Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

hizo mbinu unazosema wewe JM kaishiwa ndio hizo hizo zimetuweka nafasi ya pili na fainali ya FA

mbinu hizo mbovu zimetupa Carabao Cup na Europa Cup na kucheza UEFA miaka miwili mfululizo mambo haya yalikuwepo enzi za SAF tu

kwa mimi nnavyojua kwenye swala la usajiri...kocha anapeleka list wachezaji anaowataka kwa muajiri wake kisha hapo yeye anasubiria hao wachezaji, hivi unathubutuje kusema Mou kaishiwa mbinu wakati wachezaji anaowataka hapatiwi ambao wanaenda na mbinu zake??

MWISHO: usipende mchezaji, kocha, wala mfumo penda Manchester United

Glory Glory Manchester United
Mourinho anataka mchezaji gani??
 
Maxence Melo unapopitia nyuzi kama hizi za michezo afu unakuta comment hazina time ya kuonesha zinepostiwa sangapi au lini ubaona inaleta mantiki nzuri? mtazingatia hili au ndio marekebisho yameishia hapo

comment kama hii ya radika huwezi jua alimaanisha leo ya tarehe ngapi?
IMG_20180729_105957_133.JPG
 
Last edited:
Bale, Willian, Perisic hapo anahitaji mmoja kati yao Bale ni first choice

Harry Maguire
Alex Sandro
(FRED)
Kwahiyo madrid wakisema €150m,,tutoe tu kwa bale ambaye kila siku anakuwa majeruhi..

Kashindwa kumwamini lindelof na bailly ambao wote kawasajili yeye anamtaka tena mwingereza harry maguire kwa €65m..kwanini asifagie kwanza hao ambao anaona hawajapeak kwenye ubora wao,then tusajili vyuma vingine??
 
Kwahiyo madrid wakisema €150m,,tutoe tu kwa bale ambaye kila siku anakuwa majeruhi..

Kashindwa kumwamini lindelof na bailly ambao wote kawasajili yeye anamtaka tena mwingereza harry maguire kwa €65m..kwanini asifagie kwanza hao ambao anaona hawajapeak kwenye ubora wao,then tusajili vyuma vingine??
hao wazima aliyowahitaji mbona haletewi??

kuhusu Maguire ni namba ya utaifa tu sababu naona kuna baadhi ya waingereza wataondoka kwenye timu(timu inahitaji beki anaejielewa sio Smalling au Jones) Rojo + Bailly it's ok)

Man United sio timu ya majaribio, Lindelof ni beki mzuri sana ila uzoefu unamcost, kuhusu Bailly ni majeruhi yalimcost pia alizungumzia kuhusu kuwapa nafasi zaidi wachezaji waliofuzu kombe la dunia ila waitwe kwenye timu zao.
 
Last edited:
hao wazima aliyowahitaji mbona haletewi??

kuhusu Maguire ni namba ya utaifa tu sababu naona kuna baadhi ya waingereza wataondoka kwenye timu

Man United sio timu ya majaribio, Lindelof ni beki mzuri sana ila uzoefu unamcost, kuhusu Bailly ni majeruhi yalimcost pia alizungumzia kuhusu kuwapa nafasi zaidi wachezaji waliofuzu kombe la dunia ila waitwe kwenye timu zao.
jamaa wamekata tamaaaaa! mtu anasema bailly haaminiwi kweli? huyu huyu aliecheza mechi karibu zote kabla ya majeruhi lindelof asingeweza kucheza regular kwa sababu ya makosa madogo alifanya yakatukosti na alikua anatakiwa kuzoea league!
 
hao wazima aliyowahitaji mbona haletewi??

kuhusu Maguire ni namba ya utaifa tu sababu naona kuna baadhi ya waingereza wataondoka kwenye timu(timu inahitaji beki anaejielewa sio Smalling au Jones) Rojo + Bailly it's ok)

Man United sio timu ya majaribio, Lindelof ni beki mzuri sana ila uzoefu unamcost, kuhusu Bailly ni majeruhi yalimcost pia alizungumzia kuhusu kuwapa nafasi zaidi wachezaji waliofuzu kombe la dunia ila waitwe kwenye timu zao.
Acha utani..Vidic mwenyewe alianza kama yeye,,ila muda mfupi alibadilika na kuwa beki vya viwango vya dunia..
 
