya Kiengereza Kina Delle Alli, Maguire, Henderson, Lingard n.k.
 
Radika humu kwenye UZI WA Manchester United sio kwako na kama unaendelea kuingia kwenye Uzi huu na kukoment basi Utakuwa unamambo Mawili . 1. Aidha unaipenda ManUtd, ama la 2. Ni mkorofi wataka kuwatoa watu akili na mapovu. Which is NOT GOOD. nadhani humu ni kwaajili ya kushauri na kujadili na kupeana Habari za nini kinachojiri klabuni. Asante kama umenielewa
Achana na huyo shabiki Wa Mchezo Wa karata alievamia mpira tena katika club pendwa ya Manchester United.

Ukihesabu haraka haraka , asilimia zaidi ya 70 ya comments humu hawana imani na Mou lakini huyo jamaa anaforce nyeusi ionekane kuwa blue
 
Donald Trump Alikosea Kuwaita Waafrika Pekee Kuwa Ni Shithole!! Ukweli Ni Kwamba Media za Kiengereza Ndiyo Shithole.

Media Za Kiengereza Kwenye World Cup Walijaribu Kuwaaminisha Watu Kuwa Maguire Ni World Class na Ni Beki Bora Duniani! Wakamfanyia Promo na Kumpandisha thamani Kutoka £20m mpaka sasa £70m Kwa Muda Wa Wiki moja tu.

Vilevile Walitaka Kutuaminisha Kuwa Henderson Ni Bonge la Midfielder ndani ya World Cup.

Pia Wakataka Kutuaminisha Kuwa Trippier Ni Bonge la Chezaji.

Mchezaji Pekee Ambaye Walimu-Underrate Ni Sterling Kwasababu Hawampendi tu.

Media Za Kiengereza ukizembea Kidogo tu Zinakuingiza Chaka Kwani Wachezaji Wenye Uwezo Kina Hazard, De Bruyne, Pogba wapo Na Haziwafanyii Promo. Badala Yake Wanawafanyia Promo Magarasa Ya Kiengereza Kina Delle Alli, Maguire, Henderson, Lingard n.k.
Baker Alison mbona mmemsajili kwa mamilioni ya Pesa , Nani aliongeza thamani yake ?
 
kwa hiyo msimu huu vigogo wapo vizuri? yani mtu unatoa maoni kwa mechi za pre season!!!! miaka ambayo van gal anabeba makombe ya icc tulikuwa na timu imara? kwa post hii mkuu itoshe kusema unaongozwa na chuki kwa kocha na mkumbo ila kwa mtu wa soka hii post ni shida.

Hakuna sehemu nimeongelea pre season mkuu. Naheshimu mawazo yake ila nawe heshimu yangu, kama sijakosea
Na huu ndio uwe msimu wake mwisho. MUFC kupata nafasi ya pili season ilopita ni sawa na Leceister kuchukua ubingwa. Bahati ndio imetuokoa. Season ilopita sikufichi mkuu, hata big match za MUFC nlikuwa sizishuhulikii kiivo, utakuta natizama first half au half ya pili tu, ilimradi simalizi dakika 90, mana najisikia kama kuvunja TV. Timu ina potebtial players lakini hawatumiki ipasavyo. 90 minutes tunadefend in our big matches!!!
Hahahahahahahh JM asipobadilika lazima afungashe virago yeye na msemaji wake #radika
 
Hakuna sehemu nimeongelea pre season mkuu. Naheshimu mawazo yake ila nawe heshimu yangu, kama sijakosea

Hahahahahahahh JM asipobadilika lazima afungashe virago yeye na msemaji wake #radika
Naheshimu mawazo yako mkuu ila mnamshambulia sana kocha tufike hata mwezi wa 12 hapo tutajua kocha kachemka ila kwa sasa ni mapema hata kutoa lugha za ajabu kwa timu na kocha najua kocha atasepa atakuja mwingine nae asipofanya poa tumtukane na kushambuliana?

Kuna timu zinapiga mpira mzur sana lakin miaka minne hamna hata FA tuwe na kiasi na utu cha msingi tutambue tu timu yetu imevurugwa na makocha zaidi ya watatu ile madrid imebeba treble uefa wamepita makocha na wachezaji manguli wangap?
 
Exclusive: @JB17Official Jerome Boateng called José Mourinho to tell him personally that he is grateful for the interest, but he won’t come to Manchester. No Transfer to manutd @SPORTBILD @BILD_Sport
Style ya uchezaji wa JM inafanya tuonekane kama leicester kwenye dirisha la usajili,akiendelea huyu bwana itafika mahala tukigombea mchezaji na swansea mchezaji ataichagua swansea.
 
Style ya uchezaji wa JM inafanya tuonekane kama leicester kwenye dirisha la usajili,akiendelea huyu bwana itafika mahala tukigombea mchezaji na swansea mchezaji ataichagua swansea.
Mchezaji kukataa timu ni kawaida sana hamna kocha asiekataliwa tumekataliwa na wachezaj wazur tukiwa na kocha mzoefu wa timu mi sioni shida maana kila mtu anakuwa na ndoto yake.
 
