Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu Hapa Hujaongea Kitu!!!

√ Wanaoichukia Arsenal ni Man U+Liver+Chelsea+ManCity.

√ Wanaoichukia ManCity ni Liver+Arsenal+Chelsea+ManUnited

√ Wanaoichukia Liverpool ni Man U+Arsenal+Chelsea+ManCity

√ Wanaoichukia Chelsea ni Liverpool+Man U+Arsenal+ManCity

So, Post yako ni meaningless..
Kwasababu hata ccm wanaichukia chadema.
 
Hakucheza Vizuri Kuanzia uwanjani Mpaka Kwenye Stats pia hayupo Vizuri.
The thing is, United wamewafumua kuliko mlivyotegemea usilete comparisons za kueleweka kwasababu hata huyo mungu mdogo salah was rubbish today.
 
Ila aina ya mpira wa man ni aibu.Liver sio wa kutuchezea vile ni aibu hata kama tumeshinda
Ubao ndugu kama liverpool wamemuajir kocha kwa ajili ya mpira wa pasi nyingi watamfutie mashindano yake pale ni point na kabatini kuna nini kwangu mimi safi kwa kuwa kocha kaikuta timu dhaifu sana msimu wa kwanza kashinda mataj sasa anatengeneza timu yenye nguvu wakat klopp hata carabao hawajwah kulugusa.
 
Una roho ngumu wewe HAHAHAAAA, hivi aliekiharibu kiungo chenu kipindi cha kwanza ni nani? Hahahaaaa we jamaa wewe

Viungo Wetu Hawajapotea Hata Kipindi Kimoja Kwani Emre Can Amefanikiwa Kuzibiti Dimba
 
Wakuu bila kumpongeza Lukaku kwa jinsi anavyoweza kujitoa kwa ajili ya timu itakuwa jambo baya sana goli zote mbili de gea kapiga mipira mirefu kumtafuta Lukaku ambae kawadondoshea hiyo mipira Rashford na Mata huyu jamaa ni bonge la usajili.
 
Viungo Wetu Hawajapotea Hata Kipindi Kimoja Kwani Emre Can Amefanikiwa Kuzibiti Dimba
Kwa umr wa scott na alichokifanya mbele ya wachezaji wozoef anatakiwa kupongezwa mno hadi ox anatolewa ujue hali ilikuwa tete katkat uongo mbaya ox na can walicheza vizur sana mech yenu na city ila kwa leo big no matic na scott walikuwa vizur sana mlikuwa mnalazimika kupitia pembeni
 
Kwa umr wa scott na alichokifanya mbele ya wachezaji wozoef anatakiwa kupongezwa mno hadi ox anatolewa ujue hali ilikuwa tete katkat uongo mbaya ox na can walicheza vizur sana mech yenu na city ila kwa leo big no matic na scott walikuwa vizur sana mlikuwa mnalazimika kupitia pembeni
Wao wamechezesha 3 midfield(Can,Ox& Milner) while United walikuwa Matic na Scott lakini hakuna walichofanya na alipoingia Fellaini ndio mchezo ukaisha kabisa
 
Kwa umr wa scott na alichokifanya mbele ya wachezaji wozoef anatakiwa kupongezwa mno hadi ox anatolewa ujue hali ilikuwa tete katkat uongo mbaya ox na can walicheza vizur sana mech yenu na city ila kwa leo big no matic na scott walikuwa vizur sana mlikuwa mnalazimika kupitia pembeni
Siku ya city liva walikuwa na viungo watatu akiwepo yule anaevaa jersey namba tano. Wondje...jina lake gumu
 
Wao wamechezesha 3 midfield(Can,Ox& Milner) while United walikuwa Matic na Scott lakini hakuna walichofanya na alipoingia Fellaini ndio mchezo ukaisha kabisa
Jamaa kashindwa kutambua ukiangalia hata umr na udhoef alionao scott lakin alikuwa mtulivu anapokea mipira na kutawanya kama amecheza zaid ya mech 15 za epl tena againt big teams
 
Back
Top Bottom