stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,998
- 4,250
Juda is still number oneMOU bana formation yake mbaya sana, yaani
2 shots, 2 shots on target 2 goals!!
Final score: Man utd 3 Liverpool 0
The Fab four....no three....eeer fab zero!Mo salah hana hata shot on goal nahis vivyo hivyo kwa mane na firmino. Mourinho ni balaa
Yale masifa aliyokuwa anamwagiwa Salah leo hamwagiwi??Yale Misifa Aliyokuwa Akimwagiwa Tommy Leo hamwagiwi?
Emre Can ni Mtu Mbaya.
Yale masifa aliyokuwa anamwagiwa Salah leo hamwagiwi??
Kweli young ni mtu mbaya
Mkuu tuache mahaba, Sanchez kacheza vizuri leo kitimu kulinda.No Doubt Salah Leo Amefichwa Kiasa Ya Kwamba Satats Zake Zinaonesha Kila Kitu ni 0%.
Lakini What about Alexis Sanchez Mbona Mumemsahau? Manake nayeye Kapotelea Mwananyamala!!!
Nilifika huko kutoa salamu za rambirambi, pia nimeahidi mchele kwaajili ya kula siku hizi za maombolezo.samahani naomba mnielekeze jukwaa la Liverpool linapatikana wapi nikawatembelee kidogo
Manchester kama sisiemu, haipendwi na wengi ila inaashinda.
Wanaoichukia Manu ni wengi zaidi ya wanayoipenda: Arsenal+Chelsea+liver+Mancity etc.
Tommy amecheza vizuri tuu katika ku defend sio ku attack ndio maana hajaonekana saaana.Mkuu wala sibishi kwa hilo..
ila Tommy nayeye awasubiri Chelsea Ndiyo aoneshe Mpira Wake Wa Kitoto.