Tuondolee siasa hapa wewe scalper.Manchester kama sisiemu, haipendwi na wengi ila inaashinda.
Wanaoichukia Manu ni wengi zaidi ya wanayoipenda: Arsenal+Chelsea+liver+Mancity etc.
Leo Lukaku namwona ni shujaa piaNinaamini unachoamini mkuu, ila kuna wehu wanajitoa ufahamu. Kwao mchezaji mzuri ni yule mwenye chenga nyingi na magoli mengi. Lukaku all around contribution ni kubwa mno
Manu kama sisiemu.Tuondolee siasa hapa wewe scalper.
GGMU
Nilichogundua huyu jamaa anaangalia mechi lives core, ni vigumu sana kubishana na watu wa namna hii, kama anakataa kwamba kiungo chao first half hakikupotea, basi ngoja nimuachie Radika abishane nae ndio wanawezana mi simuwezi.Dimba lipi alilodhibiti while Rashford kafunga magoli 2 ?
Huyu rashford ni dawa ya top six bado spurs tu tufunge ukurasa akikutungua goli la kwanza hupat sale wala ushindi
Mkuu yalitutangulia hayo jana zilifungwa goli mbili ndani ya dakika 4 toka kwa madogo tunaoHata U23 hawajatuangusha kumbe.View attachment 710713
Jamaa ni mbishi hajiulizi kwa nini ox alitolewa hadi kaingizwa lalana na jojino binadamu.Nilichogundua huyu jamaa anaangalia mechi lives core, ni vigumu sana kubishana na watu wa namna hii, kama anakataa kwamba kiungo chao first half hakikupotea, basi ngoja nimuachie Radika abishane nae ndio wanawezana mi simuwezi.
Kwenye jukwaa lao kapost Can amepewa rating ya 5/10 sasa sijui alimfunika Scott kwenye nini?Jamaa ni mbishi hajiulizi kwa nini ox alitolewa hadi kaingizwa lalana na jojino binadamu.
Katika kitendo cha kihuni alichofanya Mourinho leo ni kumpaka Young mafuta ya kitimoto.. Ndo maana ustadh hajacheza kabisa leo

Nakusalimu shemeji yangu!!Kuna angel gomes
Huyu mu ivorycoast mbabe balaa
Naona una maumivu makali sana mkuu, wekend imeharibiwa kabisa!!!Hizo Stats za Wote Wawili Ni Mbovu na Ndiyomana Tofauti yao Ni Ndogo Sana