radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Kaaa na wewe ni mshabiki wa mpira?Wewe acha izo , national team halipwi MTU. ManUtd wanatoa hela ucheze kifala kama alivyofanya kwenye kombe LA dunia si UTACHOMA MAHINDI KWENYE BENCH
Kaaa na wewe ni mshabiki wa mpira?Wewe acha izo , national team halipwi MTU. ManUtd wanatoa hela ucheze kifala kama alivyofanya kwenye kombe LA dunia si UTACHOMA MAHINDI KWENYE BENCH
Lazima achukie tu miezi mitano nyuma huko kaomba players watano hadi sasa kapata wawili tu hata mimj ningetema mbovu anaepata shida uwanjani ni kocha sio ed woordward mpatie watu kama atasema hao sio wangu tuoneNaona 3rd Year Syndrome ya Mourinho imeshamuanza?
Jose Mourinho's relationship with Manchester United executive vice-chairman Ed Woodward is reportedly at an "all-time low"
• Year 1: I’m here, I’m the best!!
• Year 2: call out players, row with other managers, blame referees.
• Year 3: blame the hierarchy, fall out with everyone
That’s Jose!!
Mie sio mshabiki maana mashabiki ndio huwa wanaBETI , au kuleta Vurungu viwanjani na mtaani, ILA MIMI NI MCHAMBUZI WA SOKA NA NI MCHEZAJI WA ZAMANI LIGI ZA SHULE NA MCHANGANI a.k.a ndondoKaaa na wewe ni mshabiki wa mpira?
Ndio maana hujui kama nationa team hawalipwiMie sio mshabiki maana mashabiki ndio huwa wanaBETI , au kuleta Vurungu viwanjani na mtaani, ILA MIMI NI MCHAMBUZI WA SOKA NA NI MCHEZAJI WA ZAMANI LIGI ZA SHULE NA MCHANGANI a.k.a ndondo
Hata kama wanalipwa lakini HUWEZI LINGANISHA NA CLUB LEVELNdio maana hujui kama nationa team hawalipwi
National timu halipiwi mtu umeisikia wapi kule wachezaji wanavuta mkwanja mrefu tuWewe acha izo , national team halipwi MTU. ManUtd wanatoa hela ucheze kifala kama alivyofanya kwenye kombe LA dunia si UTACHOMA MAHINDI KWENYE BENCH
Ngoja nikupuuze kumbe ulikuwa hujui na hujuiHata kama wanalipwa lakini HUWEZI LINGANISHA NA CLUB LEVEL
Habar njema kwa wacheza kamar weka nyumba sasa.Odds zimetoka,na mourinho ndio anaongoza orodha ya makocha watakaofukuzwa kabla ligi haijaisha
Ukiangalia usajili unaofanywa na city halafu uje bodi inavyovutuna na kocha suala la usajili utaona kabisa kocha anawekwa kwenye mazingira magumu mno
Mkuu radika Mou hata apewe mchezaji gani hakuna atakachofanya pale OT.
Timu yetu ina kikosi kizuri mno,Mou kazi yake ni visingizio tu.
Wachezaji wanatakiwa wapewe moyo sio kila muda kuwapa lawama tu ni kuwakatisha tamaa, angalia Martial.
Kama unategemea timu kufanya vizuri chini ya Mou utapata tabu sana.
Nani amepigwa NNE KAVU!? weka akiba ya maneno mkuuSasa Wewe pre season unapigwa NNE kavu ..unategemea nini msimu huu?
I like ur confidence mkuu..i like that..lets hope it'll happen!!Wakuu ukifuatilia press za Mou now utaona kuna kitu hakipo sawa na wote tunajua Man u huwa tunakaziwa katika usajili sababu ya brand yetu, pia nimefuatilia pre season nadhan Mou anataka areduce expectation ili tucheze tukiwa nje ya favourite teams kushinda league....Simkubali Mou kwa aina flan ya mchezo na anavyowatreat wachezaji ila safari hii anajua bodi inataka nini toka kwake....Last nipo tayari kuweka mpunga na mdau yoyote this year is going to be our year marl my words.
Huyo unapoteza nae muda mkuu kujibu post za kipuuzi mpuuzeNani amepigwa NNE KAVU!? weka akiba ya maneno mkuu
Mi mwenyewe namuunga mkono sina wasiwasi na kochaI like ur confidence mkuu..i like that..lets hope it'll happen!!
Mkuu its gonna happen coz Mou mwenyewe anajua akizingua anaondoka mapema tuI like ur confidence mkuu..i like that..lets hope it'll happen!!
Apewe kwanza anacho hitaji. Halafu akishindwa ndio tumlaumu. Ila tusiongele kitu ambacho hakipo.
Mkuu radika Mou hata apewe mchezaji gani hakuna atakachofanya pale OT.
Timu yetu ina kikosi kizuri mno,Mou kazi yake ni visingizio tu.
Wachezaji wanatakiwa wapewe moyo sio kila muda kuwapa lawama tu ni kuwakatisha tamaa, angalia Martial.
Kama unategemea timu kufanya vizuri chini ya Mou utapata tabu sana.
Kilichotokea kinajulikana, ila iyo "free will" ilitumikaje? Kama ilitumika.Huyo unapoteza nae muda mkuu kujibu post za kipuuzi mpuuze
Kwamba ukishinda pre season unanafasi ya kubeba ubingwa? Madrdi na barcelona si wanapigwaga sana huko msimu ulioisha barcelona pre season kapigwa 4-1 na liverpool mekutana nae champions league mmemfunga barca? Bingwa wa spain ni nani? Liver alimaliza kwenye lig wangap?Kilichotokea kinajulikana, ila iyo "free will" ilitumikaje? Kama ilitumika.