Mi simtetei kocha kwamba anacheza soka safi hapana najua kabisa tunacheza soka bovu kwa sababu kocha tulienae ana utamaduni wake na wachezaji wake anapata tabu kwa kuwa type ya soka lake si type ya wachezaji waliopo united ila wakiaanza kumuelewa tutafanikiwa kwa sasa namuunga mkono najua mwanzo mgumu akitimuliwa bado safi akibaki safi ntaendelea kuiunga mkono timu haijalishi itakuwa chini ya nani si mshabik wa mchezaj wala kocha ni mshabik wa timu nzima.

Hata ukiangalia wachezaji anaowataka ni kuzuia na kushambulia fasta
 
Hakuna sehemu nimeongelea pre season mkuu. Naheshimu mawazo yake ila nawe heshimu yangu, kama sijakosea

Hahahahahahahh JM asipobadilika lazima afungashe virago yeye na msemaji wake #radika
Huu ni msimu wake wa mwisho. Hata bodi nayo ishaanza kumchoka.haishi kulalamika!
 
Mi simtetei kocha kwamba anacheza soka safi hapana najua kabisa tunacheza soka bovu kwa sababu kocha tulienae ana utamaduni wake na wachezaji wake anapata tabu kwa kuwa type ya soka lake si type ya wachezaji waliopo united ila wakiaanza kumuelewa tutafanikiwa kwa sasa namuunga mkono najua mwanzo mgumu akitimuliwa bado safi akibaki safi ntaendelea kuiunga mkono timu hainalishi itakuwa chini ya nini si mshabik wa mchezaj wala kocha ni mshabik wa timu nzima.

Hata ukiangalia wachezaji anaowataka ni kuzuia na kushambulia fasta

Kila mmoja wetu humu jukwaani bado anabaki kuwa shabiki mtiifu kwa timu ila tatizo linabaki kwa aina ya kocha tuliyenaye,wachezaji tulionao,mpira tunaouonyesha na matokeo ukizingatia muda aliokaa na timu hakuna dalili kwamba tuenda mbele mkuu.
 
Kila mmoja wetu humu jukwaani bado anabaki kuwa shabiki mtiifu kwa timu ila tatizo linabaki kwa aina ya kocha tuliyenaye,wachezaji tulionao,mpira tunaouonyesha na matokeo ukizingatia muda aliokaa na timu hakuna dalili kwamba tuenda mbele mkuu.
Hapa cha kujiuliza waliompa kazi hawakuona utendaji wake? Kama bodi ilikaa na kumpitisha ina maana wamekubaliana na kazi yake na kwa nini hafukuzwi ikiwa msimu ulioisha tumecheza soka bovu? Basi wataalamu kuna kitu wamekiona ngoja tuone.
 
Man united iko kwenye renki sawa na real madrid kwenye misuli ya kifedha na pengine tunawapita kidogo. Madrid/Barcelona wamebadili makocha wengi tena kwa vipindi vifupi vifupi ila hawakutetereka kwa kiasi tulichofikia sisi.
 
Hapa cha kujiuliza waliompa kazi hawakuona utendaji wake? Kama bodi ilikaa na kumpitisha ina maana wamekubaliana na kazi yake na kwa nini hafukuzwi ikiwa msimu ulioisha tumecheza soka bovu? Basi wataalamu kuna kitu wamekiona ngoja tuone.

Hata Wenger bodi ya timu haikuwa na nia ya kumfukuza ila mashabiki walianzisha na kuhitimisha maisha yake pale emirates. Kwa maana nyingine mashabiki wamekuwa macho ya bodi kuhusu mwenendo wa timu na utendaji wa kocha kwa ujumla.
 
Man united iko kwenye renki sawa na real madrid kwenye misuli ya kifedha na pengine tunawapita kidogo. Madrid/Barcelona wamebadili makocha wengi tena kwa vipindi vifupi vifupi ila hawakutetereka kwa kiasi tulichofikia sisi.
Barcelona kutoshuka kimpira kuna baadhi ya watu wapo mule walionza na timu bora ya wakina xav ukiona usajili wao utagundua wanajihami mapema kutopotea kwa timu kwamba wakina mess watakapoanza kusepa basi wamepata wabadala sahihi jambo ambalo sisi moyes na van gal hawakufanya hilo walifika na kufukuza watu ambao wangekuja kusaidia maingizo mapya sasa tunapata tabu karibia kizazi cha wakina fabio kimefukuzwa ukija katikati alibak carick tu mbele rooney tu hebu angalieni huo mtihani valencia na young hawakuaminiwa kabisa
 
Hata Wenger bodi ya timu haikuwa na nia ya kumfukuza ila mashabiki walianzisha na kuhitimisha maisha yake pale emirates. Kwa maana nyingine mashabiki wamekuwa macho ya bodi kuhusu mwenendo wa timu na utendaji wa kocha kwa ujumla.
Wenger toka 2004 alifanya nini? Ujue walivumilia sana
 
Back
Top Bottom