Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_2018-03-10-20-44-12.png
 
Nilichogundua huyu jamaa anaangalia mechi lives core, ni vigumu sana kubishana na watu wa namna hii, kama anakataa kwamba kiungo chao first half hakikupotea, basi ngoja nimuachie Radika abishane nae ndio wanawezana mi simuwezi.
Jamaa ni mbishi hajiulizi kwa nini ox alitolewa hadi kaingizwa lalana na jojino binadamu.
 
Back
Top Bottom