Wengine hatuongelei pre- season..tunaongelea mwenendo wake na anavyo watreat wachezaji..Mbinu za mourinho kwenye mpira wa sasa zimepitwa na wakati
anavyowatreat nani? Shaw? mbona shae kakiri hana shida na mou? lakini ni shaw huyu huyu alilalamikiwa na Poch na hakuna aliesema kitu ila kwa sababu ni mou mnaona anawatreat vibaya. Pia martial nae wengi tunajaribu ku sympathize nae ila yy mwenyewe ni tatizo kubwa!
 
jamaa wamekata tamaaaaa! mtu anasema bailly haaminiwi kweli? huyu huyu aliecheza mechi karibu zote kabla ya majeruhi lindelof asingeweza kucheza regular kwa sababu ya makosa madogo alifanya yakatukosti na alikua anatakiwa kuzoea league!
hata mimi naliona hilo hasa hii pre-season watu wamekuwa desperate sana bila kuangalia aina ya timu iliyokwenda huko, hebe angalia..
Mata, Sanchez, Valencia, Smalling, Herrera, Martial, Shaw, Bailly....waliobaki ambao ni senior players wapo likizo unategemea makubwa gani hapo?? isitoshe mchezaji anacheza kipindi kimoja kipindi cha pili timu mpya inangia uwanjani

muhimu ni kumsapoti kocha ova
 
Acha utani..Vidic mwenyewe alianza kama yeye,,ila muda mfupi alibadilika na kuwa beki vya viwango vya dunia..
kama nimekuelewa vizuri Vidic alivyokuja tu alikuwa regular starter??? of coz inawezekana lakini hiyo timu gani itakayokuvumilia wewe kila siku wakati unaicost timu???

hapo hapo mtaanza kumrudia mwalimu anapanga wachezaji wa hovyo
 
kama nimekuelewa vizuri Vidic alivyokuja tu alikuwa regular starter??? of coz inawezekana lakini hiyo timu gani itakayokuvumilia wewe kila siku wakati unaicost timu???

hapo hapo mtaanza kumrudia mwalimu anapanga wachezaji wa hovyo
Zaidi ya mechi mbili alizosheza vibaya, sijaona lindelof akichomesha tokea hapo..so una uhakika harry maguire akija united,,beki yetu tutakuwa zaidi ya ukuta??..
 
anavyowatreat nani? Shaw? mbona shae kakiri hana shida na mou? lakini ni shaw huyu huyu alilalamikiwa na Poch na hakuna aliesema kitu ila kwa sababu ni mou mnaona anawatreat vibaya. Pia martial nae wengi tunajaribu ku sympathize nae ila yy mwenyewe ni tatizo kubwa!
mfano mimi kuhusu Martial ndiyo sipendi kabisa kuzungumzia, Sanchez ana miezi 6 tu katika timu kabla ya hiyo miezi 6 ile namba walikuwa wakicheza watu wawili tu either Rashford au Martial je kuna lipi jipya walilolifanya mpaka apate utetezi huu.

football it's all about results na nikishafikiriaga hilo habari za mbinu natupiaga mbali mimi....Man City, Barcelona wanacheza mpira mzuri sana ila tumeona kwenye UEFA wametolewa na timu za kawaida sana mambo ya vilingi, sijui dribbling kama hayatafikia nyavu ni upuuzi na ndio watu wanachotetea kuhusu Martial ni mchezaji mzuri though
 
Zaidi ya mechi mbili alizosheza vibaya, sijaona lindelof akichomesha tokea hapo..so una uhakika harry maguire akija united,,beki yetu tutakuwa zaidi ya ukuta??..
itasaidia somehow, hakuna timu isiyofungwa nitoshe kusema hivyo
 
Leo Nasema kwa mara nyingine tena na nimekuwa nikisema miaka nenda rudi kuwa Manchester United imekuwa na matatizo ya kiufindi "Technical Problems" tangu alipoondoka furguson.


Chini ya mourinho team haijamprove kiufundi kabisa. Ni kweli tumeshinda baadhi ya vikombe. Ila kushinda vikombe haimaanishi kiufundi ukp vyema na ndio maana kila siku anapigiwa fujo na fans kuwa aache kupack basi.



