Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,557
- 21,508
Sawa mkuuTuitakieni kheri timu yetu Wakuu
Kipindi cha mpito tu hiki japo kigumu sana
One day zle beki mbovu hazitakuwepo pale
Wale viungo wasio na uwezo hata wa kupiga pass za macho hawatakuwa pale
Wale viungo wasio na uwezo wa kukimbia kwenda mbele hawatakuwepo pale..
Na ule mfumo usiojulkana hautakuwepo tena
Na yule mkufunzi mbishi natumai atabadilika
Unless ndoto zake zipotee mithili ya mshumaa katika upepo...
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Almighty God Be With Us..
