Kuna angel gomesAndress perreira kapoteza nafasi scott anamtumia salamu tu
I think Ni Upofu Ndiyo uliokufanya usione coz umeshinda Mchezo!!
Lakini Nikikwambia Ueke Stats Za Mchezo sijui Kama Hutobishana Na Stats Zako.
Tumewatawala Kila Sehemu...
Lakini Point ni Kwamba Ukweli Haufichiki Mumeshinda Mchezo na Ndiyo Jambo la Msingi.


hongera kwa kutawala mchezo ila wenye akili wameondoka na point 3 muhimuKivuli cha sanchez kilifanya rashford asahaulike na akawalizaNo Doubt Salah Leo Amefichwa Kiasa Ya Kwamba Satats Zake Zinaonesha Kila Kitu ni 0%.
Lakini What about Alexis Sanchez Mbona Mumemsahau? Manake nayeye Kapotelea Mwananyamala!!!
Dogo anafanya kazi ambayo Mourinho anaitaka ndio maana kocha kila siku anamsifia imagine Jose anampa namba straight karibia mechi 7 mfululizo na mechi muhimuJamaa kashindwa kutambua ukiangalia hata umr na udhoef alionao scott lakin alikuwa mtulivu anapokea mipira na kutawanya kama amecheza zaid ya mech 15 za epl tena againt big teams
Hili jibu limemkalisha nadhani jamaa umemwongezea kipigo kingine kwa hili jibuYale masifa aliyokuwa anamwagiwa Salah leo hamwagiwi??
Kweli young ni mtu mbaya
Nina mashaka na ufahamu na uelewa wenu kuhusu soka kama Mctom alipwaya kwahiyo mmepigwa na mtu 9 ndani maana Dgea naye tulimpuzsha leoMkuu wala sibishi kwa hilo..
ila Tommy nayeye awasubiri Chelsea Ndiyo aoneshe Mpira Wake Wa Kitoto.



Huyu bado mkuu umr wake 18 Mzur sana ila tumsubirKuna angel gomes
Toa neno "matokeo yoyote" anafuzu tukitoka 0 0 atafuzu vip sasa mkuu, sema draw yoyote ya magoli jamaa wataptaupo sahihi unachokizungumza na kama uliuangalia mpira kwa umakini kwenye kipindi cha pili utagundua liverpool hawakupiga hata shoot on target licha ya kuwa walimiliki mpira kwa 75%.
mechi ya sevilla tunapaswa tuimalize mapema kwa sababu matokeo yoyote ukiondoa kufungwa sevilla wanafuzu robo final.
Anasahau hata 2 - 1 ni stats, tena muhimu kuliko stats zote kwenye gameHizo stats zimekupa point ngapi kwenye table?
Mkuu usihangaike sana kubishana na hao watu sio kila mtu anajua kuchambua mpira pundits wote wanajua kazi aliyoifanya McTom na wamempa credit za kutoshamkuu umeangalia mechi hii hii nilioangalia mimi?
site nyingi zinamsifu mc tominay kwa kucheza vizuri na amepata ratings kubwa kushinda mechi ya chelsea
https://www.whoscored.com/Players/336915/Show/Scott-McTominay
Manchester United player ratings: Marcus Rashford and Romelu Lukaku superb
Baada ya kufanikiwa kuzibiti dimba then ikawaje mkapigwa?Viungo Wetu Hawajapotea Hata Kipindi Kimoja Kwani Emre Can Amefanikiwa Kuzibiti Dimba


Yule dogo winga itamfaaKuna angel gomes
Ninaamini unachoamini mkuu, ila kuna wehu wanajitoa ufahamu. Kwao mchezaji mzuri ni yule mwenye chenga nyingi na magoli mengi. Lukaku all around contribution ni kubwa mnoWakuu bila kumpongeza Lukaku kwa jinsi anavyoweza kujitoa kwa ajili ya timu itakuwa jambo baya sana goli zote mbili de gea kapiga mipira mirefu kumtafuta Lukaku ambae kawadondoshea hiyo mipira Rashford na Mata huyu jamaa ni bonge la usajili.