radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Kukaa kwa wachezaji muda mrefu kuna faida yake kubwa sana kufukuza makocha hamna faida lazima aje na utaratibu wake mnaaanza upya tukomae nae tu mzuiaji hadi atapata majitu yakeMkuu sidhani kama ni sahihi kusema Mou alichukua ubingwa kwa zari. Mara zote alizo beba ubingwa Chelsea walikuwa na timu nzuri.
Kwa ishu ya Madrid ni kweli kuwa Mourinho hakufikia expectations. Lakini kumbuka aliikuta Madrid ambayo UEFA ilikuwa inaishia 16, lakini kwa misimu mitatu yote aliyo kuwepo wametolewa kwenye nusu fainali au robo fainali (Mara mbili katolewa na Barca nzuri na yenye figisu na Mara moja katolewa na Borutia). Katika misimu mitatu hiyo alichukua kombe moja la ligi kwa historia ya kufunga magoli Mengi zaidi.
Na lazima tukubali kuwa kwenye ligi alikuwa anachuana na Barcelona ambayo kwa wakati ule ilikuwa ndio timu bora na bado ilikuwa imekaa kwa muda mrefu.