Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ila aina ya mpira wa man ni aibu.Liver sio wa kutuchezea vile ni aibu hata kama tumeshinda
 
Announcement
IMG-20180310-WA0015.jpg
 
Simpendi mourinho lakini kwenye big games kama hizi...nampa 75% ya ushindi...anafanya homework yake nyema kabisa...anaisoma timu pinzani mpaka boxer wanazovaa na anazikaba..kama huamini muulize salah.
Huyo ndo master tactician.


Maneno ya shabiki wa Liverpool.
 
Simpendi mourinho lakini kwenye big games kama hizi...nampa 75% ya ushindi...anafanya homework yake nyema kabisa...anaisoma timu pinzani mpaka boxer wanazovaa na anazikaba..kama huamini muulize salah.
Huyo ndo master tactician.


Maneno ya shabiki wa Liverpool.
Naonga mkonyo hoja.

Sema jamaaa apunguze kupaki basi....
 
Mkuu Hapa Hujaongea Kitu!!!

√ Wanaoichukia Arsenal ni Man U+Liver+Chelsea+ManCity.

√ Wanaoichukia ManCity ni Liver+Arsenal+Chelsea+ManUnited

√ Wanaoichukia Liverpool ni Man U+Arsenal+Chelsea+ManCity

√ Wanaoichukia Chelsea ni Liverpool+Man U+Arsenal+ManCity

So, Post yako ni meaningless..

Sina mda wakuichukia Arsenal, Chelsea, Man City na Liverpool.
 
I think Ni Upofu Ndiyo uliokufanya usione coz umeshinda Mchezo!!

Lakini Nikikwambia Ueke Stats Za Mchezo sijui Kama Hutobishana Na Stats Zako.

Tumewatawala Kila Sehemu...

Lakini Point ni Kwamba Ukweli Haufichiki Mumeshinda Mchezo na Ndiyo Jambo la Msingi.
Hizo stats zimekupa point ngapi kwenye table?
 
Simpendi mourinho lakini kwenye big games kama hizi...nampa 75% ya ushindi...anafanya homework yake nyema kabisa...anaisoma timu pinzani mpaka boxer wanazovaa na anazikaba..kama huamini muulize salah.
Huyo ndo master tactician.


Maneno ya shabiki wa Liverpool.
upo sahihi unachokizungumza na kama uliuangalia mpira kwa umakini kwenye kipindi cha pili utagundua liverpool hawakupiga hata shoot on target licha ya kuwa walimiliki mpira kwa 75%.
mechi ya sevilla tunapaswa tuimalize mapema kwa sababu matokeo yoyote ukiondoa kufungwa sevilla wanafuzu robo final.
 
Back
Top Bottom