Kuna watu wamekuwa wakitumia kigezo cha kushinda kikombe cha europa kama sababu ya mourinho kutokukosolewa. Huu ni ujinga. Fabio capelo aliwahi kutwaa kikombe cha laliga akiwa real madrid ile ya Mastaa kama Beckham na Zidane lakini wiki moja baada ya kutwaa kombe alitimuliwa na Raisi wa team.
 
hizo mbinu unazosema wewe JM kaishiwa ndio hizo hizo zimetuweka nafasi ya pili na fainali ya FA

mbinu hizo mbovu zimetupa Carabao Cup na Europa Cup na kucheza UEFA miaka miwili mfululizo mambo haya yalikuwepo enzi za SAF tu

kwa mimi nnavyojua kwenye swala la usajiri...kocha anapeleka list wachezaji anaowataka kwa muajiri wake kisha hapo yeye anasubiria hao wachezaji, hivi unathubutuje kusema Mou kaishiwa mbinu wakati wachezaji anaowataka hapatiwi ambao wanaenda na mbinu zake??

MWISHO: usipende mchezaji, kocha, wala mfumo penda Manchester United

Glory Glory Manchester United
Nakuelewa sana mkuu ila kuna kitu kimoja washabiki wengi wa united kwa sasa tunakisahau,manchester united ni klabu kubwa sana kujivunia carabao,kucheza fainali ya fa,kushiriki uefa na mbaya zaidi kujisifia kumaliza nafasi ya pili. Mbaya zaidi aina ya mpira tunaocheza chini ya mourinho hauonyeshi kama hata hizo nafasi tunazopata tunazistahili.
 
Tunashida kama mashabiki wa man united ikiwa leo hii tunaridhika kufungwa na liverpool kwa kisingizo kuwa hayupo diogo,rashford na lindelof
Niulize swali moja,hivi huddlersfield wanaposhinda game dhidi ya united convincingly bado tunasema kuwa mourinho hana wachezaji world class!
 
Leo Nasema kwa mara nyingine tena na nimekuwa nikisema miaka nenda rudi kuwa Manchester United imekuwa na matatizo ya kiufindi "Technical Problems" tangu alipoondoka furguson.


Chini ya mourinho team haijamprove kiufundi kabisa. Ni kweli tumeshinda baadhi ya vikombe. Ila kushinda vikombe haimaanishi kiufundi ukp vyema na ndio maana kila siku anapigiwa fujo na fans kuwa aache kupack basi.



Kuna watu wamekuwa wakitumia kigezo cha kushinda kikombe cha europa kama sababu ya mourinho kutokukosolewa. Huu ni ujinga. Fabio capelo aliwahi kutwaa kikombe cha laliga akiwa real madrid ile ya Mastaa kama Beckham na Zidane lakini wiki moja baada ya kutwaa kombe alitimuliwa na Raisi wa team.
Mkuu kwa mtazamo wako hayo matatizo yanaweza kuondolewa kwa njia zipii?
Kwa mtazamo wangu ni huu. Hayo mambo ya kupaki basi hilo sio jambo jambo jipya hasa kwa Mou. Yaani kipindi bodi inalipitisha hilo jina basi moja kwa moja walijua timu itakuwa ina cheza aina hiyo ya mpira. Au nikuulize wewe ulitegemea Manchester utd itacheza mpira wa aina gani chini ya Mourinho?

Kwangu naona timu imeimprove sana kulinganisha na kipindi cha Van gaal na Moyes japo haijafikia ambapo mashabiki wengi tunataka ifike.
Ila ili tushindane kwenye EPL na Uefa kwa muda mfupi ni lazima tukubali kutumia pesa zaidi ya tulivyo tumia. Kitu ambacho Pep amepewa na waarabu (ndio maana alikuwa na jeuri ya kuwatoa Hart,Dzeko,Jovetic,nasri,Yaya toure,Fernando,Inehacho na wengine) na bado akaleta kina Nolito na Bravo na wengine wakazingua akawatoa akaleta mbadala fasta ila Mou hicho kitu hajapewa.
Timu yenye
Darmian,Smalling,Jones,Fellain,Lingard,Young, na wachezaji wengine ambao hawana consistency ni ngumu Ku compete na timu ambazo wachezaji wake wana deliver karibu kila game.
 
Back
Top Bottom