rubaman
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 4,983
- 3,084
Hili la liverpool na arsenal
Arsenal lao ni la Asia....
Hili la liverpool na arsenal
Haya mkuu mnajiandaa vyema zile 5 zihamie na kwenye ligi sasaArsenal lao ni la Asia....
Mkuu kuwa serious basi.Lingard ametoboa wapi??..world cup umeona alivyokuwa ovyo??
Watu wanalalamika tu bila hoja ....Brother muda mwingine nasisi mashabiki tuwe tunajaribu kuwa waelewa. Winga wa kushoto wapo sanchez, martial, rashford ambae anaweza pia kucheza kama striker. Hatuna winga wa kulia, huwezi kuwaweka lingard au mata wacheze kama winga na utarajie matokeo makubwa. Ni lazima tutafute winga wa kulia, willian anafaa hiyo nafasi. Martial hata akiondoka ni sawa tu maana namba yake wapo sanchez na rashford. Timu haiwezi kununua wachezaji tu bila kuuza, winga wa kushoto wapo wengi apungue mmoja tulete winga wa kulia.
Martial pale ndo mwisho wa kiwango chake ..Naamini Martial ana kipaji kikubwa sana ila kimebanwa na kocha Mkuu Wa man u. Vivyo hivyo kwa wachezaji wengine wote waliopo pale. Kocha anashindwa kwenda na mabadiliko ya mifumo ya soka la kisasa amebaki gizani na mpira wake Wa kizamani
Shaqir kakukomesha,Kidunula 1 njoo huku mkuu uone free kick ya perreira aiseee hatar sana
Niwe serious kivipi??..unataka kusema kwamba Lingard yupo kwenye viwango vya world class player??Mkuu kuwa serious basi.
Dadeki..Hizi ni comments tofauti tofauti kwenye instgram official page ya Manchester United baada ya kipigo cha 4-1 kutoka LiverpoolView attachment 821615View attachment 821616View attachment 821617View attachment 821618View attachment 821619
Maana fans huko IG wamevurugwa naona dah. Sasa kama mpaka pre season anapaki basi kwenye ligi itakuaje?matic, valencia, diogo, rojo wote ni injury hawaHio game sijaangalia but hivi hadi pre season kapaki basi??![]()
Maana fans huko IG wamevurugwa naona dah. Sasa kama mpaka pre season anapaki basi kwenye ligi itakuaje?
kwani lazima awe world class player ndio ujue ame improve? you guys mnaumiza vidole kutype jokes humuNiwe serious kivipi??..unataka kusema kwamba Lingard yupo kwenye viwango vya world class player??
Sioni hoja yako hapo, kwa mantiki hiyo kocha anawategemea hao uliowataja ili acheze attacking football? Umesahau kwenye epl na UEFA vs sevilla? JM kaishiwa mbinu hana jipya yuko conservative sanamatic, valencia, diogo, rojo wote ni injury hawa
lukaku, rashford, lingard, young, lindelof, martial, pogba, wote hawapo kwa sasa, bado atalaumiwa mourinho!
tatizo letu ni tunataka club iendeshwe kama media zinavotaka icho kitu hakiwezekani!
ndio maana mou anawasi wasi game za mwanzo atakua na wakati mgumu kwa sababu hana key players.
mashabiki wana haki kumtukana ila hawajui chochote wao wanafikiria kushinda bila plan.
mind you akiondoka mourinho kwa sasa timu itayumba zaidi!
man united ndio club pekee imejaa plastic fansmkuu sasakukosekan
Sioni hoja yako hapo, kwa mantiki hiyo kocha anawategemea hao uliowataja ili acheze attacking football? Umesahau kwenye epl na UEFA vs sevilla? JM kaishiwa mbinu hana jipya yuko conservative sana
PSG imefungwa tano na Arsenal, waliwakosa Mbappe, Neymar, thiago Cavani na hapa utanambia kuwa eti kocha anawategemea hawa tu? Mmoja tu hapo angeleta tofauti kubwa ndio maana tuna key players! Nyie watu sijui mnatumia nn kufikiria kama mnasikiliza tu pundits bila kutumia akili zenu you all fuckedmkuu sasakukosekan
Sioni hoja yako hapo, kwa mantiki hiyo kocha anawategemea hao uliowataja ili acheze attacking football? Umesahau kwenye epl na UEFA vs sevilla? JM kaishiwa mbinu hana jipya yuko conservative sana
Wengine hatuongelei pre- season..tunaongelea mwenendo wake na anavyo watreat wachezaji..Mbinu za mourinho kwenye mpira wa sasa zimepitwa na wakatiPSG imefungwa tano na Arsenal, waliwakosa Mbappe, Neymar, thiago Cavani na hapa utanambia kuwa eti kocha anawategemea hawa tu? Mmoja tu hapo angeleta tofauti kubwa ndio maana tuna key players! Nyie watu sijui mnatumia nn kufikiria kama mnasikiliza tu pundits bila kutumia akili zenu you all fucked
hizo mbinu unazosema wewe JM kaishiwa ndio hizo hizo zimetuweka nafasi ya pili na fainali ya FAmkuu sasakukosekan
Sioni hoja yako hapo, kwa mantiki hiyo kocha anawategemea hao uliowataja ili acheze attacking football? Umesahau kwenye epl na UEFA vs sevilla? JM kaishiwa mbinu hana jipya yuko conservative sana