kuna watu humu wana chuki kubwa sana na Mou.
lakini hawajipi hata nafasi ya kujiuliza baadhi ya mambo madogo madogo.
Mourinho so far ameimprove timu kwa kiwango kikubwa licha ya kutofikia matarajio ya wengi!
mnapotaka kuilinganisha man u na man city lazima pia muwe fair, man city hawajaamka na kufika hapo walipo. huyu huyu pep anaesifiwa na wengi humu muulizeni alifanya nini bayern! man city imekuwepo top four for almost miaka minne mfululizo, imechukua ubingwa, na bado amekuja kuisafisha jumla ya wachezaji karibu ishirini na kitu wamesajiliwa ukilinganisha na tisa aliosajili Mourinho.
tunataka mafanikio ya kulala na kuamka kitu ambacho ni vigumu sana.
leo tunataka aondoke Mou, trust me hata huyo Zizzou atafeli tu pale man u kwa ustaarabu huu, nyie mnaangalia mafanikio yake UEFA but hamjiulizi tangu amefika amesajili wachezaji wangapi? he was very lucky amekuta timu ipo vizuri most players wako kwenye pick performance bale, benzema, ronaldo,casemiro,modric kitu ambacho tunapaswa ni kuwa na subira the next coach atakuja kuwakuta kina pogba, fred, rashford, diogo, lindelof, bailly tayari wameshatengeneza mfumo mzuri inakuwa simple kuwa mshindani.
msimu wa kwanza mou alikua na timu ya kawaida sana na majeruhi walikuwa wengi kuelekea mwisho wa msimu but still alitupa makombe, kwa wachezaji wale wale ukimpa pep hafiki nao popote!
lets try to appreciate even the little things our coach is trying.
huu msimu mou haondoki and I bet tutafanya vizuri sana