Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Litafungwa saa 23;59 kwa muda wa Uingereza kama sijakosea
Lishafugwa saa 5pm kwa muda wa uingereza.
announcements inaruhusiwa mpaka 7pm. Ngoja tuone mambo yataendaje, WE ARE READY japokuwa kocha hana matumaini yoyote, zaidi ya kupata tabu sana.

GGMU
 
Lishafugwa saa 5pm kwa muda wa uingereza.
announcements inaruhusiwa mpaka 7pm. Ngoja tuone mambo yataendaje, WE ARE READY japokuwa kocha hana matumaini yoyote, zaidi ya kupata tabu sana.

GGMU
Nimekuelewa mkuu
 
Kwa Courtois kwenda Madrid, sasa De Gea ataozea Manutd.

Kuna Mwarabu Kichaa Wa PSG umeshamsahau?

Ana uwezo wa Kuwanunua Wachezaji Wote 11 Wa Timu yoyote hile bila Ya Kupatana Just Ana-activate Buyout Clause zao tu Kama alivyofanya Kwa Neymar! Na Kama Mchezaji Hana Buyout Clause Basi Haoni Shida Kumwaga £150m Kwa De Gea ikisha yeye atapambana Na FFP.
 
Ni dhahiri kabisa Man u na board vimedhamiria kumfelisha Mou ili afukuzwe aletwe Zizzou......ok Mourinho anamapungufu meng katika playing styles lakin miaka yote deadline day Man u huwa tunatawala

Van gal alimleta falcao siku ya mwisho kuonesha kuwa board iliamua kuwekeza but safari hii malengo ya board na malengo ya coach ni tofauti.......
Kunachosubiriwa ni Mku afeli top 4 tumlete coach mpya.....
Mou anamatatizo ila yulr Ed woodward ni Mbwa amefanya umafia sana
 
Cheki haya Majibizano ya Geoffrey Lea Na Edo Kumwembe kuhusu Manchester United Na Mourinho

IMG_20180809_204403.jpg
IMG_20180809_204415.jpg
 
Ni dhahiri kabisa Man u na board vimedhamiria kumfelisha Mou ili afukuzwe aletwe Zizzou......ok Mourinho anamapungufu meng katika playing styles lakin miaka yote deadline day Man u huwa tunatawala

Van gal alimleta falcao siku ya mwisho kuonesha kuwa board iliamua kuwekeza but safari hii malengo ya board na malengo ya coach ni tofauti.......
Kunachosubiriwa ni Mku afeli top 4 tumlete coach mpya.....
Mou anamatatizo ila yulr Ed woodward ni Mbwa amefanya umafia sana
Ameshatumia pesa nyingi pasipo akili naona wameamua kumuacha ajifunze kutumia walionunuliwa nayeye mwenyewe last season
 
Mimi nimefurahi sana Mourinho kutokuongezewa wachezaji hapa mwishoni mwa usajili. Apambane hivyo hivyo maana he's full of excuses.

Nadhani management wameshamuweka kwenye target akizingua tu amekwenda.
 
Naona Mourinho kamtoa kwa Mkopo Fossue Mensah na wakati huo huo anataka hela za kusajili mabeki.


Hapa Hatuna Kocha. Msimu huu nimejiandaa kisaikolojia nitatumia weekend zangu kujisomea vitabu.
 
Mourinho on Pogba future, "My perception is he arrived on Monday happy, proud and with a desire to work and he worked amazingly well. He's one of the players that I have to speak with to see how physically, mentally he feels. Same conversation with Young, Fellaini and Lingard."
 
Naona Mourinho kamtoa kwa Mkopo Fossue Mensah na wakati huo huo anataka hela za kusajili mabeki.


Hapa Hatuna Kocha. Msimu huu nimejiandaa kisaikolojia nitatumia weekend zangu kujisomea vitabu.
Mensah bonge la beki..kawasaidia sana crystal palace
 
Hiyo united ya 92 haitorudi kamwe! Ni kama barca ya kina xavi inniesta nk haitorudi kamwe! Ondoa hayo mawazo mgando na potofu akilini mwako dunia inasonga mbele hairudi nyuma.
Ninachokiona mashabiki wengi mna wishful thinking!
Mnawaza vitu ideal sana, no reality mnapotezana sana humu
Mourinho mbinu zake zimepitwa na wakati,anapaswa abadilike na acheze mfumo Wa kushambulia zaidi na kusuka ulinzi mzuri na muuanganiko mzuri kati ya kiungo na ushambulizi
 
Back
Top Bottom