Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ona Pogba tunashambulia baada kuongezeka anatembea tu inabidi bei yake ichunguzwe
 
Kama wewe ni shabiki wa mpira unajua kitu kinaitwa experience. Goli tulilofungwa ni uzembe wa beki ambaye hana uzoefu na michuano hii, kwa iyo anakua anacheza kwa presha mihemko.

Kiuchezaji Barca alikua anakaa, game plan ilikua inahitaji kucheza vile. Ukifunguka unagongwa za kutosha na ndicho kinacho waponza Arsenal, huwa wanataka kucheza kama Barca ilihali hawana wachezaji kaliba ya Barcelona mwisho wa siku wanaishia kugongwa 4.

Tukutane weekend. Hapohapo kwenu. Muone huyo msimamizi wenu wa mazoezi atakavyo panic
Mnabwabwaja sana nlikwambia huna ubavu wa kushinda pale subir mechi ya barcelona uwe unakamia umeona lukaku anavyocheza na timu ndogo?
 
Mnabwabwaja sana nlikwambia huna ubavu wa kushinda pale subir mechi ya barcelona uwe unakamia umeona lukaku anavyocheza na timu ndogo?
Timu ndogo ni ipi???? Hapa nashindwa kukuelewa

Hawa Chelsea sio wali droo na Barcelona ???
 
Jamaa kawa-mock ambao huwa wanasema Lukaku anazifunga timu ndogo tu. Maana leo kapiga goli na katoa assist. So kwa kauli ya Lukaku anazifunga timu ndogo tu, basi Chelsea nayo ndogo.

Mkuu,

Nilimuelewa jamaa ndio maana nikaandika "Labda", ila kiukweli Chelsea ni timu ndogo; YES ni timu ndogo kuifananisha na na Manchester United

Haters always wanaongea vibaya kuhusu Utd, as long as Lukaku anatufungia magoli hatujali anawafunga Swansea au Burnley inatosha
 
Back
Top Bottom